Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Njoo Mbweni JKT uone msikiti wao ulivyo licha ya misaada kutoka Waarabu wa Oman.
Miradi mingi tu Tanzania yenye ufadhili, ipo baadhi ina hali mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Mbweni JKT uone msikiti wao ulivyo licha ya misaada kutoka Waarabu wa Oman.
Dude, makanisa ya Wakatoliki yanajengwa imara na yanakuwa solid architectural structures na kamwe hayawezi kuwa nyang'anyang'a kama misikiti ya Waislam. Njoo Mbweni JKT uone pamoja na misaada ya Oman, msikiti una nyufa, fence haijamalizika tokea 2017 na waumini wanaruka vidimbwi na matope sehemu wazi za fence ili kuingia msiktini sababu hakuna main and single gate.Miradi mingi tu Tanzania yenye ufadhili, ipo baadhi ina hali mbaya
Dude, makanisa ya Wakatoliki yanajengwa imara na yanakuwa solid architectural structures na kamwe hayawezi kuwa nyang'anyang'a kama misikiti ya Waislam. Njoo Mbweni JKT uone pamoja na misaada ya Oman, msikiti una nyufa, fence haijamalizika tokea 2017 na waumini wanaruka vidimbwi na matope sehemu wazi za fence ili kuingia msiktini sababu hakuna main and single gate.
Zaidi ya mapungufu niliyogusia itabidi uje uone mwenyewe kwa macho kama uko so keen in finding out about the mediocrity of it all.Silijui hilo suala la ujenzi wa huo msikiti,tusaidie kutuhabarisha kwa kina
Nemo,Miradi mingi tu Tanzania yenye ufadhili, ipo baadhi ina hali mbaya
Nemo...Shukrani Kwa Historia nzuri Mzee Said, na jitihada zako na Wazee wako simulizi adimu sana hizi kuzipata
Nemo,Sahihisho Mzee Kleist alizaliwa mwaka 1894
Allama, ipitie tena miaka kwenye picha, naona kuna "error".Nemo,
View attachment 1267416
Kushoto waliokaa: Kleist Sykes (1994 -1949), Abbas Sykes (1929 - ),
Nyuma kushoto Ally Sykes (1926 - 2013), Abdulwahid Sykes (1924 - 1968)
Picha hii ilipigwa 1942 Abdul Sykes aliporudi Dar es Salaam kuaga kutoka Lower Kabete
Kenya kabla ya kwenda Burma Vita Vya Pili Vya Dunia (1939 - 1945) akiwa katika
King's African Rifles (KAR)
View attachment 1267431
Bi. Mruguru bint Mussa (1909 - 1974) mke wa Kleist Sykes
na mama wa watoto wake wote watatu
Nemo,
Mbona mjadala umegeuka imekuwaje?
Katika yote haya ninayoeleza hakuna la kuchangia?
Allama, ipitie tena miaka kwenye picha, naona kuna "error".
Maalim Faiza,Allama, ipitie tena miaka kwenye picha, naona kuna "error".
Allama, ipitie tena miaka kwenye picha, naona kuna "error".
Maalim Faiza,
Toka jana nimeelezwa na tayari nisasahihisha ila hiyo kwa kuwa ni caption katika whatsapp hakuna option ya edit kwa hiyo itabaki hivyo hivyo hadi nitakapo delete na kuweka upya.
Laki...akina Sykes, Collymore, Titi Mohamed , Kambona, walimsaliti Nyerere kwa kutaka kumpindua
Katika historia ya TANU kulikuwa na Kadiani wawili - Kaluta Amri Abeid na Jumanne Abdallah na wote hawa wameacha kumbukumbu kubwa.
Ndivyo wanavyojulikana...Mohamed Said Hivi kweli Umeshindwa kusema "Waislamu wawili" ???!!