Historia ya Daraja la Selander la Jijini Dar es Salaam

Historia ya Daraja la Selander la Jijini Dar es Salaam

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam

1. Lilijengwa mwaka gani.

2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo.

3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho.

4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana.

5. Na je hatuwezi kuwapata walioshiriki kujenga daraja hilo wakatusaidia mawazo nini kilipelekea kujenga daraja imara kiasi hicho.

6. Pia naomba kujua kiasi cha fedha zilizotumika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.

7. Na ni kwa nini maji ya mito yote hayajazi eneo hilo la daraja.

Natanguliza shukrani kwa yoyote atakusaidia kwa namna moja au nyingine...


"My take: kwangu mimi DARAJA HILI LINGEWEKWA KWENYE MAAJABU YA DUNIA, kwa kuweza kupitisha maji ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam bila wasiwasi!
 
C102E2AC-AE3C-4388-A6AB-2EB3FC4ABF3F.jpeg


Selander Bridge almaarufu kama “Daraja la Salenda” lililopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam, Tanzania linaunganisha kaskazini magharibi mwa jiji la Dar es Salaam na mjini kati na maeneo jirani ya Kinondoni na Oyster Bay.

Daraja hili lilijengwa mwaka 1929 na lilipewa jina lake kumuezi Ndg. John Einar Selander, ambaye alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Tanganyika Public Works.

Daraja linaloonekana kwa sasa ni matokeo ya uboreshaji uliofadhiliwa na JICA mwaka 1980.

54AFF1B6-E578-463F-956A-5F9594B6D1B6.jpeg

A26EF357-D51A-4900-815C-CE43E89A73E3.jpeg

883D0A8C-61A3-4223-9983-39906E0CF229.jpeg
 
Mkuu hakuna cha ajabu chochote pale... sema tu geographia ya pale huielewi. Daraja halitaweza ku overflow milele labda tu kuwe na sea level rise. ukienda siku bahari ikiyojaa... high tìde ndo utaelewa kikomo cha mwisho cha height ya maji... hata mvua inyeshe vipi... haiwezi kuzidi kikomo hiko... kwa hyo usiwasifie wajenzi, location ndo inawafavor japo sio daraja baya pia kwa jinsi lilivyojengwa ila siyo kitu cha ajabu.
 
mkuu hakuna cha ajabu chochote pale... sema tu geographia ya pale huielewi. Daraja halitaweza ku overflow milele labda tu kuwe na sea level rise. ukienda siku bahari ikiyojaa... high tìde ndo utaelewa kikomo cha mwisho cha height ya maji... hata mvua inyeshe vipi... haiwezi kuzidi kikomo hiko... kwa hyo usiwasifie wajenzi.... location ndo inawafavor japo sio daraja baya pia kwa jinsi lilivyojengwa ila siyo kitu cha ajabu.
Umejibu kifasaha sana. Ni daraja la kawaida kabisa. Na kuna wakati kama kumbukumbu ziko sawa maji yalishawahi kupita juu yake. water tide ilikuwa juu.

Mi daraja ninalolivulia kofia ni daraja la mto wami. Daraja kongwe na jembamba lipitishalo matani ya mizigo bila kutetereka.
 
Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam

1. Lilijengwa mwaka gani.

2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo.

3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho.

4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana.

5. Na je hatuwezi kuwapata walioshiriki kujenga daraja hilo wakatusaidia mawazo nini kilipelekea kujenga daraja imara kiasi hicho.

6. Pia naomba kujua kiasi cha fedha zilizotumika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.

7. Na ni kwa nini maji ya mito yote hayajazi eneo hilo la daraja.

Natanguliza shukrani kwa yoyote atakusaidia kwa namna moja au nyingine...


"My take: kwangu mimi DARAJA HILI LINGEWEKWA KWENYE MAAJABU YA DUNIA, kwa kuweza kupitisha maji ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam bila wasiwasi!
Mchonga alikoswakoswa pale
 
Wajenzi waliachwa wakatumia Taaluma zao vizuri bila kuingiliwa na Wana Siasa uchwara, panapokua na Siasa kila kitu kinafeli, mfano Hostel za Mlimani, DART offices pale Jangwani, ujenzi wa hospital ya Simiyu
Mbona unawashambulia wenzako wanaochanganya mambo ya taaluma na siasa!!? Sidhani kama kuna swala la kisiasa kwenye uzi huu!!
[HASHTAG]#Wewe[/HASHTAG] utakua ndugu wa malaika mkuu
 
Umejibu kifasaha sana. Ni daraja la kawaida kabisa. Na kuna wakati kama kumbukumbu ziko sawa maji yalishawahi kupita juu yake... water tide ilikuwa juu...

Mi daraja ninalolivulia kofia ni daraja la mto wami. Daraja kongwe na jembamba lipitishalo matani ya mizigo bila kutetereka.
Babu umenikumbusha aisee,.

Hilo daraja ni funika kabisa kwa ubora, gari za aina zote zenye mizigo tofauti yenye uzito tofauti zinapita humo.

Na hilo lilijengwa lini? Mkandarasi/ Engineer wake alikuwa nani?
 
Umejibu kifasaha sana. Ni daraja la kawaida kabisa. Na kuna wakati kama kumbukumbu ziko sawa maji yalishawahi kupita juu yake... water tide ilikuwa juu...

Mi daraja ninalolivulia kofia ni daraja la mto wami. Daraja kongwe na jembamba lipitishalo matani ya mizigo bila kutetereka.
Huwa nalifananisha na mambe kimangi
 
Umejibu kifasaha sana. Ni daraja la kawaida kabisa. Na kuna wakati kama kumbukumbu ziko sawa maji yalishawahi kupita juu yake... water tide ilikuwa juu...

Mi daraja ninalolivulia kofia ni daraja la mto wami. Daraja kongwe na jembamba lipitishalo matani ya mizigo bila kutetereka.
Huwa nalifananisha na mambe kimangi
 
Hayo majibu yote yatapatikana kweli? Hapo kuna kipindi ilikua hairuhusiwi kupiga picha.
 
Siyo kweli.
Ila around 1967 , ndege ndogo ya marubani wa JWTZ katika mafunzo ilianguka karibu na ukingo.
Marubani wawili walikufa.
Mmoja mCanada na mwingine mTanzania.
Sababu ya kujenga kile kituo cha polisi pale ni mchonga kutegeshewa bomu kipindi kile cha vita baridi.. Hata hivyo alighairi kupita dakika za mwisho alikuwa anaelekea Kawe ana Lugalo jeshini nadhani
 
Back
Top Bottom