Historia ya Kabila la Wahaya

Historia ya Kabila la Wahaya

Halafu kitu kingine wahaya ninachowashangaa wanapenda sana kusema wanatokea bukoba badala ya kusema wanatokea kagera sijui kwanini hawapendi kulitaja hili neno kagera wao wanang'ang'ania sisi kwetu bukoba.

Kitu kibaya zaidi ukiwambia wakupeleke kwao bukoba unashangaa wengi wanashukia muleba wanaingia vijijini uko mpka unafika bukoba mjini mnajikuta waliobakia wengi ni wamanyema watu tokea congo ndio wenye bukoba yao ila cha kushangaza wahaya walivyo wa ajabu hawezi kukuambia anatokea muleba yeye atakwambia kwao ni bukoba na wanasema hivyo kwa sababu muleba hakuna maendeleooooooo
Hata hawasemi wanatokea Bukoba, utasikia naenda zangu BK

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mimi nitarudi kwetu Engaruka.
 
Hiyoo sehemu ipo karibia na hospitali ukishukaaa mwananyamala hospitali na basi utaonaaa kuna nyumba kuna wakina dada wamekaaa kwenye visturi basi wee ukifika ingia ndaniiiiiii.

Ukiingia ndani utampa elfu mbili kinachoendeleaaa utakuwa unajuaa ila ukiwa mgeni mgeni utapigwaa hadi elfu tanooo
Elfu mbili???
 
Na labda ngoja niulize, tuutoe mkoa wa Kilimanjaro ambao bado naona unatajwa hapa na sijui kwanini umetajwa wakati ishu ilikuwa ni Kagera. Tunaombwa mtwambie Mikoa gani mingine ya maana ambayo mnafikiri mnataka kuipambanisha na mkoa wa Kagera? itajeni hiyo mikoa yenu hapa.
Dar Es Salaam.
 
Hata Chato Magufuli Ana Gorofa Porini Anafugia Ng'ombe
Watu wa kanda ya ziwa wote hao pamoja na wasukuma, wanalazimisha kufanya maendeleo ya sifa ili wawafikie watu wa kaskazini.

Kumbe walishachelewa.

Pia wanawasema vibaya watu wa pwani kumbe kwao ndio Hovyooo.
 
Mkuu upo uhayani umekaa kwa muda gan mpaka ukisifie hivyo

Wahaya wanaongoza kwa pass ndefu hali ngumu wanakula jion mpk kesho yake jion

Tembea vijiji vya hata pale muleba km IHANGILO,KAGOMA RUBYA,NK YAAN NDIZI ZINGIZINGUA WAMEKQISHAAA

MKUU HAKUNA MKOA WANAPATA TABU KWENYE CHAKULA KAMA KAGERA

BEI ZA VYA KULA KWENYE MIGAHAWA NI KAMA ZA DAR ALAFU HUKO NI MKOA..

HV JAMAA YANGU UMETEMBEA KWELI WEWE

UHAYANI WAMEZUNGUKWA ZA ZIWA KAMA USUKUMAN ILA TEMBEA VIJIJI VYA SENGEREMA KAMA BUPANDWA,NYEHUNGE,KAUNDA,RWENZERA NK ULIZIA BEI YA UGALI SATO FANANISHA NA UHAYANI..WAHAYA WAVIVU AISEEE

TEMBEA UONI VIJIJI VYENYE RAHAA NA MSTAREHE HII TANZANIA MIKOA YA NYANDA YA JUU KUSINI WATU WA VYA VIJIJINI HAWANA SHIDA KABISAAAAA VYAKULA VIPO

KAMA HUJATEMBEA JARIBU KUTEMBEA
 
Wanaume wa huko wanatahiriwa siku hizi?
 
Mkuu upo uhayani umekaa kwa muda gan mpaka ukisifie hivyo

Wahaya wanaongoza kwa pass ndefu hali ngumu wanakula jion mpk kesho yake jion

Tembea vijiji vya hata pale muleba km IHANGILO,KAGOMA RUBYA,NK YAAN NDIZI ZINGIZINGUA WAMEKQISHAAA

MKUU HAKUNA MKOA WANAPATA TABU KWENYE CHAKULA KAMA KAGERA

BEI ZA VYA KULA KWENYE MIGAHAWA NI KAMA ZA DAR ALAFU HUKO NI MKOA..

HV JAMAA YANGU UMETEMBEA KWELI WEWE

UHAYANI WAMEZUNGUKWA ZA ZIWA KAMA USUKUMAN ILA TEMBEA VIJIJI VYA SENGEREMA KAMA BUPANDWA,NYEHUNGE,KAUNDA,RWENZERA NK ULIZIA BEI YA UGALI SATO FANANISHA NA UHAYANI..WAHAYA WAVIVU AISEEE

TEMBEA UONI VIJIJI VYENYE RAHAA NA MSTAREHE HII TANZANIA MIKOA YA NYANDA YA JUU KUSINI WATU WA VYA VIJIJINI HAWANA SHIDA KABISAAAAA VYAKULA VIPO

KAMA HUJATEMBEA JARIBU KUTEMBEA
n kweli mkuu mm nimeishi kanda ya kusini vyakula bwerere sasa hawa wapenda sifa mkoa wao n wa tatu kwa umaskin alafu wanajidai wana maisha mazuri
waende mkoa wa Kilimanjaro waone jinsi watu wa kule wanavyoushi kama wazungu
 
Mkuu upo uhayani umekaa kwa muda gan mpaka ukisifie hivyo

Wahaya wanaongoza kwa pass ndefu hali ngumu wanakula jion mpk kesho yake jion

Tembea vijiji vya hata pale muleba km IHANGILO,KAGOMA RUBYA,NK YAAN NDIZI ZINGIZINGUA WAMEKQISHAAA

MKUU HAKUNA MKOA WANAPATA TABU KWENYE CHAKULA KAMA KAGERA

BEI ZA VYA KULA KWENYE MIGAHAWA NI KAMA ZA DAR ALAFU HUKO NI MKOA..

HV JAMAA YANGU UMETEMBEA KWELI WEWE

UHAYANI WAMEZUNGUKWA ZA ZIWA KAMA USUKUMAN ILA TEMBEA VIJIJI VYA SENGEREMA KAMA BUPANDWA,NYEHUNGE,KAUNDA,RWENZERA NK ULIZIA BEI YA UGALI SATO FANANISHA NA UHAYANI..WAHAYA WAVIVU AISEEE

TEMBEA UONI VIJIJI VYENYE RAHAA NA MSTAREHE HII TANZANIA MIKOA YA NYANDA YA JUU KUSINI WATU WA VYA VIJIJINI HAWANA SHIDA KABISAAAAA VYAKULA VIPO

KAMA HUJATEMBEA JARIBU KUTEMBEA
hawa Jamaa n maskin wa kutupwa mkuu wamebk mbwembwe tu
 
Kagera ni jina la mto na Bukoba ni jina la sehamu / ardhi husika tangu Enzi za mababu zetu. Ardhi yetu kuitwa Kagera ni mambo ya ugovi wa Nyerere na Iddi Amini pamoja na kuigana vita miaka ya 1978 & 1979.
Karibu Kiziba anzia Gera, Mugana hadi Kanyigo na Ishozi na Luzinga pia. Mji siyo interest ya wahaya bali vijijini kwao.
mkuu bukoba naifahamu yote
imechakaa lami imechubuka,stand n kichekesho hakuna hotel ya maana hata moja zaidi ya vi lodge vyenye makaratas kwenye magodoro,bukoba vijin nyumba za nyasi nyingi mno,misenyi,karagwe ndo kabisaaa,bukoba miundombnu IPO duni mfano muleba,kwakweli n sahihi KBS mkoa wenu kuww wa tatu kwa umaskini
 
Mimi nipo huku kwao hawana lolote maisha magumu tuu wanajenga nyumba za tope kama watu wa pwani au wanaita mbavu za mbwa.
Nenda Muleba utaona nenda maeneo kama ngenge, kanywangonge au kule milimani wanaita ngote na Kanyerenyere ndo utajua kuwa wanamaisha mazuri au magumu.
Mhaya hali ugali kwa sababu kazoea ndizi (ekitoke). Ugali na wali wameanza kula hivi juzi baada ya mnyauko kukausha ndizi. Ni moja kati ya kabila vivu kupindukia.
Wanaume hawaendi shamba zaidi ya ulevi na wanawake wanaenda shambani saa moja au mbili lakini saa tatu yupo anasugua gaga nje ya nyumba
Kama hujui kaa kimya
Acha upumbavu we kwenu mna nini?
 
Back
Top Bottom