Historia ya Elimu ya Chenge kwenye website ya bunge ina walakini

ujinga umekujaa kichwani uwe unasoma historian basi itakusaidia sana .unalinganisha nyakati hizi na hizo za kipindi kile
Wewe ndio mjinga na huelewi chochote hata ukiambiwa mfumo wa lazima kwa wahitimu wa kidato cha sita kwenda JKT ulianza 1963 na ulitumia mwaka mzima kwa (compulsory) na kujitolea (volunteer) miaka miwili utabisha kwa sababu ya kuwa na matope kichwani.
 
Hujaona hapo palipoandikwa o level cambrige certificate 1963-1966
Hapo kosa ni la aliyerekodi cv yake kwenye tovuti ya bunge ndo hakupangilia ila kila kitu kipo hapo mkuu cheki vzr,jibu lako lipo hapo hapo
Otherwise wewe elimu yako ndo inawalakini umeshindwa kung'amua vitu vidogo kama hvi
 
Oho, na wewe Pascal ulikuwa hujui? Ndivyo ilivyokuwa. Wahitimu wa shule za sekondari zetu walikuwa wanatunukiwa vyeti vya Cambridge University incorporating a general certificate of education. Fanya utafiti kidogo utajua.
Hapana,Paschal kamshangaa huyo kilaza ndo maana kamuuliza hukuiona palipoandikwa o level
 
Baada ya Jibu hili Nilitegemea Moderator wafunge Uzi kwa kuandika "No Further replies Needed"
 
Kwa kawaida kidato cha tano huanza mwezi wa tano na hukamilika mwaka mzima kwa mwaka unaofuata hivyo huyu alitakiwa kuwa amemaliza mwaka 1969 sio 1968
Kwa Curriculum ya Necta Ni sawa lakini kumbuka Necta imeanza mwaka 1971 na yeye kamaliza kabla ya Necta kasome Elimu ya Cambridge
 
Hata UD pia ilikuwa ni constituent ya University of London mkuu.
 
Wewe ndio mjinga na huelewi chochote hata ukiambiwa mfumo wa lazima kwa wahitimu wa kidato cha sita kwenda JKT ulianza 1963 na ulitumia mwaka mzima kwa (compulsory) na kujitolea (volunteer) miaka miwili utabisha kwa sababu ya kuwa na matope kichwani.
Mzee hiyo sheria unayosema imeanza mwaka 1967..
Japo ilitungwa mwaka 1963 na Bunge likaipitishwa mwka 1964
 
Typing error mkuu juu hapo o-level inaonekana mbona
 
Wote waliofanya mitihani mpaka mwaka 1969 ilitoka uingereza Cambridge siyo Kijitonyama.
Mtihani wa Cambridge ulikuwa wa nchi zote zilizokuwa kwenye himaya ya uingereza, inamaana na silabasi ilitoka huko huko. Pamoja na kutoka huko wapo watanzania waliopiga A masomo yote na kuwa wa kwanza duniani siyo taifa.
 
Point[emoji4][emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…