Historia ya Kabila la Wahaya

Wengi huwa hawafahamu wahaya vizuri,kimsingi kwao ni miongoni mwa maeneo ya hovyo tofauti kabisa na hizi mbwembwe zao za mjini huku
 


Mikoani ulikuwa ukienda miaka hiyo,unakuta wanaishi kwenye mabanda wanajiuza(malaya),siku hizi wakatakuwa wamehamia mitandaoni.
 
Hv nyie watz wahaya waliwafanyia nn? Mbn huwa mnatokwa sana povu kwa kuwaponda wahaya?
Pamoja na mapungufu waliyonayo huwa hamwoni mazuri yao? Au ni jamii/kabila gn hapa tz halina mapungufu?

Kama mnataka kuitwa great thinkers try to judge logically my men.
 
Wako obsessed sana na wahaya, wanatamani kuwaona wakiwa maskini kama wengine
 
Sio kwel hii... mwenye nyumba wangu mhaya huwa anasema waz waz kabisa,Bukoba kuna hali mbaya sana ya kiuchumi, alitamani kurud kwao lakini hali ya kule mbaya anafanya biashara ndogo ndogo...

Kuna mwingine ni fundi nyumba kule Kibosho Moshi anashangaa Moshi vijijini ilivyotengeka ana vijana wanavyojenga majumba, akaongeza Bk ni kugumu sana ndo mana ameenda Moshi kutafuta maisha.
 
ambaye haijui bukoba nan?
pale stand tuu pananyesha jinsi GAM mlivyo
stand haina miundombn KBS,mji hauna daladala
vijijin ndo balaa,hebu tembelea uchagan alafu uje hapa kutoa mrejesho
 
acha povu
mnajitia mbwembwe wakati mkoa wenu n wa tatu kwa umaski
 
n kweli moshi mijumba ya kifahari imejengwa mno
n kawaida ngombe na mbuz kulala nyumba ya block na umeme
 
aise
 
Sasa nimeanza kuelewa ni kwa nini
magufuli analaumiwa kwa kujenga uwanja
wa ndege chato.Kujisifia kuwa na stand nzuri
ni wapi stand za mabasi au viwanja vya ndege
vinajengwa na wananchi wa eneo husika?
stand hujengwa kwa mapato ya ndan ya halmashaur husika,hela zenu mnapeleka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…