Historia ya Kabila la Wahaya

1_hakuna idara utakosa mchaga idara zote tena nyeti
2_uchagan maendeleo n kama ulaya lami kila kona majumba ya kifahari karibu kila Maya
3_kule watu wanasoma ndio maana mkoa upo juu kielimu
4_mhaya kumfikia mchaga labda miaka 40 ijayo
5_kagera imechakaa haswa n mkoa wa tatu kwa umaskin na watu w kagera wanaishi vijumba vya hovyo vya nyasi sasa usomi wenu uchwara faida yak nn?
6_Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa makaz bora na maisha bora kule n kawaida mbuz kulala nyumba za block
7_kagera pale bukoba mjin tu panaonyesha jins mlivyo washamba na maskini
8_kibiashara wala sijisumbui kubishana na we mchaga kama sio msomi n mfanyabiashara ma biashara makubwa makubwa na ndgondgo mangi katawala
makampun makubwa yanamilikw nao mfano precision air,IPP ,cocacola,
mbwembwe zenu bure tu kagera n maskin wa kutupwa
 
Yaani Bukoba wako vizuri kuliko wakaz wa Jiji la Dodoma [emoji2][emoji2][emoji2]
Si kweli. Kama tulivyoambiwa hapo juu, wakazi wa Mkoa wa Kagera hupendelea kujiita wakazi wa Bukoba. Lakini Bukoba ni Manispaa tu na hivyo si sawa kulinganisha wakazi wa Jiji la Dodoma na wale wa Manispaa ya Bukoba. Ulichotaka kusema ni kwamba wakazi wa Mkoa wa Kagera hasa vijijini, wapo vizuri kuliko wale wa vijijini katika Mkoa wa Dodoma.
 
Jamaa mbona mgumu kuelewa umeambiwa stand inajengwa, Daladala zipo mbna mgumu kuelewa wewe,,,,,,, inabidi tukuchunguze unapotaja maeneo kama ya karagwe eti kubovu Hivi Umefika omurushaka wewe???, kayanga je???, kiyanga???, jamaa angu ngoja nikwambie ni Hivi toka dar mpaka mutukula Kagera hakuna vumbi ni lami tupu, toka Bk mjini nenda karagwe ni lami tupu,,, unataka nini tena ama nikufungue Kingine????, wilaya ya kwanza Tanzania kuwaka umeme ilikuwa Kagera ikiitwa wilaya ya kanyigo (a.k.a ulaya ndogo) Hivi Sasa iko misenyi,,,, tuacheni Na Kagera yetu Jamani
 
Kuhusu uvivu nakubaliana na wewe 100% aisee hawa watu wavivu jamani ukioa muhaya jipange, unakuta mtu hana kazi na hafanyi kazi.
Uvivu kivipi????, kama ulidhani utamkuta muhaya anapiga Kazi Za nguvu pole
 
Agiza soda nitalipia,,,,,,,, mapoyoyo mengi mno wahaya tuliwakosea nini watz
 
mbona unataka kupingana na takwimu za kitaifa za hali ya umasikini nchini? KAGERA inashika nafasi ya tatu kwa umasikini Tanzania.
Hao wametumia vigezo gani ilihali huku Moro ukaguruni mwaka 2015-16 njaa imewaacha watu hoi
 
Waambie bhana,,, muhaya kula Ugari ujue life imetight
 
Kule Uganda Idi Amini Hakukosea
 
Huyo mtoa takwimu angetoa reasons Za Kagera kuwa masikini may be I could agree but now nothing,,,,,,,,,
ingia web ya wizara ya fedha wameweka vigezo vyote
lkn hata kiuhalisia n kweli tembea ngara karagwe misenyi maisha mabovu mno vijumba vya nyasi hakuna mzngko wa Pesa KBS,bkoba nayo imesinyaa kiuchumi ile stand tu n kielelezo tosha
 
unachekesha
kagera n maskin ya kutupa,miundombn n dun mno barabara full vumbi pale mjin bukoba palivyochakaa sasa wilayan kutakuaj
umeme umefka Kilimanjaro kabla ya kagera acha ubsh
 
Uvivu kivipi????, kama ulidhani utamkuta muhaya anapiga Kazi Za nguvu pole
kumbe mnadharau kaz ndio maana mkoa wenu n maskin ukienda Kilimanjaro kaz kaz biashara na elimu ndio maana n mkoa wa pili kwa makaz bora na maisha bora
mhaya anategemea mshahara wa lak 5 anajiona bonge LA mjanja,wakati mchaga akiajiriwa lazma afanye shuguli nyngne ili awe tajir
ndio maana wahaya n maskin kumbe
 
Ni kweli mtoa mada hawa watu wamestaarabika sana na wameendelea pia japo madhaifu ya kimaendeleo , kibinadam nk hayakosi
 
unachekesha
kagera n maskin ya kutupa,miundombn n dun mno barabara full vumbi pale mjin bukoba palivyochakaa sasa wilayan kutakuaj
umeme umefka Kilimanjaro kabla ya kagera acha ubsh
msamehe bure hajielewi huyu, anataka ligi asiyokuwa na uwezo nayo
 
Hii imemaliza kila kitu,hongera sana kwa coment nzuri,sema wosia wangu kwa wahaya, mnapondwa sana kutokana na sifa nyingi lakini nyumbani kwenu hakuna kitu.
Yan ukilinganisha maisha ya sifa mjini na maisha halisi ni tofauti ndo mana mnaonekana mizinguo, tofauti na watu wa sehemu zingine tz
 
Huijui bukoba wewe, naona una mchumba wa kihaya unajaribu kuchunguza mazingira ya kwao kiujanja, na ule ugonjwa wa mnyauko ndio umewanyausha mpaka wao, nyumba za nyasi ni kawaida ungeuliza nyuimba za bati huko vijijini ndio ajabu..
 
Dah umewapiga rungu la jicho mkuu.
 
Wahaya wana penda sifa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…