ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Alikuwa ni mchapa kazi sana na miongoni mwa Wakuu wa Mikoa waliokuwa kipenzi cha Baba wa Taifa miaka hiyo. Katika uongozi wake, alipandisha hadhi ya Wakulima wa zao la kahawa mkoani Kilimanjaro. Alipendwa na kukubalika sana na wana Kilimanjaro.
Mkuu huyu wa Mkoa alifariki kwenye ajali ya gari na huo ndio ukawa mwisho wa maisha yake Duniani.
Katika kumuenzi kwake, CCM iliamua kuupa uwanja wake wa Michezo uliopo Singida jina la kiongozi huyo. Uwanja huo unatambulika kama Uwanja wa Namfua.
Mwenye nyongeza anaweza akaendelea.
Mkuu huyu wa Mkoa alifariki kwenye ajali ya gari na huo ndio ukawa mwisho wa maisha yake Duniani.
Katika kumuenzi kwake, CCM iliamua kuupa uwanja wake wa Michezo uliopo Singida jina la kiongozi huyo. Uwanja huo unatambulika kama Uwanja wa Namfua.
Mwenye nyongeza anaweza akaendelea.