Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakipigana Na hiyo miti si muwakamate Na kuwafikisha kwenye vyombo vya Sheria, maana wanatishia amaniYaani Wahaya zaidi ya kupigana miti hakuna walichojaaliwa
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .
Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.
Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
KatereroYaani Wahaya zaidi ya kupigana miti hakuna walichojaaliwa
Wako obsessed sana na wahaya, wanatamani kuwaona wakiwa maskini kama wengineHv nyie watz wahaya waliwafanyia nn? Mbn huwa mnatokwa sana povu kwa kuwaponda wahaya?
Pamoja na mapungufu waliyonayo huwa hamwoni mazuri yao? Au ni jamii/kabila gn hapa tz halina mapungufu?
Kama mnataka kuitwa great thinkers try to judge logically my men.
[emoji3]Ngoja kwanza nikuombee ufike salama.
Ila usilale nyumba za wageni za bei ya juu.
[emoji23][emoji23]
HahahaWakipigana Na hiyo miti si muwakamate Na kuwafikisha kwenye vyombo vya Sheria, maana wanatishia amani
ambaye haijui bukoba nan?Ukifata takwimu hutakuwa sawa hata Kenya iko juu yetu kiuchumi lakini ukifatilia maisha ya wananchi yako chini sana kulinganisha na maisha ya watanzania,ukifata takwimu hata mkoa wa Mwanza kumi bora haumo lakin je ni kweli mikoa yote iyo inayoizid kitakwimu inaizid kimaendeleo? Ukweli ndo huo Tanzania ni mkoa mmoja2 sijafika lakin yote nilotembea kwa watu wa vijijini Kagera wako vizur uko kuna wengine utadhan wako ulaya kuna sehemu pana nyumba nzur ambazo hata ukienda mjini uzikuti.Binafs kwa hapo2 nawapa pongezi japo wameusahau kuujenga mji wao.
kbs mkuuWengi huwa hawafahamu wahaya vizuri,kimsingi kwao ni miongoni mwa maeneo ya hovyo tofauti kabisa na hizi mbwembwe zao za mjini huku
acha povuHv nyie watz wahaya waliwafanyia nn? Mbn huwa mnatokwa sana povu kwa kuwaponda wahaya?
Pamoja na mapungufu waliyonayo huwa hamwoni mazuri yao? Au ni jamii/kabila gn hapa tz halina mapungufu?
Kama mnataka kuitwa great thinkers try to judge logically my men.
kwa mujibu wa takwimu kagera n mkoa watatu kwa umaskinWako obsessed sana na wahaya, wanatamani kuwaona wakiwa maskini kama wengine
n kweli moshi mijumba ya kifahari imejengwa mnoSio kwel hii... mwenye nyumba wangu mhaya huwa anasema waz waz kabisa,Bukoba kuna hali mbaya sana ya kiuchumi, alitamani kurud kwao lakini hali ya kule mbaya anafanya biashara ndogo ndogo...
Kuna mwingine ni fundi nyumba kule Kibosho Moshi anashangaa Moshi vijijini ilivyotengeka ana vijana wanavyojenga majumba, akaongeza Bk ni kugumu sana ndo mana ameenda Moshi kutafuta maisha.
aiseAre you sure for what you are talking?.Bukoba ipi unaiongelea?.
Bukoba inahitaji kukombolewa sana kiroho.Ni mkoa ambao haufanani na uhalisia.Watu wanaishi locally sana they bealive much in superstitions than God hasa huko unakosema wewe vijijini.
Ni heri ukaoa mke wa kihaya una neema kuliko ndugu yako akaolewa na muhaya.Siku mkienda au ukaenda kutambulishwa ndipo utajuta na wanaume wengi wahaya wamezaa na wanawake kabila tofauti na kuwaoa hawaendi kuwatambulisha kwao tatizo lipo hapo.
Sina nia mbaya ila uvivu pia ni mkubwa maana hata vibarua wa kukata miwa bukoba kiwandani si wahaya wenyeji hawataki hiyo kazi sasa utawasifiaje watu kama hao.
Simamia ukweli nitakuelewa ila ukweli 70% mnaoolewa na wahaya mko utumwani sana hawajakombolewa sana hasa vijijini ni shida,matambiko mtindo mmoja uchawi balaaa.Duuuuh hapana.
mji wenu stand imejaa mashimo,hakuna daladala sasa vjjn c ndo balaa?Wewe fara kweli hao sio wahaya sisi tunajitambua wewe
unazuia mafuriko kwa mkono?Wewe muongo
stand hujengwa kwa mapato ya ndan ya halmashaur husika,hela zenu mnapeleka wapi?Sasa nimeanza kuelewa ni kwa nini
magufuli analaumiwa kwa kujenga uwanja
wa ndege chato.Kujisifia kuwa na stand nzuri
ni wapi stand za mabasi au viwanja vya ndege
vinajengwa na wananchi wa eneo husika?