Historia ya maisha yangu baada ya kuacha kazi ya utumwa wa CCM

Wangu naye nilimtoa kazin. Na yeye ndo msimamiz mkuu na mhasibu wangu. Mke wangu si wa mambo mengi.
Safi sana...Na Mungu akubariki..yaan cjui kwa nn nawadharau watumishi...wife wangu ni mtumishi wa taasis nzur kiasi...lakin mwaka 2030 nimemwambia lazima aache kazi
 
Mwisho katkat ya mapambano Kuna changamoto kubwa Sana ila inahitaji uvumilivu.
Wakati unaanza Kuna wengi Huwa wanakatisha tamaa ,lkn mafanikio yakitokea haohao waliokukatia tamaa ndio wakwanza kujitokeza kuwa chawaaa...
 
H
Hii si ya kukosa.....nitaisoma baadae
 
Utaratibu upoje mkuu kupata huo mkopo 🙏
 
Ndugu na wazazi walinitenga hawakunielewa. SEMA nilisimamia msimamo wangu. Hasa kipindi nimeyumba
Hao ndugu na wazazi km umeamua kujitafuta kimaisha , ndio watu namba Moja wakuwazimia data na kudili na watu unaopigania kile unacho kiamini.....maana ndugu na wazazi muda mwingine miluzi inakuwa mingi Sanaa ,ss ukiwasilikiza wanakupoteza
 
All the best and God bless you
 
Hao ndugu na wazazi km umeamua kujitafuta kimaisha , ndio watu namba Moja wakuwazimia data na kudili na watu unaopigania kile unacho kiamini.....maana ndugu na wazazi muda mwingine miluzi inakuwa mingi Sanaa ,ss ukiwasilikiza wanakupoteza
Huu ndo ukweli. Na siku hizi tunakutana kwenye matukio tu. Kwa upande wa wazazi nilishawawekea bageti Yao Kila mwezi huwa nawatumia Hela ya matumizi. Ila Kwa upande wa ndugu wengine nilisha jizima data.
 
Watesi wako ndio wanaokupangia kodi na wanakupa usajili wa shule omba Mungu wasiikague wakuambie haina vigezo
 
Swali la nyongeza mkopo wa 10milion kwa dhamana ya ajira maana yake makato siyo chini ya miaka 5. Je baada ya kuacha kazi mkopo aliulipaje?
Sikuwahi kuulipa. Ila Hadi 2016. Mshahara ulikuwa unaingia halimashauri wakawa wanaula . Magu ndo amekuja kuondoa Kwa operation hewa ya wafanyakazi kazi. Make nilikuwa napokea sms ya makato ya mkopo wa Bank
 
Tupia picha ya shule mkuu! Uzi wako ungependeza ukaweka na picha mbili tatu za shule yako.
Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…