Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nan...Here we go again.
Same old wine, new bottle.
Unajua unachofanya.Nan...
Hakika.
Hizi video za historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika zinapendwa sana.
Siamini macho yangu zinatazamwa na watu 20K+.
Bahati mbaya sana kuwa wewe huzipendi.
Hajaanza leoUnajua unachofanya.
Hakuna anayechukia simulizi zako, zikiwakiliswa kama historia au histohisia. Ambacho wengi hatupendi ni ufitnishaji unaokuwepo kwenye hizo simulizi, ambapo unalenga kundi moja katika jamii lichukiane na kundi jingine.
Nan...Unajua unachofanya.
Hakuna anayechukia simulizi zako, zikiwakiliswa kama historia au histohisia. Ambacho wengi hatupendi ni ufitnishaji unaokuwepo kwenye hizo simulizi, ambapo unalenga kundi moja katika jamii lichukiane na kundi jingine.
Necr...Hajaanza leo
Amefanikiwa kuwabrainwash baadhi ya vijana ambao wanakufa na sonona kwa kutopata wanayoyatamani.
Mzee Nyerere atabaki kuwa juu
Ahsante sana.Unajua unachofanya.
Hakuna anayechukia simulizi zako, zikiwakiliswa kama historia au histohisia. Ambacho wengi hatupendi ni ufitnishaji unaokuwepo kwenye hizo simulizi, ambapo unalenga kundi moja katika jamii lichukiane na kundi jingine.
Na shida kuu ndio hiyo..Unajua unachofanya.
Hakuna anayechukia simulizi zako, zikiwakiliswa kama historia au histohisia. Ambacho wengi hatupendi ni ufitnishaji unaokuwepo kwenye hizo simulizi, ambapo unalenga kundi moja katika jamii lichukiane na kundi jingine.
Inside10,Na shida kuu ndio hiyo..
Out of that ni historia nzuri
Pasiwepo udini, na undugi wa watu wake anaounasibisha