Historia ya Kabila la Wahaya

Wewe muongo
 
Mkuu itabidi tukupe uwenyekiti wa mitaa.
 
mkuu pale bukoba mjin n kichekesho,stand kuu yao imejaa mashimo matupu na vumbi,hauna hotel ya maana,pia mji hauna daladala bodaboda ndio daladala zao sasa hii misifa yao vjui nn
pia kwa mujibu wa takwimu kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin
Sasa nimeanza kuelewa ni kwa nini
magufuli analaumiwa kwa kujenga uwanja
wa ndege chato.Kujisifia kuwa na stand nzuri
ni wapi stand za mabasi au viwanja vya ndege
vinajengwa na wananchi wa eneo husika?
 
Duuh
 
Sorry mkuu, me nakupinga kwenye kuuza kahawa kimagendo sio tatzo Lao bali hawa jamaa watakuw wanaangalia wapi kuna bei kubwa. Niliwai kwenda kule kipindi cha kuuza kahawa ukweli unakuta watu kutoka Uganda wana bei nzuri ya kahawa wakati huo wabongo wana bei ya chin alafu serikali inawapiga marufuku hawa wanunuzi kutoka nje ya nchi. Hata kama ni ww, apo blackmarket lazma ihusike.
 
Manzese upande upi mkuu
 
We shika adabu yako, ni nani aliyekwambia kuwa kula ugali kwa maharage ni kuwa na maisha ya magumu? yawezekana wewe huijui Bukoba kabisa, ni vema ukae kimya. ukienda huko utakuta nyumba za nyasi nyingi tu na pia mambo mengine ambayo siweza kuyaandika hapa.
 
Bro una bifu na sisi?
Tulikukosea nini?
 
Tena wasogee maeneo ya Kyerwa au Kamachumu, wakishindwa huko basi walete hapo tu karibu Kabare ama Katoma, wakishindwa kabisa wapeleke Kitendaguro wakaone mahekalu kote huko maghorofa migombani
 
Mkuu hawaiti/hawatamki Bukoba,wanaita Bkoba
Muleba = Mleba.
 
Huwaga unajitokezaga tu siku maalum maalum.

Haya mdogo wako huyo naona anawapa sifa za kwenu [emoji23]
Nmetembea karibia mikoa yote Tanzania hata hapa nipo safarini ila sjabahatika kufika kagera ndo maana nmeishia tuu kucheka kulingan na comments za wakuu[emoji3] [emoji3]
 
Nmetembea karibia mikoa yote Tanzania hata hapa nipo safarini ila sjabahatika kufika kagera ndo maana nmeishia tuu kucheka kulingan na comments za wakuu[emoji3] [emoji3]
Ngoja kwanza nikuombee ufike salama.
Ila usilale nyumba za wageni za bei ya juu.
[emoji23][emoji23]
 
Mkuu mwelekeze vizur asije akaingia nyumba ya mtu mwingine asiyehusika
 
mkataa kwao mtumwa. umefanya jitihada ya kumbadilishia babu yako kibanda au unataka kuja na hadithi za bongo bahati mbaya? kapige mjengo wa nguvu pale kijijini kwa babu yako uwavutie na jirani zako. sio mkifika mjini mnasahau makwenu.
 
mwambie asome takwimu
mkoa wa kagera n.mkoa wa tatu kwa umaskini tz
Ukifata takwimu hutakuwa sawa hata Kenya iko juu yetu kiuchumi lakini ukifatilia maisha ya wananchi yako chini sana kulinganisha na maisha ya watanzania,ukifata takwimu hata mkoa wa Mwanza kumi bora haumo lakin je ni kweli mikoa yote iyo inayoizid kitakwimu inaizid kimaendeleo? Ukweli ndo huo Tanzania ni mkoa mmoja2 sijafika lakin yote nilotembea kwa watu wa vijijini Kagera wako vizur uko kuna wengine utadhan wako ulaya kuna sehemu pana nyumba nzur ambazo hata ukienda mjini uzikuti.Binafs kwa hapo2 nawapa pongezi japo wameusahau kuujenga mji wao.
 
1. Umaskin haupimwi kwa kula ugali au nyumba za nyasi
Nyumba ni kigezo kimojawapo,, bila hicho utakuwa unafanya survey ya kichovu sana!! Ndiyo maana kwenye dodoso la kupima uchumi wa jamii fulani tunaangalia mpaka nyumba kwamba imeezekwa kwa bati au nyasi?
 
Nyumba ni kigezo kimojawapo,, bila hicho utakuwa unafanya survey ya kichovu sana!! Ndiyo maana kwenye dodoso la kupima uchumi wa jamii fulani tunaangalia mpaka nyumba kwamba imeezekwa kwa bati au nyasi?
Mkuu hivyo vigezo vimewekwa na wazungu usikubali kuwa brainwashed.Ina maana wamasai na nyumba zao zile ni maskini chief?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…