Historia ya kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Historia ya kanisa la Waadventista Wasabato (SDA)

Sabato ilikuwa kwa ajili ya wana wa israeli ili kikumbuka Mungu alipowatoa Misri, hawa wengine SDA wanamfuata mtume wao elen G white .
 
Uliyeandika una mlengo mwingine. Wewe siyo msabato.

1.Sabato ilianza Mungu alipomuumba Adam na Eva siyo 1863.
2. Wana wa Israel waliambiwa wataitunza sabato. Unafikiri wakati wanaisrael wanatoka Misri utumwani ilikuwa 1863 kama ulivyoandika?

3. Wasabato siyo waprotestant. Waprotestant ni tawi la Vaticani na lilitokea pale Padri na Askofu Martin Luther alipokataa amri ya papa ndipo alijitenga na ukatoliki.

4. Wasabato hawamwabudu Ellen G. White bali wanatumia vitabu vyake kama reference tu ( ziada) ila kitabu chao( kiada) ni biblia yenye vitabu 66.

5. Wasabato walikuwapo kabla ya ukatoliki. Katoliki imekuja kipindi cha mfalme Constantin aliyetawala Roma enzi zile na kuabudu jua(Sun day).
Upoooo
asante sana kwa somo
 
Vipi kuhusu hili fundisho la kwamba eti kuanzia mwaka 1884 Yesu Aliingia mahali panapoitwa Patakatifu pa Patakatifu (Holly of Hollies) ili kuanza hukumu ya upepelezi (investigative judgement).

Hili fundisho lina misingi ya Kibiblia au zilikuwa ni juhudi za kuwaokoa Millerites na aibu iliyowapata baada ya Yesu kushindwa kurudi mwaka 1884 kama walivyoamini kwenye ile Big Disappointment?
Yes lina misingi ya kibiblia, Daniel ndo alipewa hayo maono.
 
Huwezi kupata kifungu cha kusapoti maana siyo fundisho la Kibiblia. Full stop.

Na kuna msukumo wa kujaribu kuachana na fundisho hilo la msingi ili kuliondoa kanisa kutoka katika kuonwa kama cult fulani iliyofanikiwa sana kama Mashahidi wa Yehova na Wamomoni. Kuachana na kuvitambua vitabu vya Ellen G. White kama mwongozo sahihi wa kanisa na kubakiza Biblia peke yake ilikuwa hatua ya muhimu sana katika kulifanya kanisa kuwa la Kikristo. Likija kuondokana na hili fundisho la uwongo la Investigative Judgement kanisa la Sabato litakuwa limemaliza safari ya kuwa Millerite cult na kuwa kanisa la Kikristo kabisa kabisa.
Brother ni fundisho la kibiblia 100%
Kama hujui kitu fulani au hujafatilia vizur, don't conclude things.
 
Brother ni fundisho la kibiblia 100%
Kama hujui kitu fulani au hujafatilia vizur, don't conclude things.
Nenda mkajibishane kwenye uzi huu:

 
Nenda mkajibishane kwenye uzi huu:

Sina huo muda wa kujibishana, maarifa ya kibiblia ni mambo ya kuongea kwa utulivu na sio majibizano
 
Sina huo muda wa kujibishana, maarifa ya kibiblia ni mambo ya kuongea kwa utulivu na sio majibizano
 
Kanisa la SDA limeanzishwa 1883 na hiyo ndiyo hoja iliyoko mezani

Dini iliyokuwapo kabla ya Ukatoliki ni Judaism ambao wala hawamuamini Kristo kuwa ni Mwana wa Mungu

Makanisani yote ukiondoa RC ni Wa Protestants labda kama hujui tafsiri sahihi ya hilo neno
Hata Roman Catholic halikuwa kanisa la kwanza Bali walibaka kanisa la mitume wa YESU KRISTO na kuingiza mambo ya kipagani ya Roman empire. Fuatilia historia ya ukristo.
 
Mmmh, ni dhehebu la Kikristu kweli?
Kwa hakika wasabato si wakristo hata kidogo.

Makanisa yote ya wakristo yana alama kuu ya Msalaba.

Nyumba za ibada za wasabato hazina msalaba,nyumba zao za ibada hazina tofauti na club au casino.
 

Hiyo ni link ya critics wa egw.

Wanatoa taarifa muhimu, kuhusu baadhi ya visions za egw, hususan za huko mwanzoni.

Alikuwa anasema anaona vision, kumbe alikuwa anatoa maoni yake, kutokana na uelewa wake, wa jinsi alivyojifunza kuhusu jambo fulani.

Ila hawa critics, kuna mahali pengine wanaharibu, kwa kukataa mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama sabato ya siku ya saba). Ingawa kuna mahali pengine wanapatia, kwa kuunga mkono mafundisho ya kweli ya kibiblia (kama Utatu Mtakatifu).

Hawa critics pia inaonekana walikuwa ni opportunists.

Mapungufu ya mafundisho ya kanisa la sda ni haya:

1) Shetani na malaika zake hawa kuanguka kabla ya wiki ya uumbaji. Kwa sababu malaika wote (including Lucifer, ambae baadae ali muasi Mungu) waliumbwa siku ya pili ya wiki ya uumbaji.

2) Hakuna viumbe wengine kama binadamu kwenye sayari nyingine (kama sda wengi wanavyo fundisha).

3) "The Day of Atonement" ni tofauti na "the Day of Judgment". New tastement fulfilment of the Day of Atonement inaanza baada ya kufufuka na kupaa kwa Bwana Yesu, na inaisha at the end of probation period (karibia kabisa na ujio wake wapili).

Sanctuary linalokuwa cleansed in 1844, ni kanisa huku duniani. Mafundisho ya kweli (including the 10 commandments, and the seventh day sabbath) yanarudi kanisani, na mafundisho ya uongo yanaondolewa.

4) Wabatize kwa staili waliyoitumia mitume wa Yesu, mtu ana inama kidogo kwa mbele, huku amesimama, huku akidumbukia kabisa kwenye maji. Wasibatize kwa staili ya mtu kalala kwa mgongo, wana mshika na kumdumbukiza kwenye maji.

5) Wasi wapinge sda wenzao, wanao sema kwamba Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles. Kwa sababu kiukweli Yesu alizaliwa during the Feast of Tabernacles.

6) Wakubali kwamba hawa hodhi ukanisa wa kweli, na kwamba endapo kuna wasabato wanaofuata biblia ambao sio sda, wasabato hao hawana tatizo.

7) Waumini wa sda wawe pia na tabia nzuri kwenye maisha yao.

8) Baadhi ya mafundisho ya mama Ellen White ni maoni yake, na sio vitu alivyo viona kwenye maono (visions). Kwa hiyo baadhi ya mafundisho yake yanaweza yasiwe sahihi. Of course mama Ellen White yuko sahihi kwenye mafundisho yake mengi.

9) Ni vizuri wakristo weusi wakajua prophesies mbali mbali za kwenye Biblia, zinazo ongelea kuhusu injili kuja Afrika. Wakristo weusi, tu avoid a white/Eurocentric view of the bible, na tuwe na a true view of the Bible, which is a biblical centric view of the bible. Wakristo weusi tujaribu pia kuwa na makanisa huru yanayojitegemea (tushirikiane na watu wengine, lakini tusiwe tegemezi kwa watu wengine).

Sda wako sahihi kabisa kabisa kabisa kwamba sabato ni siku ya saba (Jumamosi), na kwamba Bwana Yesu Kristo hakubadilisha siku ya sabato. Na kwamba mpinga Kristo ndiye aliebadilisha siku ya sabato kutoka siku ya saba kwenda siku ya kwanza ya wiki.

Moral of the story ni: Mkristo yeyote anatakiwa kusikiliza mafundisho yanayoendana na biblia, usisikilize mafundisho ambayo hayafuati mafundisho ya biblia (hata kama ni mafundisho ya dhehebu lako).

So injili ya kweli, ni kwamba Utatu Mtakatifu upo, amri 10 zipo (hazikubadilishwa), sabato ni siku ya saba (Jumamosi), tufuate mafundisho ya Bwana Yesu Kristo kama Biblia inavyosema, na Biblia ni kitabu kitakatifu cha YAHWEH (Mungu wa Biblia). Ukristo ndio dini ya ukweli, dini nyingine zote ni za uongo.

Any way tuendelee na shughuli zetu za maisha hadi siku ya mwisho ya dunia, wakati huo huo tukiendelea kumkumbuka Bwana Yesu Kristo hadi siku hiyo atakapo rudi.

 
The 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) is 1798 AD.

And whatever the accurate date is, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 days, have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that polluted the church).

The beginning dates of the 70 weeks prophecy (490 years prophecy) and the 2,300 days prophecy (2,300 years prophecy), mentioned in the book of Daniel, are not the same, they are different.

The years, 2,300, 1335, 1,290 and 1,260, all end on 1798 AD. But they all begin on different years.


503 BC + 2300 + 1 (as there is no 0 BC or 0 AD) = 1798 AD

Unto 2,300 years, then shall the sanctuary be cleansed (the church in earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn).

The 2,300 days (2,300 years) prophecy (of the book of daniel) begins at 503 BC, this is 16 years after the decree of Darius in 519 BC. This is also 34 years after the decree of Cyrus in 537 BC.

503 BC is also 12 years after the Jews finished building the temple in 515 BC.

503 BC is also 499 years before the birth of the Lord Jesus Christ. The Lord Jesus Christ was born in 4 BC.

The 2,300 years begins in 503 BC and ends in 1798 AD.

In 503 BC, Darius (via his cousin Artaphernes, who was the Persian empire's governor of Ionia) sent 200 ships to attack Naxos. He cooperates with Aristagoras, the Melesian, the governor of Meletus.

In 502 BC, Aristagoras the Melesian, rebels against Darius.

According to Ussher's "The Annals of the World", this is the beginning of the conflict between the Persians and the Greeks, that eventually led to the destruction of the Persian empire.


Daniel's 70 week prophecy (490 year prophecy) starts at 457 BC, with the decree of king Artaxerxes to Ezra. And ends in 34 AD, with the stoning of Stephen.

The 2,300 years end in
1798 AD. After 1798 AD, the church in the earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn.

The little horn which polluted the sanctuary of strength, meaning it polluted the church in the earth, and thought to change the times and the laws, and took away the perpetual covenant, and set up the abomination that maketh desolate.

The church in the earth shall be cleansed from the religious errors of the papacy. It shall also be clear to the church in the earth that the seventh day is the legitimate sabbath day, and not the first day of the week.

And that the 10 commandments were not changed even in the new testament era. The seventh day starts from sunset Friday and ends at sunset Saturday. Sunday is not the sabbath day.

Also the papal states were abolished (by the French empire of Napoleon) in 1809 AD, and the temporal power of the pope was abolished in 1809 AD.

433 AD + 30 + 1335 = 1798 AD

463 AD + 1335 = 1798 AD

433 AD, Sixtus III was pope. He supported the decision of the first council of Ephesus (which ended in July 431). The council declared that 'the virgin Mary is the mother of God'.

After 30 years

463 AD, Hilarius was pope, he continued the policy of his successor pope Leo I, of enhancing the primacy of the bishop of Rome within the church.

When Leo I was pope, he claimed to be the bishop of the universal church, that is the bishop of the entire church in the world, the primacy of the bishop of rome within the church is enhanced).

508 AD + 30 years = 538 AD

538 AD + 1260 years = 1798 AD

The 1335 years start at 463 AD and ends in 1798 AD.

1335 may reflect redemption. The redemption money was 1365 shekels (Numbers 3:49-51).

433 AD is 1365 years before 1798 AD.


1365 years are not directly mentioned in the book of Daniel, but they show that there will be redemption after they have ended. 1365 shekels was the redemption money in the book of numbers. 30 + 1335 = 1365. 1335 days (1335 years) are directly mentioned in the book of Daniel.



475/476 AD (the collapse of the Western Roman empire into 10 kingdoms, 10 horns).

33 years later

508 AD (Symmachus was pope, the primacy of the papacy in temporal affairs enhanced, Clovis' baptism, Clovis defeats Alarac).

30 years later

538 AD (Vigilius was pope, begins the 1,260 years of papal supremacy).

1,260 years later

1798 ad (the 1,260 years of papal supremacy end, with the capture of the pope, by the French general Berthier, the papacy receives a deadly wound).


The papal wound starts to heal consistently from 1929, until today.

Thus the 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) may be 1798 AD.

And, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 years have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that is, that polluted the church).

It did not mean the end of the world.

It did not mean the beginning of the 'investigative judgment'.

And it did not mean the Lord Jesus Christ moving into the most holy place in heaven.

The Lord Jesus Christ moved into the most holy place in heaven, after his ressurection and ascension, in 31 AD. AND NOT IN 1844 AD.
 
Back
Top Bottom