Mmh hii sidhani kama inawezekanaView attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Umekunywa chai mkuu ?View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Ukiangalia video ya kunyongwa huyu mtoto inatisha sana, alinyongwa kwa umeme mkali, nililia sana siku naiangalia, kwanini wanadamu wana roho katili namna hii, sikutamani tena kuiangalia na sithubutu kuiangalia tena na ingekuwa ridhaa yangu wangeitoa mitandaoni haifai kutazamwa. Wazungu washenzi sn.GEORGE STINNEY JR MWENYE MIAKA 14. NDIYE MTU MDOGO KULIKO WOTE ALIYEWAHI KUNYONGWA, BAADAE AKATHIBITISHWA HANA HATIA.[emoji24]View attachment 2678915
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeView attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Umekunywa chai mkuu ?
Hahaha usisahau Kula na palachichi mkuuNakunywa supu