MIRA01
JF-Expert Member
- Sep 18, 2023
- 319
- 695
OptimisticAtamshukuru baada ya matokeo ya hio mimba mfano mtoto akaja kuwa baraka na faraja katika maisha yake ataachaje kumshukuru mbakaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OptimisticAtamshukuru baada ya matokeo ya hio mimba mfano mtoto akaja kuwa baraka na faraja katika maisha yake ataachaje kumshukuru mbakaji
Hawa madogo hawawezi kukuelewa; Sisi wakongwe tumeonja joto ya Nduli Idi Amin Dada. Nikiona mtu anamsifia Nduli huwa simuelewi kabisa.Naona una mahaba na nduli.
Nduli alikuwa among bogus leaders kama trump au Mugabe.
Sidhani kama unaweza kupata Soft copy.Kuna mtu ana softcopy ya kitabu cha THE STATE OF BLOOD kilichoandikwa na Henry Kyemba, Waziri wa zamani kwenye serikali ya Idi Amin? Naomba nisaidie nipate kusoma.
Bad thing ni kusema hichi sio kweli bila kuwa na ushahidi wowote, wala kuonesha ukweli ni upi.Hakuna viashiria vyovyote vilivyowahi kuoneshwa wazi kwamba idd amin aluwahi kuwa na interest na kagera hakipo! Hizo ni story za kupikwa na ikawa chanzo cha yy kutoka madarakani! Ukielewa mauwaji ya kimbali ya mwaka 1994 basi utakuwa unaelewa na hili
Wajinga nao wanazeeka kumbe.Pia walitundisha kwamba eti KAMBONA kaolewa uingereza kwenye Ile nyimbo kisa tu hakukubaliana na mawazo yao ya kijamaa.
Cha ajabu mawazo ya Sasa tunayoyaishi ndio alioyokuwa nayo KAMBONA 1960'S
JUST IMAGINE tungefuata mawazo ya KAMBONA miaka Ile.
Kuingia jeshi vitani vita ya kijinga Yan kutafuta misifa wakati diplomasia tu ingeweza tumika. Kumeturudisha nyuma kama TAIFA kiuchumi hadi Leo effects zake tunaziishi.
Pengine this time hii nchi ingekuwa superpower hapa AFRICA Ikila sahani Moja na misri, Nigeria, na south Africa.
Leo hata hata wachimbachumvi wakenya hatuwawezi.
Na zaidi viongozi wengi tuliona nao Sasa wanajenha dynasties za kiuchumi za kifamilia zao kwanza.
Damn it
Hard copy vinauzwa wapi Mkuu?Sidhani kama unaweza kupata Soft copy.
Labda ununue kwenye mtandao - Amazon.
Mimi ninayo hard copy, ungekuwa jirani nami ningekuazima.
Tupe ushahidi wa hayo wewe sasa! Nimesema hakipo na nikwasababu hakipoBad thing ni kusema hichi sio kweli bila kuwa na ushahidi wowote, wala kuonesha ukweli ni upi.
Na hii ni Tabia ya watanzania tulio wengi.
SIna nnachopata nikibishana na wewe mkuu.Tupe ushahidi wa hayo wewe sasa! Nimesema hakipo na nikwasababu hakipo
Ghadafi hakuwa dikiteta broKulikuwa na haja gan kuivamia Kagera , mi nafkr madikteta wengi huwa Wana uchungu na nchi zao Ila huwa wanakosa akili na busara , nafkr ghadafi alikuwa Bora sana