Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Here you are again, barikiwa na Mungu Jemedari
 
Dah babu imenivutia nashauri iendlee huyo alosema uendlee na sehemu ya tano hatutakii mazuri sie wengine tunaomba uendlee pale ulipoishia hii
 
Watusi na waganda ni watu wanaotokea Ethiopia.Hata katika hadithi zao za kihistoria (folktales).

Huwa wanasema wametokea kaskazini walivuka mto. (Ambao ni Nile).

Na hao wote Ethiopians wametokea middle east huko Babeli.Proud to be black

Historia ya mzungu ni very complicated.

Asante sana The bold
 
Weka zote hapa, hata mashuleni wanafunzi wa darasa Fulani sema fomu one wanasoma kilekile na ulichosoma wewe miaka 20 iliyopita! Mean ing kuna watu wapya jamii forum! japo niliwahi ona mikanda ya mambo haya.
 
Back
Top Bottom