mwenye nafasi au uwezo wa kuwafikia awakumbushe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenye nafasi au uwezo wa kuwafikia awakumbushe tu.
[emoji419][emoji375]mwenye nafasi au uwezo wa kuwafikia awakumbushe tu.
Hapa ni kambaView attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Nakam sio,katarama tatu Kam Mia,Zaidi ya Katarama Dar - Mwanza. Tatu Kama Mia
Zaidi ya Katarama Dar - Mwanza.
Najua inasumbua Sana nafsi Ila wasiitoe....acha tu watu wajifunze kupitia unyama huoUkiangalia video ya kunyongwa huyu mtoto inatisha sana, alinyongwa kwa umeme mkali, nililia sana siku naiangalia, kwanini wanadamu wana roho katili namna hii, sikutamani tena kuiangalia na sithubutu kuiangalia tena na ingekuwa ridhaa yangu wangeitoa mitandaoni haifai kutazamwa. Wazungu washenzi sn.
Movue inaitwaje mkuu?Ukiangalia video ya kunyongwa huyu mtoto inatisha sana, alinyongwa kwa umeme mkali, nililia sana siku naiangalia, kwanini wanadamu wana roho katili namna hii, sikutamani tena kuiangalia na sithubutu kuiangalia tena na ingekuwa ridhaa yangu wangeitoa mitandaoni haifai kutazamwa. Wazungu washenzi sn.
Big noBibiana, Mlezi Mtakatifu wa Hangover
Aliuawa kishahidi katika karne ya 4, Bibiana alikua mtakatifu mlinzi wa hangover bila sababu nyingine isipokuwa jina lake linatokana na neno la Kilatini la kunywa, "bibulus."
Bibiana aliteswa na Maliki Mroma Julian Mwasi kwa kukataa kukana imani yake katika Ukristo. Imeripotiwa kuwa alikuwa:
*Amefungwa kwenye nguzo, na kuchapwa kwa mijeledi iliyojaa matone ya risasi hadi muda wake utakapomalizika. Mwili wake uliachwa wazi, ili uwe mawindo ya wanyama; lakini akiwa amelala wazi kwa siku mbili hakuliwa na mnyama yeyote yule, akazikwa usiku.
Baada ya mazishi yake, mimea iliyokua karibu na kaburi lake inadaiwa iliponya maumivu ya kichwa - na hangover.
Mahali pa kuzaliwa: Roma, ItaliaView attachment 2705658
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mzee alikuwa mrahibu!
Hapana bali mlipakodi mzuri na mwanachama mwaminifu wa chama letu la gambeKwan mzee alikuwa mrahibu!
🤣🤣🤣 Kwani na wewe ni mwanachama hai na muaminifu wa chama hicho kongwe duniani?Hapana bali mlipakodi mzuri na mwanachama mwaminifu wa chama letu la gambe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kumuaibisha shetani sitasema HAPANA[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwani na wewe ni mwanachama hai na muaminifu wa chama hicho kongwe duniani?