Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

So unanunua value ya bitcoin halafu unasell ikipanda au unafanyaje?
Naomba urejee mwanzo kabisa mwa uzi huu nilipoelezea Trade phrase utaona nimeelezea pia unaweza vipi kufanyia BTC ulizonazo, ukiwa na Pesa ya kitanzania au Dollar au pesa yeyote ukataka kununua bitcoin inawezekana na unaweza kununua na ukakaa nazo kwenye wallet yako ama blockchain zikiwa zimehifadhiwa humo hadi muda utakaotaka kuzitumia either kwa kuziuza ama kutumia kwa matumizi ya online payment. Kuna kitu kinaitwa BUY AND SELL na kingine kinaitwa BUY AND HOLDING sasa nini hasa kinafanyika hapa twende taratibu..Kwenye buy and Sell ni vile mtu anachange pesa yake kwa kununua bitcoin afu anakua nazo kwenye account yake ya ki digital ama Wallet ama blockchain halafu anaziuza tena kwa faida, wapo watu wengi tu wanaofanya BTC traders mfano ukitype www.localbitcoin.com utaona kule kuna watu wengi wapo wanauza na kununu bitcoin, pia kuna website nyingine nyingi tu ukihitaji nitafute nitakuelekeza. kitu cha pili ni BUY AND HOLDING hapa unafanya mambo mawili kwanza unanunua bitcoin halafu unakuanazo kwenye account yako ama blockchain yako unakaa nazo kwa muda flani mpaka pale utakapoona ni muda mzur wa kuzitumia kwasababu sifa mojawapo ya bitcoin ni kwamba hipanda thaman kila siku, achilia mbali ku fall kwake hizi siku chache zilizopita kuna sababu zilizopelekea kushuka kwake nazo nitakujuza kipindi kingine lakin pamoja na kushuka tayari imeanza kurudi juu kama siku zote, kumbuka Sifa ya Currency hupanda na kushuka thaman hata Dollar hupanda na kushuka, hivyo mfano umenunua 1btc ambayo ni sawa na Tsh 9,407,695.59 leo hii tarehe 27-09-2017 sasa baada ya siku kadhaa ukianhalia tena hutakuta ni M 9 hii unaweza kukuta thaman ya 1 btc ni M 11,12, 20, 30 nakuendelea hivyo kwa kipindi hicho ndipo utazitumia ama kwa kununua kitu dukan ama kuziuza kwa faida. Kwa maelezo zaid utanitafuta inbox
 
Asanteni sana kwa ndungu zangu ambao tayari mpo kwenye utumiaji wa revolution hii ya pesa za kidigital kwa njia moja au nyingine..Pia hata kwa asiekua mtumiaji au mdau lakini tayari anaelimu hii ya Pesa hizi za kidigitali nawashukuru kwa michango yenu naona tunasaidia kwa pamoja kutoa ufafanuzi madhubuti juu ya swala hili
 
Usipofahamu kitu usizungumzie mbele ya halaiki kwamaana hufahamu watu waliokusanyika wote wanauelewa gani, hata pesa unayoijua wewe hutumika kwenye black market in short kitu chochote chenye thaman kinaweza kutumika kwenye black market itadepend na nini mmechagua

Ukizungumza mbele ya halaiki ukakosolewa utakua umefuta ujinga mmoja kwenye akili yako kuliko ukikaa kimya na kuendelea kuishi na upuuzi wako
 
TUKIWA TUNAENDELEA KATIKA HISTORIA HII YA REVOLUTION YA PESA YA KIDIGITALI ama CRYPTOCURRENCY pia tukaona zipo za aina nyingi kama vile Zcash,Monero,Dash,Ethereum
na Bitcoin (BTC) yenyewe ikiwa ndio coin yenye thamani kubwa zaid.

Leo kuna vitu vitatu ningependa kuvizungumzia ambavyo vitasaidia sana katika kujua nini hasa tunaweza kufanya ili kunufaika ama kufaidika na mabafiliko haya.
1.Buying and Holding bitcoin.
2.Buy and Sell through currency trading.
3.Mining with a bitcoin mining entity.
Sehemu hizi tatu kwa mtu anayetaka kupata faida katika utandawazi huu hakika hawezi kutoka kapa ifikapo mnamo mwaka 2019-2020 ni lazima atakuwa mtu mkubwa ki uchumi kuliko alivyodhani. Basi fatana nami Elite wa Geita tuchambue taratibu juu ya mambo haya.

1.Buy and Holding hii ni mojawapo ya shughuli unayoweza kufanya kupitia utandawazi huu yaani Kununu na kutunza Bitcoin(BTC) zako, utafanya vipi?
Unaweza kununu BTC kwa kutumia pesa yeyote kutokana na sehemu/nchi husika kwa kubadilishana na mtu mwenye BTC, unapotaka kuanza kununu ni muhimu kuwa na bitcoin wallet ambapo itakua ndio sehemu yako itakayohifadhi BTC zako pindi utumiwapo baada ya manunuzi hayo nayo unaweza kuipata kwa kutembelea www.blockchain.com baada ya hapo utatembelea sehemu husika inayojishughulisha na manunuzi au uuzaji wa bitcoin ambapo utakutana na watu mbali mbali wanaojihusisha na maswala haya mfano ukienda kwenye www.localbitcoins.com ama www.bitpesa.co hapo utakutana na watu sahihi.
Baada ya kununua utazitunza BTC zako mpaka pale utakapoona ni muda sahihi wa kuuza au kununu bidhaa kwa kulipa kwa bitcoin amabapo tayar thamani ya BTC yako itakua juu zaid. Mfano leo hii 1btc = 9,407,695.59 Tsh kwa muda huu bila shaka kufika jion ama kesho ama week ijayo pengine mwakani ukapata 1btc = 20,000,000 Tsh sasa faida yake ni kuwa wewe ulinunua kwa 9m ila sasa unabitcoin zenye thaman ya 20M sio tena 9m.

2.Buy and Sell through currency trading;- hapa pia unaweza kufanya shughuli ya kununua na kuuza BTC kwa kununua na kuziuza kwa pesa kubwa zaid ya ulivyonunulia tukumbuke tumeona kuwa thaman ya BTC inabadilika hivyo utakaponunua wakat wa kuuza lazima utauza kwa bei tofaut either kwa faida ama kwa hasara. Na sehemu husika za kuuzia ama kununua ambazo ni salama na zinatambulika zipo hapo juu nimekwisha zionesha.

3.Mining with a bitcoin Mining entity ;- hapa pia naomba nitilie mkazo zaid maana ni moja ya sehemu ambayo unaweza kupata faida kubwa kubwa mpaka ukashanga na kwa kipindi kifupi ukawa ni mtu mwenye kipato cha juu sana je inakuaje hapa?

Ifahamike kuwa kuna baadhi ya makampuni yanayo jishughulisha na swala la Bitcoins Mining Operation mojawapo ni BitclubNetwork kwa website yao ya www.bitclubnetwork.com utaona hayo.

Ila naomba nitoe angalizo pamekua na makampuni mengi yakisema yanafanya shughuli hii ya bitcoin mining na watu wengi wamekua wakitapeliwa pesa zao na kupotezewa muda pia, Mfano nimewahi kusikia watu flani walilizwa na kampuni kama la BITCLUB ADVANTAGE labda nikushauli jambo usijarbu kuingia kwenye sehemu hizo tunazoita Scams jambo moja nikushauli mtu yeyote akikwambia kampuni linafanya shughuli hii ya bitcoin mining hakikisha umeingia kwenye website inayoyatambua makampuni haya na yapo legit ambapo ni lazima ulikute kwenye list ya makampuni hayo mfano wa site hizo ni

Hashrate Distribution

Bitcoin Venture Capital Funding

Cryptocoin price index and market cap - WorldCoinIndex

Usipokuta hilo kampuni humo basi kuwa muangalifu.

Je unafaidika vipi? Mara nyingi huwa ni kwa kununua hisa kwa kiasi flani cha pesa ambapo unakua mwana hisa wa kampuni hiyo baada ya hapo unakua unanufaika na gawio lao la Bitcoin ambazo utakuwa ukitumiwa kila siku kama sehemu ya faida mfano ukianza na 0.00000 btc baada ya muda utakua na kiwango kadhaa cha bitcoin kutokana na gawio lako la kila siku baada ya kuwekeza.

Labda niwakumbushe jambo mwanzoni mwa ugunduz wa teknolojia mbali mbali tumeona wengi wetu tulijikuta tumekua watumiaji tu wa kawaida wala si wanufaikaji wa kipato kutokana na mauzo ya teknolojia hizo kumbe kama tungeweza kuwekeza ama kununua hisa kwenye moja ya makampuni husika nasisis tungekua wanufaikaji wa moja kwa moja kupitia faida za mauzo zinazofanya kampuni hizi na hivi leo tungekua mbali sana.

Hebu tuangalie teknolijia hizi mbali mbali na jinsi zilivyotoa fursa za kipato kwa wawekezaji wake.

Tecknologian ambazo mpaka sasa ivii zipo na zote unatumia lakini hakuna ata moja ambayo mimi na wewe tuna(shares) hisa

1.Nikianza na Teknolojia ya Television (Tv)
kwenye hii teknolojia kulizaliwa fursa nyingi mfano makampun ya hitachi,panasonic,samsung,televisin stations kama itv,vingamuzi,ajira kama waandishi wa habari n.k

2.Internet
Kipind cha zamani matajiri ndo walikuwa wanaeza pata taarifa nyeti lakini sasa ivi kila mtu ana uwezo huo,so makapuni kama google ya sasa ivi yakaibuka n.k

3.E commerce,maduka ya online kama ebay,amazon n.k

4.Mobilee phone,ndo kuna htc,iphone na vitu vingi sana kwenye simu vipo

5.Emails.
Hebu jiulize mara ya mwisho kutuma barua na stamp ni lini,apa ndo yahoo,hotmail,Gmail zikatokea,soko pa posta likafa

6.Social Network
Facebook,whatsapp,instagram,Eskimi,Telegram n.k

7.Na ya sasa ivii ni digital currency ambapo ndipo unapata hizo Cryptocurrency kama Zcash,Monero,Dash na Bitcoin.

Je? Upo tayari na Fursa hii ikupite? Mimi sijui utaamua vipi lakini ninahakika ukiamua unaweza kuwekeza na kupata faida kama vile watu waliowekeza kwenye teknolojia zile za mwanza kwa kufungua kampuni na kuwa wasambazaji au kwa kununua hisa kwenye kampuni na kunufaika kwa sehemu mpaka hivi leo.


TUKUTANE SIKU NYINGINE KWA MUENDELEZO WA MAKALA HII ILA KWA SWALI LOLOTE USISITE KUULIZA AMA KUNIFATA INBOX IKIWA UNAHITAJI MAELEZO ZAIDI KWA UPEKEE.
 
Lakini pia usisahau kueleza ya kwamba pesa hiyo thamani yake

inapanda na kushuka......kwa mfano sasa hivi thamani yake imeshuka

sana ....muda kidogo uliopita BTC 1 Ilikuwa sawa sawa na mil sita

lkn kwa sasa BTC1 ni kama mil 4 hv, ni pesa ambayo haina direct

cotrol na benki kuu.
Kiongozi umeangali leo 1 btc ni sawa na Tsh ? Nakuhakikishia kama isingekua china leo hii 1btc isingekua Milion Tisa na laki kadhaa, maana mwezi ulioisha tayar 1btc ilikua imeanza kufika Milion kumi na Moja.na kwa taarifa fupi za uchunguzi uliofanywa imeonekana baada ya miaka mitatu yaani 2020 1btc inaweza kufikia $20,000/= vipi hapo kwa Pesa ya Kitanzania
 
Kuna watu wamenifata inbox wakisema nilitoa link ya ile kampuni mojawapo ya Bitcoin Mining ambayo nimejifunza mengi pia kupitia humo pindi nlipokua nikifatilia mambo haya ya Bitcoin Mining. niliyoweka wakifungua mwisho wa page kuna logo tu naomba watumie link hii nitakayo itoa tena hapa chini hii ipo moja kwa moja

http://bitclub.network/espbit
 
Kuna kitu uko sahihi,
Kua ni mfumo mpya wa ki pesa unaofanyika online,

Ila kuna kitu pia hauko sahihi,
Kua Unapanda thamani kwa kasi,

Kwa sasa Bitcoin imekua ikiyumba kidogo kwa thamani kwani kuna wakati ilifika mpaka BTC1 = $4,900 ila kwa sasa imeshuka mpaka $ 3,800
Unaipataje hyo bitcoin moja baada ya kujisajili?
 
Naomba urejee mwanzo kabisa mwa uzi huu nilipoelezea Trade phrase utaona nimeelezea pia unaweza vipi kufanyia BTC ulizonazo, ukiwa na Pesa ya kitanzania au Dollar au pesa yeyote ukataka kununua bitcoin inawezekana na unaweza kununua na ukakaa nazo kwenye wallet yako ama blockchain zikiwa zimehifadhiwa humo hadi muda utakaotaka kuzitumia either kwa kuziuza ama kutumia kwa matumizi ya online payment. Kuna kitu kinaitwa Buy and Sell na kingine kinaitwa Buy and holding sasa nini hasa kinafanyika hapa twende taratibu..Kwenye buy and Sell ni vile mtu anachange pesa yake kwa kununua bitcoin afu anakua nazo kwenye account yake ya ki digital ama Wallet ama blockchain halafu anaziuza tena kwa faida, wapo watu wengi tu wanaofanya BTC traders mfano ukitype www.localbitcoin.com

Naomba urejee mwanzo kabisa mwa uzi huu nilipoelezea Trade phrase utaona nimeelezea pia unaweza vipi kufanyia BTC ulizonazo, ukiwa na Pesa ya kitanzania au Dollar au pesa yeyote ukataka kununua bitcoin inawezekana na unaweza kununua na ukakaa nazo kwenye wallet yako ama blockchain zikiwa zimehifadhiwa humo hadi muda utakaotaka kuzitumia either kwa kuziuza ama kutumia kwa matumizi ya online payment. Kuna kitu kinaitwa BUY AND SELL na kingine kinaitwa BUY AND HOLDING sasa nini hasa kinafanyika hapa twende taratibu..Kwenye buy and Sell ni vile mtu anachange pesa yake kwa kununua bitcoin afu anakua nazo kwenye account yake ya ki digital ama Wallet ama blockchain halafu anaziuza tena kwa faida, wapo watu wengi tu wanaofanya BTC traders mfano ukitype www.localbitcoin.com utaona kule kuna watu wengi wapo wanauza na kununu bitcoin, pia kuna website nyingine nyingi tu ukihitaji nitafute nitakuelekeza. kitu cha pili ni BUY AND HOLDING hapa unafanya mambo mawili kwanza unanunua bitcoin halafu unakuanazo kwenye account yako ama blockchain yako unakaa nazo kwa muda flani mpaka pale utakapoona ni muda mzur wa kuzitumia kwasababu sifa mojawapo ya bitcoin ni kwamba hipanda thaman kila siku, achilia mbali ku fall kwake hizi siku chache zilizopita kuna sababu zilizopelekea kushuka kwake nazo nitakujuza kipindi kingine lakin pamoja na kushuka tayari imeanza kurudi juu kama siku zote, kumbuka Sifa ya Currency hupanda na kushuka thaman hata Dollar hupanda na kushuka, hivyo mfano umenunua 1btc ambayo ni sawa na Tsh

Naomba urejee mwanzo kabisa mwa uzi huu nilipoelezea Trade phrase utaona nimeelezea pia unaweza vipi kufanyia BTC ulizonazo, ukiwa na Pesa ya kitanzania au Dollar au pesa yeyote ukataka kununua bitcoin inawezekana na unaweza kununua na ukakaa nazo kwenye wallet yako ama blockchain zikiwa zimehifadhiwa humo hadi muda utakaotaka kuzitumia either kwa kuziuza ama kutumia kwa matumizi ya online payment. Kuna kitu kinaitwa BUY AND SELL na kingine kinaitwa BUY AND HOLDING sasa nini hasa kinafanyika hapa twende taratibu..Kwenye buy and Sell ni vile mtu anachange pesa yake kwa kununua bitcoin afu anakua nazo kwenye account yake ya ki digital ama Wallet ama blockchain halafu anaziuza tena kwa faida, wapo watu wengi tu wanaofanya BTC traders mfano ukitype www.localbitcoin.com utaona kule kuna watu wengi wapo wanauza na kununu bitcoin, pia kuna website nyingine nyingi tu ukihitaji nitafute nitakuelekeza. kitu cha pili ni BUY AND HOLDING hapa unafanya mambo mawili kwanza unanunua bitcoin halafu unakuanazo kwenye account yako ama blockchain yako unakaa nazo kwa muda flani mpaka pale utakapoona ni muda mzur wa kuzitumia kwasababu sifa mojawapo ya bitcoin ni kwamba hipanda thaman kila siku, achilia mbali ku fall kwake hizi siku chache zilizopita kuna sababu zilizopelekea kushuka kwake nazo nitakujuza kipindi kingine lakin pamoja na kushuka tayari imeanza kurudi juu kama siku zote, kumbuka Sifa ya Currency hupanda na kushuka thaman hata Dollar hupanda na kushuka, hivyo mfano umenunua 1btc ambayo ni sawa na Tsh 9,407,695.59 leo hii tarehe 27-09-2017 sasa baada ya siku kadhaa ukianhalia tena hutakuta ni M 9 hii unaweza kukuta thaman ya 1 btc ni M 11,12, 20, 30 nakuendelea hivyo kwa kipindi hicho ndipo utazitumia ama kwa kununua kitu dukan ama kuziuza kwa faida. Kwa maelezo zaid utanitafuta inbox
Mkuu Elite ahsante kwa elimu, ila nina mashaka hili jambo litakuwa la watu wenye mitaji mikubwa tu kuanzia 10 mil kuendelea maana bit coin moja yaweza fika mpaka 10 mil basi si jambo dogo.
 
Mkuu Elite ahsante kwa elimu, ila nina mashaka hili jambo litakuwa la watu wenye mitaji mikubwa tu kuanzia 10 mil kuendelea maana bit coin moja yaweza fika mpaka 10 mil basi si jambo dogo.
Shukrani sana kwa uelewa wako, kwanza kabisa nikubaliane nawewe kuwa watu wengi wanaojihusisha na kunufaika na fursa hii ni wale wenye fedha za mtaji mkubwa kiasi mfano nikujuze baadhi ya matajiri wakubwa waliowekeza kwenye bitcoin.

1.Wakwanza ni Bill Gates-Founder of Microsoft ndio maana hata hivi sasa unaweza ku purchase Product za Microsoft na ukalipa kwa bitcoin na ukitaka ushahid wake yeye mwenyewe akielezea kuhusu bitcoin upo nitakupatia ukija inbox. Au google Youtube "Bill Gates accept bitcoin" utapata majibu.

2.Eric Schmidt -CEO of Google huyu pia ni mjasiliamali wa bitcoin.

3.John McAfee - Founder of McAfee
4.Sir Richard Branson - Founder of virgin Records,virgin Galactic and 400+ other business

Wapo matajir wengi kiukweli bila kusahao makampuni ya gari kama Lamborghin, Be forward nao wanapokea malipo ya Bitcoin, Dell, NYSE, SUBWAY etc.

Nikweli fursa hii matajir wakubwa wananufaika nayo na wametia pesa zao humo.lakin naomba nikufahamishe kitu kunufaika na kampuni sio lazima wewe uwe mmiliki wa kampuni moja kwa moja nikukumbushe kuna watu wameweka hisa tigo,au CRDB au Cocacola au TBL isingekua rahis wao kununua viwanda ama kujenga bank na kuimiliki ila wametumia njia ya umiliki kwa kununua share(Hisa) kwa pesa kidogo waliyonayo na wananufaika sana kana kwamba wao pia ni moja ya wamiliki wa kiwanda,kampuni au bank.

Vivyo hivyo hauhitaji kuwa na Mil 10,Mil 9, wala Mil 5, kuweza kunufaika na hii kitu japo 1btc = zaidi ya 9Mil Tsh. Kuna njia unaweza kufanya ya kununua hisa kwenye Mining Pool Company ambayo iko varid,Legit na sio Scams ambayo utakua ukipata gawio lako la faida kwa mgao wa Bitcoin, hivyo utaanzia 0.000 btc utakuwa ukipewa kiasi kidogo kidogo baada ya mda utajikuta hiyo 1btc ushaifikisha na unazid kwenda mpaka 3btc, mpaka7 btc na kuendelea. Wapo wenye kipato kidogo tu na sio matajil ila waliwekeza kiasi kidogo cha fedha na kwa sasa wanamiliki kiasi kikubwa sana cha bitcoins. Point yangu kubwa kwa swala hili ni kua si lazima uwe na Capital kubwa sana ili unufaike na fursa hii.
 
Mkuu Elite ahsante kwa elimu, ila nina mashaka hili jambo litakuwa la watu wenye mitaji mikubwa tu kuanzia 10 mil kuendelea maana bit coin moja yaweza fika mpaka 10 mil basi si jambo dogo.
Kiongozi 1btc = 9,407,695 Tsh kwa exchange rate ya leo lakin pindi ununuapo au unapotaka kubadilisha pesa yako upate btc haimaniishi lazima ununu 1btc, unaweza kununua btc ya Tsh 20,000/= au 5000/= au 200,000/= au 150,000/= kiasi chochote tu utakachohitaji wewe kutokana na makubaliano na mwenye nazo.
 
Kiongozi 1btc = 9,407,695 Tsh kwa exchange rate ya leo lakin pindi ununuapo au unapotaka kubadilisha pesa yako upate btc haimaniishi lazima ununu 1btc, unaweza kununua btc ya Tsh 20,000/= au 5000/= au 200,000/= au 150,000/= kiasi chochote tu utakachohitaji wewe kutokana na makubaliano na mwenye nazo.
Enhee sasa naanza kupata mwanga, ahsante mkuu ngoja nitafakari na nikihitaji msaada wako nitakutafuta hata kwa pm.
 
Asanteni sana kwa ndungu zangu ambao tayari mpo kwenye utumiaji wa revolution hii ya pesa za kidigital kwa njia moja au nyingine..Pia hata kwa asiekua mtumiaji au mdau lakini tayari anaelimu hii ya Pesa hizi za kidigitali nawashukuru kwa michango yenu naona tunasaidia kwa pamoja kutoa ufafanuzi madhubuti juu ya swala hili
kianzio ni kiasi gani kwa mimi ambae nataka kununua hizo bitcoin
 
Wana Jf nashauri tufungue GRP la telegram ili tuweze kupeana ujuzi jiasi ya kufanya mining hii ndio njia pekee ya kufanikiwa kuliko kuekeza kwenye makampuni kama vile D9 AMAZONE tunapoteza muda to


Yangu ni hayo
 
Wana Jf nashauri tufungue GRP la telegram ili tuweze kupeana ujuzi jiasi ya kufanya mining hii ndio njia pekee ya kufanikiwa kuliko kuekeza kwenye makampuni kama vile D9 AMAZONE tunapoteza muda to


Yangu ni hayo
ila mbona naona humu ni rahisi pia
 
kianzio ni kiasi gani kwa mimi ambae nataka kununua hizo bitcoin
Kununua bitcoin ni rahis sana unahitaji jambo moja tu kwanza kufungua account yako ama wallet ama blockchain ambayo itahifadhi hizo bitcoin utakazonunua pili utaenda kwenye www.localbitcoin.com humo wapo watu wanaouza btc utaona na ukiselect buton ya buy kwa huyo mtu yatakuja maelezo yake atakutumia namba zake either tigo pesa ama M-Pesa au Bank Account kisha utamtumia hiyo pesa nayeye atacopy Adress ya Wallet yako na atakutumia hapo hapo utaona salio lako la bitcoin limeongeza kutoka kwenye 0.00000 to something else.
Swala la kununu halina pesa maalumu nimaelewano ya muuzaji nawewe kwani muuzaji atakua ameweka range yake ya kuuza anaweza kuanzia 2000 mpaka 10,000,000/= au hivyo utanunua kwa kiasi chochote kuanzia 2000,5000,10000, laki moja, million moja au milioni kumi, kulingana na pesa uliyonayo
 
Kununua bitcoin ni rahis sana unahitaji jambo moja tu kwanza kufungua account yako ama wallet ama blockchain ambayo itahifadhi hizo bitcoin utakazonunua pili utaenda kwenye www.localbitcoin.com humo wapo watu wanaouza btc utaona na ukiselect buton ya buy kwa huyo mtu yatakuja maelezo yake atakutumia namba zake either tigo pesa ama M-Pesa au Bank Account kisha utamtumia hiyo pesa nayeye atacopy Adress ya Wallet yako na atakutumia hapo hapo utaona salio lako la bitcoin limeongeza kutoka kwenye 0.00000 to something else.
Swala la kununu halina pesa maalumu nimaelewano ya muuzaji nawewe kwani muuzaji atakua ameweka range yake ya kuuza anaweza kuanzia 2000 mpaka 10,000,000/= au hivyo utanunua kwa kiasi chochote kuanzia 2000,5000,10000, laki moja, million moja au milioni kumi, kulingana na pesa uliyonayo
Ohh nimeshanunua za elfu mbili sijui nizifanyie nini
 
Wana Jf nashauri tufungue GRP la telegram ili tuweze kupeana ujuzi jiasi ya kufanya mining hii ndio njia pekee ya kufanikiwa kuliko kuekeza kwenye makampuni kama vile D9 AMAZONE tunapoteza muda to


Yangu ni hayo
Idadi ya uhitaji wa elimu hii ikiwa kubwa tutafikiria kufanya hivyo pia
 
Back
Top Bottom