Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Hoja zako zina mashiko mkuu ila hakuna anayeweza kuzijibu ila hakuna anayeweza kuzijibu.

Ndo maana wanapuyanga puyanga tu.
 
Nimekuelewa mkuu hizo ulizozitoa ni fact za kweli na ni imani yangu kuwa mwandishi atazitilia maanani (na haiwezekani vita ikatokea wakafa watu wa upande mmoja tu)
 
Alafu huyo mwana dada ajue kwamba kuanza upya c ujinga hizo ni hatua za mashujaa (Nchi yake haikuwa hivo mpaka walipojitokeza watu wa kuanza upya) I know we will make it again Tanzania is here to stay nakwambia alafu mtashangaa Magufuli atawashangaza wengi nakwambia kwa hiki anachokifanya Tanzania is going where it supposed to be
 

Hata alivokua Rais mwinyi CcM walihubiri haya haya kua Mwinyi atawashangaza na akawashangaza kweli Mkapa akaja toa Saplaiz kikwete akajapigisha butwaa Magufuli atawafanyia ma Vi-wonder na mtashangazwa haswa kwa mfumo huu kutoboa msahau.
 
Hata alivokua Rais mwinyi CcM walihubiri haya haya kua Mwinyi atawashangaza na akawashangaza kweli Mkapa akaja toa Saplaiz kikwete akajapigisha butwaa Magufuli atawafanyia ma Vi-wonder na mtashangazwa haswa kwa mfumo huu kutoboa msahau.
Kwahiyo Rwanda imeshatoboa?
 
Saw ila jua tulifanyaro tunalijua!! Sisi wewe piga kelele vyenu vimewashinda!! Vyetu tunaenda navyo Endelea kuwaza kizamani
 
Hayo ni maneno yako tuu uliyosoma Toka ma taifa ya magharibi!! Mpaka inakuja kuitwa jenoside against tutsi ni kwasababu majority tutsi were killed and minority of hutu na walikuwa wanataka kumaliza all tutsi hawakutaka kumaliza hutu people so Plz usichanganye vitu!! Kisa umesoma
 
Huyu ndo shabiki tuuu wa bora liende jestkilla mwambie atasubiri saana Wakati huo rwandese tupo tunasepa na maendeleo
 
Saw ila jua tulifanyaro tunalijua!! Sisi wewe piga kelele vyenu vimewashinda!! Vyetu tunaenda navyo Endelea kuwaza kizamani
Sawa mkuu ila muache kuwaonea wahutu at least hata cabinet ya kagame muweke mhutu angalau 50:50 sio sahvi entire government ni Tutsi pekee it aint fair ukizingatia Hutus are the majority overwhelmingly
 
Majority tutsis u mean Tutsis wea one million by 1994??? And by the way unajua RPF after overthrowing the hutus waliua wahutu wangapi??? Soma hii testimony ujue kwamba Tutsis also wanted to cleanse all Hutus
 

Attachments

  • rwanda-soldier-testimony-ICTR.jpg
    58.7 KB · Views: 135
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…