Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo msikitini skuizi mnaambiwa hivyo?Kuna historia imefichwa kuhusu idi amini watu wanaeneza story za propaganda na chuki ila jamaa hakuwa kama tunavyohadithiwa nyerere mjanja sana.
Nyerere si alikuwa jambazi tu nashangaa mnamuenzi kupita kiasi ndo maana anaogopa waislam wasijue ukweli maana mda wowote wanakinukishaNdo msikitini skuizi mnaambiwa hivyo?
Waislam ni watu wa PEACE!Nyerere si alikuwa jambazi tu nashangaa mnamuenzi kupita kiasi ndo maana anaogopa waislam wasijue ukweli maana mda wowote wanakinukisha
Kwani kanisani mliambiwaje?Ndo msikitini skuizi mnaambiwa hivyo?
Inawezekana Sarah alikua anarusha mchuzi juu,ndo maana dingi akapagawa😴😴Yes sir!
Sarah alifanya kosa kubwa kushea mapenzi kati ya Jessy Kasirivu (boy friend wake) na pia Nduli Idd Amin.
Jessy Kasirivu alikuwa band-mate wa Sarah ktk band ya jeshi.
Amin alipogundua kuwa Sarah anaendelewa kutoa 'service' kwa Jessy, alituma watu wa State Research Bureau na kumwangamiza vilivyo. Mabaki ya mwili wa Jessy Kasirivu hayakuwahi kuonekana hadi leo!
Alienda naye Saudia? Maana haya mambo ya mapenzi ni magumu mnoYes sir!
Sarah alifanya kosa kubwa kushea mapenzi kati ya Jessy Kasirivu (boy friend wake) na pia Nduli Idd Amin.
Jessy Kasirivu alikuwa band-mate wa Sarah ktk band ya jeshi.
Amin alipogundua kuwa Sarah anaendelewa kutoa 'service' kwa Jessy, alituma watu wa State Research Bureau na kumwangamiza vilivyo. Mabaki ya mwili wa Jessy Kasirivu hayakuwahi kuonekana hadi leo!
NDULI MMOJA MBABE HIVI KUWAHI KUTOKEA AFRICA MASHARIKI
Mnamo 1972, Amin alikasirishwa na unyanyasaji wa Waafrika, na walowezi wa Waasia, ambao waliletwa Uganda na Waingereza, akawapa hati ya mwisho; ama kukataa uraia wao wa Asia, na kuwa Waganda walio na mamlaka kamili, au kuondoka ndani ya miezi sita, au kufukuzwa.
Wengi wa wakazi wa Asia, ambao walikuwa kati ya 50,000 na 70,000, walikataa kuachia uraia wao wa Asia wakitumaini kwamba serikali ya Uingereza ingewaokoa, na kusitisha kufukuzwa, lakini hawakufanya hivyo, na Waasia walifukuzwa.
Tetetee!Ndo msikitini skuizi mnaambiwa hivyo?
Ukweli upi huo?Nyerere si alikuwa jambazi tu nashangaa mnamuenzi kupita kiasi ndo maana anaogopa waislam wasijue ukweli maana mda wowote wanakinukisha