Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Mmh,sa k ya miaka 60 na....inakuaje [emoji119][emoji40]Kinachosumbua ni mapokeo tu lkn utamu wa nyapu na mahusiano havina umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh,sa k ya miaka 60 na....inakuaje [emoji119][emoji40]Kinachosumbua ni mapokeo tu lkn utamu wa nyapu na mahusiano havina umri
At least hili ninaweza kubaliana nalo!Huyo mwanamke ana nyota kali sana.. Mshana Jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]adui wa mwanamke ni mwanamke, lakini umesahau mabinti wa 20yrs wanaliwa na vibabuMmh,sa k ya miaka 60 na....inakuaje [emoji119][emoji40]
[emoji16][emoji16]hapana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]adui wa mwanamke ni mwanamke, lakini umesahau mabinti wa 20yrs wanaliwa na vibabu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]hapana mkuu
Nimewaza tu!
Maisha hayana formula mkuu, tukomae huwezi jua huko mbeleni tutakua nani... leo ni first lady!
Mkuu wewe hujui bibi anampa nini kijana mwenzetu, haono kabosa hizo pisi mbichiPisi zote za France bado aligandana na bibi ajabu kweli!
Fanya kweli mkuu usituangushe mabaharia fanya kama macronWe acha tu,nikimchekigi lady Madonna hadi leo mate yananidondoka,kuna mwingine nilikutana naye moshi mjini anauza kwenye pharmacy yake mashaallah!! Kaumbika haswaa,mrembo kabisa yaani,nadhani alihisi tu kuwa nimemtamani,kwenye story story sijui ilikuwaje akaniambia "mimi ni bibi yako eti" kumuuliza umri wake ananiambia ana 68yrs!! Nikachoka,ila hadi leo ananipogiaga simu na kunitania tania,kama vile alishakubali kimoyomoyo
Sisi huku Afrika watu walio jiita wahenga waliweka visheria vyao kutubania sisi.Ndoa yao ina miaka 14 from 2007. Na ninavyowaona hawana mipango wa kutengana. Kwa tofauti ya umri wao wanahitaji pongezi kubwa mno. Na wamefanikiwa kimaisha kabisa. Kuna cha KUJIFUNZA Ila ki Afrika utaambiwa ni laana kuoa mwanamke umri sawa na wa mama yako Ila hatusemi wanaume wanaooa wake wadogo umri sawa na wajukuu zao. This is Africa!!!
Tunaomba picha full ya Mwalimu akiwa na umri wa miaka 39. Tujiridhishe na kilicho'mchanganya' Emma.Mwalimu rigitte Trogneux akiwa na miaka 39
Na mimi ngoja nijaribu kufurahisha baraza!!!....kumuuliza umri wake ananiambia...