kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,677
Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam
1. Lilijengwa mwaka gani.
2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo.
3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho.
4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana.
5. Na je hatuwezi kuwapata walioshiriki kujenga daraja hilo wakatusaidia mawazo nini kilipelekea kujenga daraja imara kiasi hicho.
6. Pia naomba kujua kiasi cha fedha zilizotumika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.
7. Na ni kwa nini maji ya mito yote hayajazi eneo hilo la daraja.
Natanguliza shukrani kwa yoyote atakusaidia kwa namna moja au nyingine...
"My take: kwangu mimi DARAJA HILI LINGEWEKWA KWENYE MAAJABU YA DUNIA, kwa kuweza kupitisha maji ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam bila wasiwasi!
1. Lilijengwa mwaka gani.
2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo.
3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho.
4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana.
5. Na je hatuwezi kuwapata walioshiriki kujenga daraja hilo wakatusaidia mawazo nini kilipelekea kujenga daraja imara kiasi hicho.
6. Pia naomba kujua kiasi cha fedha zilizotumika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.
7. Na ni kwa nini maji ya mito yote hayajazi eneo hilo la daraja.
Natanguliza shukrani kwa yoyote atakusaidia kwa namna moja au nyingine...
"My take: kwangu mimi DARAJA HILI LINGEWEKWA KWENYE MAAJABU YA DUNIA, kwa kuweza kupitisha maji ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam bila wasiwasi!