Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

Kwa sasa tuko kwenye block chain era... Mambo yanabadilika sana!

Na sio bitcoin tu ziko nyingine nyingi tu mpaka north korea wana ya kwao!!
 
Bitcoin is a digital coin. Its value is more than any currency. Its value today: 1 btc = 13,870 usd =31,000,000 TZS . Hiyo ni standard exchange rate. Ukitaka kuinunua utanunua kwa about 40 milion TZS.
Hii coin ilianza mwaka 2009 wakati huo 1 btc iliuzwa chini ya 50 cents usd. Na value yake inapanda kwa kasi ya mwanga. Mwezi May 2017 iliuzwa kwa TZS 5mln, kufika mwezi August ikauzwa kwa TZS 8mln, baada ya hapo haikushikika....ikapanda mpaka about 45-50mln....na inategemewa kufika milioni 100 soon. Hii currency ni legal kwa nchi nyingi za ulaya na usa. Katika nchi hizo kuna hadi ATM za kutolea na kuweka bitcoin. Labda niweke wazi....hakuna noti au sarafu utakayoishika physically inaitwa btc...isipokuwa ktk atm za btc utatoa hela ya currency ya nchi ile. Sifa kuu zinazofanya bitcoin ikimbiliwe hususani na matajiri wakubwa ni hizi: 1. Untreacable- hakuna benk kuu yeyote duniani inaweza kujua unahela kiasi gani, au umetuma hela au umepokea kiasi gani. 2. Fast transaction- ukitaka kufanya malipo pesa yako haipitii middle man kama benks, nk na huenda moja kwa moja between two end users. Kwa mfano kama unataka kulipia gari nje ya nchi( kuna yard zinakubali btc payments) utatuma hela moja kwa moja kwa ile yard au auction bila kupitia benk na huitaji kufanya currency conversion . 3. Digital- hela zako zipo kwenye simu/kompyuta yako 4. N.k
Kwa baadhi ya makampuni yanayoa huduma za bitcoin hutoa na visa au mastercard kwa malipo mengine ya online au kutoa fedha. Kwa kuhitimisha tu ni kuwa hakuna namna ya kuipinga bitcoin isifanye kazi ndani ya nchi yeyote duniani. Baadhi ya Benk kuu mfano China na India walijaribu kuizuia wakashindwa baadae walianua kutengeneza regulation za kuicontrol ili kwanza kuhakikisha kodi ya hizo serikali zinapatikana kutokana na btc transactions. pili, kuzuia uharifu ambao unaweza kufanyika kupitia btc. Uharifu kama money laundering, drug traffic, human traffiking nk. Kuna baadhi ya nchi kama naweza kuzikumbuka ipo Botswana na South Afrika nao wametengeneza regulations. Pia nilipata kusikia kuhusu kati ya kenya au uganda nao.wapo katika mpango huo. Hitimisho ya mwisho ni kuwa: kama mna kumbukumbu nzuri, telegram ililiua shirika la posta, baadae simu za mobitel na voda za mwanzo ziliua kabisa posta na telegram, baadae smartphone zimeiangamiza kabisa hizo old tecknolojies. Mnakumbuka jinsi mabenk yalivyokuwa yanapigia kelele mpesa, na sasa imeruhusiwa kuoperate kama benk. Kwa kufanya hivyo imepunguza wateja na savings za benk, sasa mabenk na mpesa wana threat mpya ya bitcoin. Ndo maana mabenk ya TZ yakaungana kulaani na kuwatahadhalisha watu kuhusu kuwekeza katika bitcoin na kuita majina ya utapeli na mengine. Na BOT nao walifanya hivyo hivyo....ni ukweli mtupu kuwa bitcoin ni tishio kubwa la mabenk duniani kwa sasa. Hata mimi kama ningekuwa na ukwasi wa kutosha ningeuweka huko. Hebu waza. Ukiweka 100,000 benk baada ya mwezi itakatwa service charge, ukitoa utakatwa withdrw chajis, hela haiobgezeki thamani...Tofauti sana na bitcoin. Ukiacha hela yako kwa muda furani utaikuta bitcoin zako zipo vile vile, isipokuwa utakuta imeongezeka thamani dhidi ya coins km dola, yen nk..... Ombi kwa serikali zetu za Afrika, wakati wazungu wanakimbia na sisi tukimbizane nao, isije tukajisahau wakati huo hakuna tena kitu kinaitwa benk ulaya kwa matumiz ya btc harafu tunaaza kujikokota tukiwa still underdeveloped interms of btc technology....tukimbizane nao. Nimefarijika sana mwezi uliopita nimesikia nchi moja ya Afrika inaanzisha blockchain
. Pia kuna nchi ya ulaya inampango wa kutumia blockchain kwenye uchaguzi mkuu....wake up Africa
 
Asante sana Mkuu ungekuwa mwl hakuna div 0. Je inawezekana kuwa hapa bongoland watu wameshajiunga huko ingawa kwa jinsi ilivyo ni vigumu kujua ?
 
Asante sana Mkuu ungekuwa mwl hakuna div 0. Je inawezekana kuwa hapa bongoland watu wameshajiunga huko ingawa kwa jinsi ilivyo ni vigumu kujua ?
Wapo wengi wamewekeza kwenye btc ni matajiri. Kuipinga au kutoitambua hakuwezi kuizuia isioperate. Wenzetu wa kenya na uganda wapo more aware kuliko Tanzania....nadhani bado tunahitaji watu wa kuwaelimisha viongozi wetu tupate hata kodi na kuzuia uharifu
 
Bitcoin is a digital coin. Its value is more than any currency. Its value today: 1 btc = 13,870 usd =31,000,000 TZS . Hiyo ni standard exchange rate. Ukitaka kuinunua utanunua kwa about 40 milion TZS.
Hii coin ilianza mwaka 2009 wakati huo 1 btc iliuzwa chini ya 50 cents usd. Na value yake inapanda kwa kasi ya mwanga. Mwezi May 2017 iliuzwa kwa TZS 5mln, kufika mwezi August ikauzwa kwa TZS 8mln, baada ya hapo haikushikika....ikapanda mpaka about 45-50mln....na inategemewa kufika milioni 100 soon. Hii currency ni legal kwa nchi nyingi za ulaya na usa. Katika nchi hizo kuna hadi ATM za kutolea na kuweka bitcoin. Labda niweke wazi....hakuna noti au sarafu utakayoishika physically inaitwa btc...isipokuwa ktk atm za btc utatoa hela ya currency ya nchi ile. Sifa kuu zinazofanya bitcoin ikimbiliwe hususani na matajiri wakubwa ni hizi: 1. Untreacable- hakuna benk kuu yeyote duniani inaweza kujua unahela kiasi gani, au umetuma hela au umepokea kiasi gani. 2. Fast transaction- ukitaka kufanya malipo pesa yako haipitii middle man kama benks, nk na huenda moja kwa moja between two end users. Kwa mfano kama unataka kulipia gari nje ya nchi( kuna yard zinakubali btc payments) utatuma hela moja kwa moja kwa ile yard au auction bila kupitia benk na huitaji kufanya currency conversion . 3. Digital- hela zako zipo kwenye simu/kompyuta yako 4. N.k
Kwa baadhi ya makampuni yanayoa huduma za bitcoin hutoa na visa au mastercard kwa malipo mengine ya online au kutoa fedha. Kwa kuhitimisha tu ni kuwa hakuna namna ya kuipinga bitcoin isifanye kazi ndani ya nchi yeyote duniani. Baadhi ya Benk kuu mfano China na India walijaribu kuizuia wakashindwa baadae walianua kutengeneza regulation za kuicontrol ili kwanza kuhakikisha kodi ya hizo serikali zinapatikana kutokana na btc transactions. pili, kuzuia uharifu ambao unaweza kufanyika kupitia btc. Uharifu kama money laundering, drug traffic, human traffiking nk. Kuna baadhi ya nchi kama naweza kuzikumbuka ipo Botswana na South Afrika nao wametengeneza regulations. Pia nilipata kusikia kuhusu kati ya kenya au uganda nao.wapo katika mpango huo. Hitimisho ya mwisho ni kuwa: kama mna kumbukumbu nzuri, telegram ililiua shirika la posta, baadae simu za mobitel na voda za mwanzo ziliua kabisa posta na telegram, baadae smartphone zimeiangamiza kabisa hizo old tecknolojies. Mnakumbuka jinsi mabenk yalivyokuwa yanapigia kelele mpesa, na sasa imeruhusiwa kuoperate kama benk. Kwa kufanya hivyo imepunguza wateja na savings za benk, sasa mabenk na mpesa wana threat mpya ya bitcoin. Ndo maana mabenk ya TZ yakaungana kulaani na kuwatahadhalisha watu kuhusu kuwekeza katika bitcoin na kuita majina ya utapeli na mengine. Na BOT nao walifanya hivyo hivyo....ni ukweli mtupu kuwa bitcoin ni tishio kubwa la mabenk duniani kwa sasa. Hata mimi kama ningekuwa na ukwasi wa kutosha ningeuweka huko. Hebu waza. Ukiweka 100,000 benk baada ya mwezi itakatwa service charge, ukitoa utakatwa withdrw chajis, hela haiobgezeki thamani...Tofauti sana na bitcoin. Ukiacha hela yako kwa muda furani utaikuta bitcoin zako zipo vile vile, isipokuwa utakuta imeongezeka thamani dhidi ya coins km dola, yen nk..... Ombi kwa serikali zetu za Afrika, wakati wazungu wanakimbia na sisi tukimbizane nao, isije tukajisahau wakati huo hakuna tena kitu kinaitwa benk ulaya kwa matumiz ya btc harafu tunaaza kujikokota tukiwa still underdeveloped interms of btc technology....tukimbizane nao. Nimefarijika sana mwezi uliopita nimesikia nchi moja ya Afrika inaanzisha blockchain
. Pia kuna nchi ya ulaya inampango wa kutumia blockchain kwenye uchaguzi mkuu....wake up Africa
Naona umemeliza KIU yake huyo...............Kuna watu wananunua hata Magari kwa kutumia hii kitu ndani ya MuTZ............!!!
 
Bitcoin is a digital coin. Its value is more than any currency. Its value today: 1 btc = 13,870 usd =31,000,000 TZS . Hiyo ni standard exchange rate. Ukitaka kuinunua utanunua kwa about 40 milion TZS.
Hii coin ilianza mwaka 2009 wakati huo 1 btc iliuzwa chini ya 50 cents usd. Na value yake inapanda kwa kasi ya mwanga. Mwezi May 2017 iliuzwa kwa TZS 5mln, kufika mwezi August ikauzwa kwa TZS 8mln, baada ya hapo haikushikika....ikapanda mpaka about 45-50mln....na inategemewa kufika milioni 100 soon. Hii currency ni legal kwa nchi nyingi za ulaya na usa. Katika nchi hizo kuna hadi ATM za kutolea na kuweka bitcoin. Labda niweke wazi....hakuna noti au sarafu utakayoishika physically inaitwa btc...isipokuwa ktk atm za btc utatoa hela ya currency ya nchi ile. Sifa kuu zinazofanya bitcoin ikimbiliwe hususani na matajiri wakubwa ni hizi: 1. Untreacable- hakuna benk kuu yeyote duniani inaweza kujua unahela kiasi gani, au umetuma hela au umepokea kiasi gani. 2. Fast transaction- ukitaka kufanya malipo pesa yako haipitii middle man kama benks, nk na huenda moja kwa moja between two end users. Kwa mfano kama unataka kulipia gari nje ya nchi( kuna yard zinakubali btc payments) utatuma hela moja kwa moja kwa ile yard au auction bila kupitia benk na huitaji kufanya currency conversion . 3. Digital- hela zako zipo kwenye simu/kompyuta yako 4. N.k
Kwa baadhi ya makampuni yanayoa huduma za bitcoin hutoa na visa au mastercard kwa malipo mengine ya online au kutoa fedha. Kwa kuhitimisha tu ni kuwa hakuna namna ya kuipinga bitcoin isifanye kazi ndani ya nchi yeyote duniani. Baadhi ya Benk kuu mfano China na India walijaribu kuizuia wakashindwa baadae walianua kutengeneza regulation za kuicontrol ili kwanza kuhakikisha kodi ya hizo serikali zinapatikana kutokana na btc transactions. pili, kuzuia uharifu ambao unaweza kufanyika kupitia btc. Uharifu kama money laundering, drug traffic, human traffiking nk. Kuna baadhi ya nchi kama naweza kuzikumbuka ipo Botswana na South Afrika nao wametengeneza regulations. Pia nilipata kusikia kuhusu kati ya kenya au uganda nao.wapo katika mpango huo. Hitimisho ya mwisho ni kuwa: kama mna kumbukumbu nzuri, telegram ililiua shirika la posta, baadae simu za mobitel na voda za mwanzo ziliua kabisa posta na telegram, baadae smartphone zimeiangamiza kabisa hizo old tecknolojies. Mnakumbuka jinsi mabenk yalivyokuwa yanapigia kelele mpesa, na sasa imeruhusiwa kuoperate kama benk. Kwa kufanya hivyo imepunguza wateja na savings za benk, sasa mabenk na mpesa wana threat mpya ya bitcoin. Ndo maana mabenk ya TZ yakaungana kulaani na kuwatahadhalisha watu kuhusu kuwekeza katika bitcoin na kuita majina ya utapeli na mengine. Na BOT nao walifanya hivyo hivyo....ni ukweli mtupu kuwa bitcoin ni tishio kubwa la mabenk duniani kwa sasa. Hata mimi kama ningekuwa na ukwasi wa kutosha ningeuweka huko. Hebu waza. Ukiweka 100,000 benk baada ya mwezi itakatwa service charge, ukitoa utakatwa withdrw chajis, hela haiobgezeki thamani...Tofauti sana na bitcoin. Ukiacha hela yako kwa muda furani utaikuta bitcoin zako zipo vile vile, isipokuwa utakuta imeongezeka thamani dhidi ya coins km dola, yen nk..... Ombi kwa serikali zetu za Afrika, wakati wazungu wanakimbia na sisi tukimbizane nao, isije tukajisahau wakati huo hakuna tena kitu kinaitwa benk ulaya kwa matumiz ya btc harafu tunaaza kujikokota tukiwa still underdeveloped interms of btc technology....tukimbizane nao. Nimefarijika sana mwezi uliopita nimesikia nchi moja ya Afrika inaanzisha blockchain
. Pia kuna nchi ya ulaya inampango wa kutumia blockchain kwenye uchaguzi mkuu....wake up Africa

Shukrani sana mkuu ubarikiwe na uendelee kuitoa elimu na ushauri wa hivi bure (ikiwezekana)
 
Kwaio nisiji update mkuu??, ndio maana nkauliza maswali ya jumla lengo ni kutaka kufahamu (elimu) na elimu si tumeagizwa na vitabu vitakatifu tuitafite popote ilipo ama??

Kama unaitaka elimu ya masuala haya katika ukamilifu wake, hapa si mahala sahihi.
 
Bitcoin is a digital coin. Its value is more than any currency. Its value today: 1 btc = 13,870 usd =31,000,000 TZS . Hiyo ni standard exchange rate. Ukitaka kuinunua utanunua kwa about 40 milion TZS.
Hii coin ilianza mwaka 2009 wakati huo 1 btc iliuzwa chini ya 50 cents usd. Na value yake inapanda kwa kasi ya mwanga. Mwezi May 2017 iliuzwa kwa TZS 5mln, kufika mwezi August ikauzwa kwa TZS 8mln, baada ya hapo haikushikika....ikapanda mpaka about 45-50mln....na inategemewa kufika milioni 100 soon. Hii currency ni legal kwa nchi nyingi za ulaya na usa. Katika nchi hizo kuna hadi ATM za kutolea na kuweka bitcoin. Labda niweke wazi....hakuna noti au sarafu utakayoishika physically inaitwa btc...isipokuwa ktk atm za btc utatoa hela ya currency ya nchi ile. Sifa kuu zinazofanya bitcoin ikimbiliwe hususani na matajiri wakubwa ni hizi: 1. Untreacable- hakuna benk kuu yeyote duniani inaweza kujua unahela kiasi gani, au umetuma hela au umepokea kiasi gani. 2. Fast transaction- ukitaka kufanya malipo pesa yako haipitii middle man kama benks, nk na huenda moja kwa moja between two end users. Kwa mfano kama unataka kulipia gari nje ya nchi( kuna yard zinakubali btc payments) utatuma hela moja kwa moja kwa ile yard au auction bila kupitia benk na huitaji kufanya currency conversion . 3. Digital- hela zako zipo kwenye simu/kompyuta yako 4. N.k
Kwa baadhi ya makampuni yanayoa huduma za bitcoin hutoa na visa au mastercard kwa malipo mengine ya online au kutoa fedha. Kwa kuhitimisha tu ni kuwa hakuna namna ya kuipinga bitcoin isifanye kazi ndani ya nchi yeyote duniani. Baadhi ya Benk kuu mfano China na India walijaribu kuizuia wakashindwa baadae walianua kutengeneza regulation za kuicontrol ili kwanza kuhakikisha kodi ya hizo serikali zinapatikana kutokana na btc transactions. pili, kuzuia uharifu ambao unaweza kufanyika kupitia btc. Uharifu kama money laundering, drug traffic, human traffiking nk. Kuna baadhi ya nchi kama naweza kuzikumbuka ipo Botswana na South Afrika nao wametengeneza regulations. Pia nilipata kusikia kuhusu kati ya kenya au uganda nao.wapo katika mpango huo. Hitimisho ya mwisho ni kuwa: kama mna kumbukumbu nzuri, telegram ililiua shirika la posta, baadae simu za mobitel na voda za mwanzo ziliua kabisa posta na telegram, baadae smartphone zimeiangamiza kabisa hizo old tecknolojies. Mnakumbuka jinsi mabenk yalivyokuwa yanapigia kelele mpesa, na sasa imeruhusiwa kuoperate kama benk. Kwa kufanya hivyo imepunguza wateja na savings za benk, sasa mabenk na mpesa wana threat mpya ya bitcoin. Ndo maana mabenk ya TZ yakaungana kulaani na kuwatahadhalisha watu kuhusu kuwekeza katika bitcoin na kuita majina ya utapeli na mengine. Na BOT nao walifanya hivyo hivyo....ni ukweli mtupu kuwa bitcoin ni tishio kubwa la mabenk duniani kwa sasa. Hata mimi kama ningekuwa na ukwasi wa kutosha ningeuweka huko. Hebu waza. Ukiweka 100,000 benk baada ya mwezi itakatwa service charge, ukitoa utakatwa withdrw chajis, hela haiobgezeki thamani...Tofauti sana na bitcoin. Ukiacha hela yako kwa muda furani utaikuta bitcoin zako zipo vile vile, isipokuwa utakuta imeongezeka thamani dhidi ya coins km dola, yen nk..... Ombi kwa serikali zetu za Afrika, wakati wazungu wanakimbia na sisi tukimbizane nao, isije tukajisahau wakati huo hakuna tena kitu kinaitwa benk ulaya kwa matumiz ya btc harafu tunaaza kujikokota tukiwa still underdeveloped interms of btc technology....tukimbizane nao. Nimefarijika sana mwezi uliopita nimesikia nchi moja ya Afrika inaanzisha blockchain
. Pia kuna nchi ya ulaya inampango wa kutumia blockchain kwenye uchaguzi mkuu....wake up Africa

Vipi na upande wa pili, risks za cryptocurrency? Hasa kwa mtumiaji wa kawaida, as an investment. Sijaona ukiziongelea.

Kitu gani hasa kinaipa bitcoin/cryptocurrency yoyote value ya kuilinganisha na fiat currency? Una maoni gani kuhusu mada inayojadiliwa kuwa bitcoin imekuwa overinflated na its a bubble na itaburst? Vipi na masuala ya artificial inflation au pumps za values za cryptocurrency kadhaa ili kikundi cha watu kipige pesa?

Kama umeamua kuiongelea, iongelee kwa mazima.
 
Cryptocurrency ni kama kamali sasa hivi, haina tofauti na kwenda casino na hela zako. Unaweza ukanunua leo at 14,000 ikadondoka 20% kesho au ikapanda 100%, hakuna rhyme wala reason.

Tatizo jingine ni kuwa ishakuwa kama imani fulani imewashika baadhi ya watu vichwa, hauwezi kuwaambia chochote wakakuelewa.
 
Habari waungwana[emoji1538]

Niende moja kwa moja kwenye mada husika, hivi hii Bitcoin ndio kitu gani? Hivi hii kitu inauzika huku kwetu Tanzania? na je nikitaka kuingia kwenye hiyo kitu inakuwaje? (Ata kama ni haramu huku kwetu)

Hivi kuna wadau huku wamewahi jihusisha na hii kitu? Eti mlianzaje? Hivi ina tofauti na Betting au gambling?? na ni kivipi??

Haya shukrani nyote, nasubiri michango yenu.

Nb: na mim ni Thomaso sikubali adi nijionee
Chunga sana members wawili humu wasikusikie utaoga matusi ya kila rangi jamaa hawa ni FRESHMAN na The List hawataki mijadala ya namna hii humu na wanalazimisha moderator wafute kabisa thread zinazojadili haya mambo. Kuna Dogo humu anaitwa ONTARIO alikuwa amepanga aje ashushe nondo za hatari kuhusu cryptocurrency akatoa intro kwenye Uzi wake wa "Ontario mere prediction about the future, yajayo yanasisimua". Kesho yake haters wakafungua threads kama mia iv wakanya vya kutosha mpaka dakika hii Ontario kaikimbia jf sijui kama atarudi tena
 
Chunga sana members wawili humu wasikusikie utaoga matusi ya kila rangi jamaa hawa ni FRESHMAN na The List hawataki mijadala ya namna hii humu na wanalazimisha moderator wafute kabisa thread zinazojadili haya mambo. Kuna Dogo humu anaitwa ONTARIO alikuwa amepanga aje ashushe nondo za hatari kuhusu cryptocurrency akatoa intro kwenye Uzi wake wa "Ontario mere prediction about the future, yajayo yanasisimua". Kesho yake haters wakafungua threads kama mia iv wakanya vya kutosha mpaka dakika hii Ontario kaikimbia jf sijui kama atarudi tena
Kwahiyo wewe msemaji wa Ontario kuwa amekimbia? Hivi unamfahamu Ontario vizuri? Alikwambia kuwa amekimbia au unalopoka tu?
 
Back
Top Bottom