Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni mbio alikuwa pace ya 2 au 3 maana ukigawanya kwa saa alikuwa natembea 160 KMView attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Mbaya zaidi na zaidi sana hakuwa na hatia hata kidogoUkiangalia video ya kunyongwa huyu mtoto inatisha sana, alinyongwa kwa umeme mkali, nililia sana siku naiangalia, kwanini wanadamu wana roho katili namna hii, sikutamani tena kuiangalia na sithubutu kuiangalia tena na ingekuwa ridhaa yangu wangeitoa mitandaoni haifai kutazamwa. Wazungu washenzi sn.
Mkuu!Ebu ongezea nyama hapo.Iliwezekanaje mtu tena mtoto aweze kutembea kwa miguu umbali huo na kwa saa hiyo?.View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Chai. Hata bus haliwezi.View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
Na wamekuja kukubali hakuwa na hatia miaka 70 baadae.
Ndugu wanaweza kufungua kesi ya fidiaNa wamekuja kukubali hakuwa na hatia miaka 70 baadae.
View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
View attachment 2678912
Mtoto sebi machid mwenye miaka 6 toka afrika ya kati wakati wa Vita alitembea urefu wa km 960 kwa masaa 6 tu
kama ni mbio alikuwa pace ya 2 au 3 maana ukigawanya kwa saa alikuwa natembea 160 KM
Haya ndio mauaji ya kimbari na watu wakatumia mifupa na mafuvu yake kwa shughuli za ujenziView attachment 2678962View attachment 2678963
Sent using Jamii Forums mobile app