Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Hoja yangu ni kupotoshwa kwa historia wanaposema ni Tutsi genocide hapo the bold anasema miili yote ya waliokufa ilikuwa ya kitutsi ndio nahoji kwamba kma waliokufa wapo million moja na bold anasema wote ni watutsi najiuliza kivp ametuambia watutsi ni 14% na kipindi hicho cha genocide population ilikuwa 4 million hivyo toka lini 14% ni million moja??? Na kma 14% sio million mola ila chini ya laki 5 je hao laki tano wengine walikuwa kabila gani??? Kma ni wahutu ssa kwanni anapotosha

Niliuliza nijibiwe sasa wwe ulielewa nisaidie sio unanza matusi sijui inaniuma ssa iniume nni kwani nagombea urais wa JF?? acha uswahili kma huna hoja kaa pembeni The Bold mwenyewe atakuja kujibu
Hoja zako zina mashiko mkuu ila hakuna anayeweza kuzijibu ila hakuna anayeweza kuzijibu.

Ndo maana wanapuyanga puyanga tu.
 
Sasa alipotosha tukae kimya acha THE BOLD aje mwenyewe atueleweshe toka lini 14% ya 4 million ikawa 1 million na kivp kma walikufa one million leo hii rwanda kuna watusi 1.5 million!!! Walitokea wapi hadi wazaane mara 10 huku wahutu namba yao ipo constant??? Kma unajua jibu kma huwezi kaa pembeni hili ni jukwaa huru ndio maana mada ikawekwa tucomment sasa unataka tutoe like tu tusiulize!!!
Nimekuelewa mkuu hizo ulizozitoa ni fact za kweli na ni imani yangu kuwa mwandishi atazitilia maanani (na haiwezekani vita ikatokea wakafa watu wa upande mmoja tu)
 
Alafu huyo mwana dada ajue kwamba kuanza upya c ujinga hizo ni hatua za mashujaa (Nchi yake haikuwa hivo mpaka walipojitokeza watu wa kuanza upya) I know we will make it again Tanzania is here to stay nakwambia alafu mtashangaa Magufuli atawashangaza wengi nakwambia kwa hiki anachokifanya Tanzania is going where it supposed to be
 
Alafu huyo mwana dada ajue kwamba kuanza upya c ujinga hizo ni hatua za mashujaa (Nchi yake haikuwa hivo mpaka walipojitokeza watu wa kuanza upya) I know we will make it again Tanzania is here to stay nakwambia alafu mtashangaa Magufuli atawashangaza wengi nakwambia kwa hiki anachokifanya Tanzania is going where it supposed to be

Hata alivokua Rais mwinyi CcM walihubiri haya haya kua Mwinyi atawashangaza na akawashangaza kweli Mkapa akaja toa Saplaiz kikwete akajapigisha butwaa Magufuli atawafanyia ma Vi-wonder na mtashangazwa haswa kwa mfumo huu kutoboa msahau.
 
Hata alivokua Rais mwinyi CcM walihubiri haya haya kua Mwinyi atawashangaza na akawashangaza kweli Mkapa akaja toa Saplaiz kikwete akajapigisha butwaa Magufuli atawafanyia ma Vi-wonder na mtashangazwa haswa kwa mfumo huu kutoboa msahau.
Kwahiyo Rwanda imeshatoboa?
 
Mlinishindwa kampala ndio sembuse mniweze sahvi...... Mmejaza mashushu east africa nzima hamjiamini nakumbuka cku nipo chuo namkosoa kagame kumbe kuna lijitu linanirekodi sijui nlichomfanya hatokaa anisahau!!!

Nyie mmezidi upumbaku nakumbuka nikiwa nipo chuo huko kigali eti wanatuita kwenye convention hall tunabebeshwa mishumaa kuazimisha miaka 20 ya TUTSI genocide as if wahutu hawakufa ilibidi nitupe mshumaa huko nisepe

Kwa kweli nyie jamaa kwa propaganda hamjambo ila cku wahutu wakipata kiongozi kma victoire ingabire mtajuta kuzaliwa nyenzi!!!
Saw ila jua tulifanyaro tunalijua!! Sisi wewe piga kelele vyenu vimewashinda!! Vyetu tunaenda navyo Endelea kuwaza kizamani
 
Nina uhakika nmeishi great lakes region hivyo ninayo first hand data hapa wahutu walipohamishiwa nairobi kabla ya kupelekwa cameroon niliishi nao jirani kabisaaaa na walikuwa serikali so najua nachosema na challenge me anywhere kwenye statistics kuwa walikufa watu million 1 ila arusha peace agreement kati ya RPF na Serikali ya habyarimana walisema watutsi waruhusiwe kurejea Rwanda and at that point mlikuwa laki 2 kigali...... Sasa nieleze kivp mlikuwa laki 2 na vifo vilikuwa million 1 afu mnasema eti TUTSI GENOCIDE je hao hutu laki 8 hamuwaoni???

Na kma kweli mliokufa ni nyie tu hao RPF walipopindua serikali hawakuua mtu??? Vp kuhusu uvira kwenye kambi ya wakimbizi wa kihutu au mnatufanya hatukumbuki.. Je kyangugu na bugesera au umemsahau KAYONGA alivyochinja wahutu huko gitarama
Hayo ni maneno yako tuu uliyosoma Toka ma taifa ya magharibi!! Mpaka inakuja kuitwa jenoside against tutsi ni kwasababu majority tutsi were killed and minority of hutu na walikuwa wanataka kumaliza all tutsi hawakutaka kumaliza hutu people so Plz usichanganye vitu!! Kisa umesoma
 
Punguza ushabiki unayoombea hayawez tokea mbwa wewe mashushu hata America kawajaza dunia Nzima Sie kama Rwandese hatuna akil kama zenu za kula pweza sijui na mihogo na we inaonekana wakuja sana ndio maaana akili zako kama Sumaku kunsa vitu vya chuma [emoji3][emoji3][emoji3] Proudly Rwandese......
Huyu ndo shabiki tuuu wa bora liende jestkilla mwambie atasubiri saana Wakati huo rwandese tupo tunasepa na maendeleo
 
Saw ila jua tulifanyaro tunalijua!! Sisi wewe piga kelele vyenu vimewashinda!! Vyetu tunaenda navyo Endelea kuwaza kizamani
Sawa mkuu ila muache kuwaonea wahutu at least hata cabinet ya kagame muweke mhutu angalau 50:50 sio sahvi entire government ni Tutsi pekee it aint fair ukizingatia Hutus are the majority overwhelmingly
 
Hayo ni maneno yako tuu uliyosoma Toka ma taifa ya magharibi!! Mpaka inakuja kuitwa jenoside against tutsi ni kwasababu majority tutsi were killed and minority of hutu na walikuwa wanataka kumaliza all tutsi hawakutaka kumaliza hutu people so Plz usichanganye vitu!! Kisa umesoma
Majority tutsis u mean Tutsis wea one million by 1994??? And by the way unajua RPF after overthrowing the hutus waliua wahutu wangapi??? Soma hii testimony ujue kwamba Tutsis also wanted to cleanse all Hutus
 

Attachments

  • rwanda-soldier-testimony-ICTR.jpg
    rwanda-soldier-testimony-ICTR.jpg
    58.7 KB · Views: 135
Back
Top Bottom