T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Una mambo ya kike sana siku hiziHuwa nalifananisha na mambe kimangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mambo ya kike sana siku hiziHuwa nalifananisha na mambe kimangi
Pale Sealander kuna madaraja mawili. La zamani lilijengwa mwaka 1957 na likapewa jina la aliyekuwa Director of public works sawa na waziri wa ujenzi John Sealander.
La pili nadhani lilijengwa mwaka 1984 kwa ufadhili wa Japan.
Asante kwa taarifa nzuri! Naomba tujuzwe connection ya Sweden katika hilo daraja?? Asante.View attachment 952588
Selander Bridge almaarufu kama “Daraja la Salenda” lililopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam, Tanzania linaunganisha kaskazini magharibi mwa jiji la Dar es Salaam na mjini kati na maeneo jirani ya Kinondoni na Oyster Bay.
Daraja hili lilijengwa mwaka 1929 na lilipewa jina lake kumuezi Ndg. John Einar Selander, ambaye alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Tanganyika Public Works.
Daraja linaloonekana kwa sasa ni matokeo ya uboreshaji uliofadhiliwa na JICA mwaka 1980.
View attachment 940307
View attachment 940306
View attachment 940305
Wami lilijengwa tangu 1959 lakini mpaka Leo limesimama imara tuBabu umenikumbusha aisee,.
Hilo daraja ni funika kabisa kwa ubora, gari za aina zote zenye mizigo tofauti yenye uzito tofauti zinapita humo.
Na hilo lilijengwa lini? Mkandarasi/ Engineer wake alikuwa nani?
Picha tafadhariUmejibu kifasaha sana. Ni daraja la kawaida kabisa. Na kuna wakati kama kumbukumbu ziko sawa maji yalishawahi kupita juu yake... water tide ilikuwa juu...
Mi daraja ninalolivulia kofia ni daraja la mto wami. Daraja kongwe na jembamba lipitishalo matani ya mizigo bila kutetereka.
Sawa mkuu, lile daraja lina sarakasi zake, ukiacha pale mwembe jini ambapo maiti zilikuwa zinatoka makaburini na kupunga upepo nje, kwenye ile daraja mambo yalikuwa mengi kweli.Mchonga alikoswakoswa pale
Alitegewa bomu pale na wazunguSawa mkuu, lile daraja lina sarakasi zake, ukiacha pale mwembe jini ambapo maiti zilikuwa zinatoka makaburini na kupunga upepo nje, kwenye ile daraja mambo yalikuwa mengi kweli.
Yakatangwa majina ya watuuMpenzi zuena Alifia hapo,
"Ilikuwa asubuhii,
Na mapemaa,
Jua linachomoza ee"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri umechanganya wafaransa waliokuwa wanajenga uwanja wa ndege miaka hiyohiyo Kajima waliyokuwa wanajenga hilo daraja.Alitegewa bomu pale na wazungu
Jr[emoji769]
Kama yesu hajarejea mpk leoNitarejea full detailed
Hahahahah eti Jojina demu wa marijani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Jojina au Zuwena usidanganye watu mkuu. Ahsante.
Hahahahah eti Jojina demu wa marijani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
umetisha kwa kumbukumbu
Kama sijakosea ni Konoike ndio ilijenga.Wrong!
La sasa linalotumika si lile la mkoloni.
La mkoloni halitumiki ukitoka mjini lipo kushoto.
Hili la sasa lilijenga na KAJIMA Constructon co ltd.
Siyo Georgina ni Zuwena. Georgina aliondoka Dar bila ya kumuaga.Ongezea pia kuwa nisehem ambayo jojina dem wa marijani alipata ajali
View attachment 952588
Selander Bridge almaarufu kama “Daraja la Salenda” lililopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam, Tanzania linaunganisha kaskazini magharibi mwa jiji la Dar es Salaam na mjini kati na maeneo jirani ya Kinondoni na Oyster Bay.
Daraja hili lilijengwa mwaka 1929 na lilipewa jina lake kumuezi Ndg. John Einar Selander, ambaye alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Tanganyika Public Works.
Daraja linaloonekana kwa sasa ni matokeo ya uboreshaji uliofadhiliwa na JICA mwaka 1980.
View attachment 940307
View attachment 940306
View attachment 940305