Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Biashara ya Benki ilianza mwaka 2000BC. Siria, Misri mpaka India. Hii ilikuwa enzi ya utawala wa Roma na biashara hii ilishamiri katika iliyokuwa himaya ya Alexandra the Great. Wafanyabiashara walikopeshana nafaka kwa riba hasa wale waliosafirisha nafaka kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Biashara hii ilishamiri katika miji mikubwa ya Ulaya. Italia, Ufaransa, Ujerumani na Urusi. Mapinduzi makubwa katika biashara ya benki yalikuja baada ya Holicust. Wayahudi waliokimbia Ujerumani kuekekea Marekani walianzisha biashara ya kukopesha pesa kwa riba katika miji waliyofikia.
Wayahudi hawa hawakukopesha tu pesa bali walihifadhi pesa za matajiri na vitu vyao vya thamani kwa riba.
Biashara hii ilishamiri katika miji mikubwa ya Ulaya. Italia, Ufaransa, Ujerumani na Urusi. Mapinduzi makubwa katika biashara ya benki yalikuja baada ya Holicust. Wayahudi waliokimbia Ujerumani kuekekea Marekani walianzisha biashara ya kukopesha pesa kwa riba katika miji waliyofikia.
Wayahudi hawa hawakukopesha tu pesa bali walihifadhi pesa za matajiri na vitu vyao vya thamani kwa riba.