Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,734
- 1,709
- Thread starter
- #61
Duh mzee unacheka nn sasa!?? Kwani Adam na Eva wanavyoumbwa na Huyo Mungu nani aliwaona?mbavu zangu mie.kaka umemaliza hi myth
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mzee unacheka nn sasa!?? Kwani Adam na Eva wanavyoumbwa na Huyo Mungu nani aliwaona?mbavu zangu mie.kaka umemaliza hi myth
Hadithi mambo yanayoonekana wazi! endelea na huyo Yesu anayeonekana waziHadithi hizi jamani! Bora niendelee na imani yangu ya Kikristo tuu. Yesu kwangu ni Bwana.
Ni kweliMbantu na Mmisri ni watu wenye asili tofauti, kama wewe in mtz historia yako imefichwa, hata ukisoma history utagundua historia yetu imeanza baada ya kuja wazungu.
Yasemekana Arabian peninsula mwanzo ilikuwa imeungana na Africa nguvu za asili zilipaaua ardhi ikagawanyika na huo mgawanyiko katikati maji ya bahari yakaingia ikaitwa red sea...so raia walikuwa wanaingiliana as per nature kati ya Arabs na Africans mgawanyiko uliwatenganisha so yawezekana Misri ni sehemu ya Arabs au ya Africans black... Hapo ndipo pa kuchunguzaWa Africa weusi wanaamini Africa ni yao, wakati ukienda huko misri, tunisia, morroco, Waarabu tu, misri ndio kitovu cha history katika hii dunia, sasa binadamu wa mwanzo alikuwa rangi ipi ?
Mungu ni mmoja ila wa Uongo nao wapo wengi tuHistoria ya binadamu ilikuwepo tangu zamani hata kabla ya Mussa kuzaliwa.Ila pia tujuwe kuwa Misri kulikuwa na dini mbalimbali tangu zamani na kila dini ilikuwa na masimulizi kuhusu asili ya binadam.Lakini uliandika hapa kinareflect na asili ya umbaji inavyoelezwa katika dini hizi mbili lakini wote Mungu wetu mmoj
kila mtu analo analoaminiMungu ni mmoja ila wa Uongo nao wapo wengi tu
Wahehe mbona kama asili yenu no hapa hapa Danganyika!!Wahehe Hatuna! Asili yetu labda ipo Ethiopia ambako ndiko chimbuko letu... vipi nyie na kisa chenu cha uumbaji?
Soma vitabu mzee asili ya Wahehe imetokea kwa "Mfwimi" mwindaji kutoka Ethiopia aloyekuja kuacha uzao wake Morogoro!Wahehe mbona kama asili yenu no hapa hapa Danganyika!!
Kwahiyo unataka kusema wapongoro ndio waliowabemenda kimwonekano!!Soma vitabu mzee asili ya Wahehe imetokea kwa "Mfwimi" mwindaji kutoka Ethiopia aloyekuja kuacha uzao wake Morogoro!
Yah mama wa Mhehe ni mpogoro, Ingawa baba ni kutoka kabila lisilojulikana la Ethiopia..Kwahiyo unataka kusema wapongoro ndio waliowabemenda kimwonekano!!
Make wahabeshi hawako kama ninyi!!
DuuhMzee Musa aliyeandika agano la kale hizo stori alienda kuzikuta Misri ndipo yeye naye akaanza kuandika tunachosoma leo kwenye kwa vitabu vyetu
Sababu ndipo mwanzo wa maarifa makubwa ya binadamu kuanza kuonekana, Mambo yote yakiwa yameanza karibu miaka 5100 iliyopita na kuisha kuja kufa miaka 2600 iliyopita!Kwa nini historia nyingi zinaanzia misri
Mkuu nasikia pia mna unasaba na wagogo!! Hii imekaaje?Yah mama wa Mhehe ni mpogoro, Ingawa baba ni kutoka kabila lisilojulikana la Ethiopia..
Hiyo si ya zamani sana ni kipindi cha mkwawa, mkwawa baada ya kuonekana usalama wake ni wa mashaka alikuzwa na wagogo mpaka alivyokuwa.Mkuu nasikia pia mna unasaba na wagogo!! Hii imekaaje?