Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aseeeeMie nafikiri ina nguvu kwa sababu ina nguvu..
tanzania bahima wako karagwe ,ngara,kigoma na bukoba
Kwa wale walio karibu na Kagame na Mseveni wanaweza kukupa majibu maana chimbuko liko maeneo hayo .
Kwani Jamii yoyote ambayo siyo Wabantu ndo Waisraeli? Kwa hiyo na Wasandawe nao tuwaite Waisrael kwa vile tu siyo wabantu?c programming ukitrace back wahima ,watutsi,banyamulenge wametoka ethiopia lakini inasemekana ni wana wa israel angalia pua zao,wale sio wabantu nadhani ni nilo hamit au hamit not sure,nikisema waisrael nadhan unaelewatwalivyo na akili
Jamani hii story niliwahi kuisikia kipindi cha Mtikila kuhusu Dola ya Bahima lakini historia yake hadi leo sijaifahamu ilianza mwaka gani, ni nani aliianzisha lakini pia ni wapi inapopatikana wapi.
Kuna tetesi niliwahi kusikia ipo Rwanda, mara Uganda, mara ipo kanda ya Ziwa, mara ipo Congo, mara Burundi, mara Ethiopia.
Anyway tuyacheni hayo yote mimi ningependa kufahamu ipi historia ya Bahima empire
KWANI WAISRAELI NI NILO HAMITES?c programming ukitrace back wahima ,watutsi,banyamulenge wametoka ethiopia lakini inasemekana ni wana wa israel angalia pua zao,wale sio wabantu nadhani ni nilo hamit au hamit not sure,nikisema waisrael nadhan unaelewatwalivyo na akili