NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
niw
Alivyo na akili nyingi alijua kuwa iko siku watampa uraisi tu na ikawa hivyo hata hivi karibuni kabla ya kuapishwa alisema uraisi aliupata kwa bahati tu hakutegemea.
Niwie radhi kujibu japo hujaniuliza mimi kumsaidia mtoa mada ni kwamba Kagame ni mtu mwenye akili nyingi sana hakutaka mara moja jumuiya ya kimataifa aonekane ana uroho wa madaraka zaidi ya yote alifanya makusudi sababu Bizimungu vile alikuwa Mhutu basi waliobaki kwa vyovyote wataona hakuwa anapigana kwa nia ya watusi watawale nia yake ni kukomesha mauaji na kuwafanya wahutu na watusi wote wawe kitu kimoja.Pia angekuwa mtu wa visasi angeamuru auwawe hii ni mbinu nzuri sanaNdugu mtoa uzi na swali je imekuaje bizimungu kuendelea kuwa rais mpaka mwaka 2000 wakati kagame alikua tayari kaisha iweka nchi chini ya himaya yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyo na akili nyingi alijua kuwa iko siku watampa uraisi tu na ikawa hivyo hata hivi karibuni kabla ya kuapishwa alisema uraisi aliupata kwa bahati tu hakutegemea.