Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

So mkuu jmali, mahakama ya ICTR ilituibitiswa genocide ilipangwa na pk wenyewe au vipi hapo
 
jMali na zitto junior
na huyu mshabiki wa PK,Jestkilla.
👉 JAMANI haya Mambo Ni simple kabisa Kama PK aliwaokoa watutsi wenzake na haku plan mauaji wa kimbali ya 1994 angeshapewa tuzo na nchi yoyote kubwa au international community yoyote, ila baadae tuzo wamepewa wengine walio wasaidia watutsi wasiuwawe
Kama ,👇

 
Mkuu zitto junior tumsamehe huyu ndugu jay-millions
👉Hajui kuwa ICTR ilithibitisha kuwa wahutu zaidi ya 500,000 waliuwawa na RPA during the genocide and after month of genocide, na hata hivyo upo ushaidi mwingi tuu kwamba zaidi ya 60% waliokufa during genocide Ni wahutu Tena waliuwawa na RPA.
👉 Kasahau kuwa PK alikuwa nikibaraka wa USA, na ndio wanaomlinda mkapa Leo kwenda kushitakiwa.
👉 Hata hivyo nafikili ndugu yetu huyu Hajui kuwa Kuna congo war 1 ambayo ilichukua maisha ya wahutu wengi Sana wanakadiliwa zaidi ya wahutu 300,000 waliuwawa wengi wao Ni watoto, wamama , wagonjwa na wazee, na zaidi ya 200,000 hawajulikani walipo mpaka leo.
👉 Kuna congo war 2 ambayo ilichukua maisha ya watu zaidi ya 6 million ambao Ni wacongo na baadhi Ni wahutu, na Ni Vita aliyo alianzisha PK , kwa masada ya marekani.
👉 Lakini Sasa PK munamuona Kama pan africanist,
Hivi pan Africanist gani ambaye kasababisha vifo vya zaidi ya waafrica million 1 rwanda na million 6 congo , na ambaye pia alikuwa kibalaka wa marekani, na Ni ambaye anafadhili makundi ya waasi mchi jirani.
Ndugu jay-millions fikilia vizuri sawa,
Hata Gaddafi alikuwa dikteta japo alijulikana Ni pan Africanist.
 
Zitto nitafsirie maana ya genocide unavyoielewa!! Yawezekana!! Unachanganya mambo!!
MLA PANYA SWANGA na zitto junior
-Mauaji ya kimbali Ni mauaji ya watu wengi kwa muda mfupi , ambapo jamii Moja au nchi moja hufanya mauaji kwa jamii nyingine au nchi nyingine, kwa lengo la kuwaangaliza kabisa
AU jamii mbili zinapigana kwa kupingana na kila jamii moja inafanya Mauaji kwa jamii nyingine ,mfano Rwanda genocide
-Rwandan genocide Ni Vita vya wenyewe kwa wenyewe ( Civil war) ambapo interhamwe na Far waliwaua watutsi na wahutu msimamo wa Kati na pia RPA chini ya kagame ili waua wahutu na baadhi ya watusi Kama watutsi wa bisesero na bagogwe.
 
Mkuu Hawa Ni wahuni tuu kumbuka pia may 12 1994 kagame alizuia UN to intervention kustop genocide , hivi fikilia wangesaidia watu wangapi wasiuawe , Afu hao watusi wanamchukuria Kama kawasave ,

👉 Pia Kuna ushuunda wa former bodyguard wa kagame ambaye alikuwa member wa high command battalion pale mulindi anaitwa james munyandinda alisema kuwa April 30 1994 kagame aliandika barua kuzuia UN to intervention to stop genocide.
mr qns , Jestkilla ,manzi james , MLA PANYA SWANGA
Lakini tunajua genocide iliendelea mpaka july na siku zake.
 
-Pure fake documentary,
Makala hii Ni fake kabisa,
ICTR ilithibitisha zaidi wahutu 500,000 waliuwawa na kagama force during the genocide and after month of genocide mkuu.
-Ongelea pia dark side ya mahakama ya ICTR mkuu, umebezi kwenye upande mmoja tuu.
-vipi pia RPA commandoo in interahamwe millitia Kama Robert kajuga leader wa interahamwe alikuwa mtutsi.
 
Ni kweli kabisa mauaji ya watusi, kuchoma moto nyumba zao kubaka wake zao na kuwapora ng'ombe zao yameanza mwaka 1959 na kuendelea mpaka kufikia kilele 1994
Elezea vizuri mkuu kwa Nini waliuwawa mwaka 1959?? Usiongee juju tuuu sawa haiwezekani mtu kuchukua kitendo hicho tuu kunakuaga na sababu ambayo mzito ilipelekea , elezea , kuwa mtu Kama umeenda shule ???
manzi james
 
Watutsi walioko Tanzania Ni wahamiaji tuu, uwezi kuja kwenye nchi ya watu ukaanza hayo Mambo, wapo huku wamejifunza kuwa ubaguzi sio mzuri so wameacha , kwa kuwa wamejifunza kutoka kwa wanyeji. Sawa mkuu
 
Fuatilia historian ya rwanda walivyokuwa wanaishi before Uhuru.
 
Lakini ndani ya 100 days kulikuwa na wakimbizi tunawaweka kundi gani hao .
 
Robert
Robert kajuga likuwa muhutu,
Mmmmmh rekebisha bro
 
Duuu aisee huko kwenu MUNGU awasaidie nyie watu, hizo fikila zenu hizo, one day zitawapeleka kubaya Sana, Sasa umethibitisha kuwa nyie mnaona kutawala Ni haki yenu , na hamko tayari kuwa kitu kimoja na wahutu, hip Ni shida tayari,
Nimewahi kumsikia kagame akiongea Baada ya kutoka" BBC untold story rwandan genocide", alisema kuwa" tulikuwa tunambana haki yetu tangu tuko wadogo baadhi yetu" , Sasa kutokana hio nimejua kuwa watutsi mnaona kuwa kutawala Ni haki yenu , duuu .
zitto junior , wanaitaji maombezi.
 
Tz nilifanya kazi now sipo Tz siwez kaa nchi dk 2 umeme umekatika wakat wanaita nchi ya viwanda sijui SGR sijui makinikia mnakamata mnabakiza Gold bars zinaenda Nje huo ni upumbav wa Rang nyeus ya mkaa
We Ni muongo Sana Mara nipo Kigali, Ethiopia , Mara Virginia Mara wapi acha uongo , inwezekana ukawa ata butare au rusumo😎😎😎😎😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…