Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Nimekusoma vzr mkuu
 
Naomba mwenye uwezo na uzoefu wa hii biashara iliyo tapakaa katika kila kundi la whatssap atujuze ukweli
Kwa usawa huu maisha yalivyo tight na wanavyo tutamanisha hata kama ni matapeli wanakaribia sana kunasa fedha yangu.
Naomba wana jukwaa mwenye kujua hii biashara atufahamishe
BITCLUB ADVANTAGE (faida)

karibu bitclub advantage
uwekeze kwa faida


*IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE NA FAIDA ZAKE*

HII ni kampuni ya kimataifa inayofanya biashara ya ubadilishaji wa fedha dijitali (crypto currencies exchange)

Imelenga katika kutumia teknolojia maalumu inayowawezesha kupata faida kubwa na kugawana faida hiyo na wajasiriamali waliowekeza mitaji yao katika kampuni kwa muda wa wiki 52. Mwekezaji ataweza kutengeneza faida hadi 300% ya uwekezaji wake.

*Tofauti ya Bitclub Advantage na kampuni nyinginezo ni:*

[emoji67]‍[emoji264]Hakuna bidhaa za kutembeza au kuuza ndio ulipwe

[emoji51]Hakuna malipo ya kianzio (starter pack) bali pesa yote unayowekeza ni sehemu ya mtaji wako

[emoji39] Makato ya kila mwezi (monthly fee) ni chini ya 2.6% ya kifurushi chako

[emoji39]Vifurushi 7 vyenye gharama kuanzia $25 hadi $1999 hivyo kila mtu anaweza kuingia.

Kiwango cha chini cha kutoa (minimum withdraw) ni kuanzia $10 hadi $300 kulingana na ukubwa wa kifurushi.

[emoji651]Hakuna kiwango cha mwisho cha juu (maxmum withdraw) cha kutoa fedha zako.
Kushirikisha wengine ni hiari yako

[emoji536]Huhitaji kufungua ofisi au kuacha kazi yako ya sasa.

Ili kuanza uwekezaji wako chagua kati ya vifurushi vifuatavyo:

(malipo yanayoonyeshwa ni bila kumshirikisha yeyote, iwapo utashirikisha wengine (networking) utalipwa bonus nyingi sana)

*PACKAGES Pamoja na MALIPO YAKE* (bei zilizoonyeshwa ni pamoja na transfer charges na pia zinaweza kubadilika kutokana na thamani ya $ kwa wakati husika)

1. *CLIENT PARTNER* :: 30$ (67,500tshs)
UNALIPWA $1.4 (3150Tshs) KILA WEEK,
$6.16)13,860Tshs KWA MWEZI

2. *CLIENT BASIC* : 55$ (123,750tshs)UNALIPWA $2.8(6,300tshs)/KILA WIKI,
$12.32(27,720tshs)/KWA MWEZI

3. *CLIENT BRONZE* :110$ (247,500tshs) UNALIPWA $6.75 (15,180tsh)/KWA WIKI,
, $29.7(67,000Tsh)/ KWA MWEZI.

4. *CLIENT SILVER* :270$ (607,500tshs) UNALIPWA $16.93(38,100tshs)/ KWA WIKI, $74.5(167,630tshs)/ KWA MWEZI

5. *CLIENT GOLD* :550$ (1,237,500tshs) UNALIPWA KWA WIKI $33.93(76,340 tshs) UNALIPWA
$149.3 (336,000tsh)/ KWA MWEZI

6. *CLIENT PREMIUM* :1060$ (2,385,000tshs)
UNALIPWA, $67.93(152,800tshs) /KWA WIKI , $298.9 (672,500tsh) KWA MWEZI

7. *CLIENT BLACK*: 2060$ (4,635,000tshs) UNALIPWA, $153.92(346,300tshs)/ KWA WIKI, $677.26(1,501,000tshs)/KWA MWEZI

NB:1 usd = 2,250tshs

MALIPO HAYO UTALIPWA HATA BILA KUMSHIRIKISHA MTU YEYOTE. UKIMSHIRIKISHA MTU HAPO NDO Unapata FAIDA ZAIDI MAANA KUNA *AINA 5 ZA BONUS* ZITAKAZOKUHAKIKISHIA KIPATO KIKUBWA SANA AMBACHO HUJAWAHI KUWAZIA (amini usiamini Ingia huku utajionea)
(1) direct bonus
(2)indirect bonus
(3)binary bonus
(4)daily commission
(5) points kwaajiri ya zawadi[emoji91][emoji91][emoji123]

KARIBU TUKUZE KIPATO NA Tutengeneze faida maradufu kwa BIASHARA HII YA KARNE YA 21 YA CRYPTOCURRENCY TRADING KUPITIA KAMPUNI YA BITCLUB ADVANTAGE.

Kumbuka, Mkataba na bitclubadvantage ni wa mwaka mmoja (52weeks)kwa kila kifurushi utachokinunua

Pakua PDF PRESENTATION hapa[emoji116]
https://bitcoins.bitclubadvantage.com/downloads/bitclub_2017_en.pdf

Usipitwe na fursa hii..
 
Amna utapeli umo fatilia google ,facebook, youtube kisha njooo ujisajir
 
Nikisoma kidogo tu najua hu ni uYapeli au ni kitu halisi kila la herii
 
Halafu kuna kitu kama ni yuleyule anajijibu na kujiuliza...Mungu pitisha mbali huu utoto
Sijauliza na kujijibu angalia vizuri nimwtumiwa whatssap hivyo natafuta kujua kama ni kweli au ni utapeli kwa sababu kama kweli ni matapeli wanakaribia kunipata
 
Sijauliza na kujijibu angalia vizuri nimwtumiwa whatssap hivyo natafuta kujua kujua kama ni utapeli kwa sababu kama kweli ni matapeli wanakaribia kunipata
Sasa mkuu unamkabidhi mtu fedha anaenda kuifanyia trading ya forex and may be hana uzoefu na haelewi vizuri ku trade. Kumbuka kuwa kwa Tz hili soko ni geni bado. Unaanzaje kumuamini wakati hamna sheria yoyote inayo govern makubaliano yenu? What if akikurusha? Utamshtaki? Kwa sheria ipi? Bora ukajipa muda ukasoma vizuri then uka trade mwenyewe mkuu
 
Asante kwa ushauri mkuu hapa hawa jamaa walikua wanakaribia sana kuniibia kwa sababu nilitaka kuzamisha kama laki tano ili kujaribu
 
Asante kwa ushauri mkuu hapa hawa jamaa walikua wanakaribia sana kuniibia kwa sababu nilitaka kuzamisha kama laki tano ili kujaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…