Hiyo 140km/hr. Mkuu acha au punguza hicho kitu unatumia.View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo 140km/hr. Mkuu acha au punguza hicho kitu unatumia.View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Mkuu, hesabu imekupiga chenga.kama ni mbio alikuwa pace ya 2 au 3 maana ukigawanya kwa saa alikuwa natembea 160 KM
airlive.net
airlive.net
Mkuu mshana huyu jana nimeona Kuna mdada kadai ni mume wake eti muongo sio mwanamke imekaaje hii
Yule dada ndio muongo na keshaomba radhiMkuu mshana huyu jana nimeona Kuna mdada kadai ni mume wake eti muongo sio mwanamke imekaaje hii
Hii ingetumika Tanzania kukomesha ufisadiMchoro wa karne ya 16 unaoonyesha kuchunwa ngozi akiwa hai kwa hakimu fisadi, Sisamnes, katika mwaka wa 500BC.
Sisamnes alikuwa hakimu wa kifalme fisadi wakati wa Cambyses ll katika Uajemi.
Iligundulika kuwa alichukua hongo mahakamani na akatoa hukumu isiyo ya haki. Kwa sababu hiyo mfalme akaamuru akamatwe kwa ufisadi wake na akaamuru achunwe ngozi akiwa hai. Kabla ya kutoa hukumu mfalme alimuuliza Sisamnes ni nani alitaka kumteua kama mrithi wake. Sisamnes, kwa uchoyo wake, alimchagua mwanawe, Otanes.
Mfalme alikubali na kumteua Otanes kuchukua nafasi ya baba yake. Baadaye alitoa hukumu na kuamuru kwamba ngozi iliyoondolewa ya Sisamnes itumike kuwamba kiti ambacho hakimu mpya angekalia kortini ili kumkumbusha madhara yanayoweza kusababishwa na ufisadi.
Otanes, katika mashauri yake, alilazimika kukumbuka daima kwamba alikuwa ameketi kwenye ngozi ya baba yake aliyeuawa. Hii ilisaidia kuhakikisha haki na usawa katika vikao vyake vyote, mijadala na hukumu.View attachment 2680420
Sent using Jamii Forums mobile app