princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hawa so called watutsi wanajua wenyewe walichowafanya wahutu mpaka kikawapa ujasiri wa kuamua liwalo na liwe... inaonekana ni vitendo vya hovyo sana...Mimi hapa , chukulia ni Mbondei. Sielewi sijui inaweza tokea tokea vipi nichukue panga nianze kumchinja msambaa au mpare au mnyaturu, kisa Eti kabila lake. Hawa watu ni machizi. Na hawana hata aibu wanajibaraguza hapa
O
Of coz ni upuuz maana kote kwenye kita Africa hicho ndo chanzo lakn hili jambo ni la kuzaliwa nalo so n mgumu kuepuka,sio tu Africa ila jamii nyingi duniani ziko hivyo ila tunaxhozidiwa ni kiwango cha ustaarabu na kuvumiliana
Kwani ni huko tu,Ireland Kaskazini,Myanmar, Israel,Palestine,Sudan Kusini,Somalia nk,,sehem kubwa ya jamii hapa duniani ziko na hizo itikadi za kikabila au diniSio jambo la kuzaliwa nalo hilo. Haya ni mambo ya kufundishwa tangia ukiwa mdogo. Yaani ukiwa mdogo unaanza kufundishwa na kuelekezwa kuwa wew au nyie ni bora kuliko wengine na unapewa sababu Fulani. Unakua ukiendelea kuaminishwa hivyo.
Nataman ningeenda Rwanda au Burundi nikakae huko mitaani kwao nione wanavyoishi katika familia zao. Wanahusianaje huko mitaani? Naamini wahutu kwa watutsi wanakaa mitaani pamona, ni majirani. Sasa inakuwaje mpaka watu wa pande hizi mbili wanakua mpaka kuonana kama maadui? Ni jinsi gani wana interact huko kwenye makazi yao?
Wanaishi kama sisi tunavyoishi huku mitaani kwetu? Wanazika pamoja? Wanasherehekea pamoja? Wao wanaishije? Rwanda kama nchi Ndogo naamini hakuna makazi tofauti kwa wahutu na watutsi. Wote wamejichanganya, ni majirani. Wanaingiliana kwenye makazi yao? Sipati Picha Mimi ni kijana wa kiume wa kihutu nna miaka 22 hivi na jiran kuna binti mtutsi wa rika langu. Itokee ni mpenzi wangu halafu Eti kutokee rabsha wazazi wangu wachukue mapanga waanze kuwafyeka wazazi wa mpenz wangu
That shouldn't be the case or an excuse for us to live like this , discrimination and superiority complex in terms of religion , ethnicity, race , nationality etc is an evil act and no body should be proud of it ...........................Kwani ni huko tu,Ireland Kaskazini,Myanmar, Israel,Palestine,Sudan Kusini,Somalia nk,,sehem kubwa ya jamii hapa duniani ziko na hizo itikadi za kikabila au dini
Bora wewe unaulizia sehemu ya kumi, mimi kuanzia sehemu ya pili siipati nikifungua hzo link zinanirudisha sehemu ya kwanzaSehemuvya kumi ipo namba ngapi
Bora wewe unaulizia sehemu ya kumi, mimi kuanzia sehemu ya pili siipati nikifungua hzo link zinanirudisha sehemu ya kwanza
Urakoze chaneSEHEMU YA KUMI BADO
Ukibonyeza 9 ndio unapata 10Habibu B. Anga Kila nikibofya sehemu ya kumi siioni..Ipo ukurasa wa ngapi? Kindly assist..
Kama ulivyoelezea tokea awali ni kwamba now days hakuna hutu wala tutsi tunaishi sehemu moja tunasali kwa pamoja tunasherehekea kwa pamoja!! Harusi tunafanya tunaitana!! Mpira tunacheza wote!! Hii Zana ya watutsi na wahutu ililetwa na wazungu ili waweze kututawala vizuri!! Ukija hapa ndo utaamini kwamba yanayoongelewa ni utumbo mtupu na wapinga maendeleo!!Sio jambo la kuzaliwa nalo hilo. Haya ni mambo ya kufundishwa tangia ukiwa mdogo. Yaani ukiwa mdogo unaanza kufundishwa na kuelekezwa kuwa wew au nyie ni bora kuliko wengine na unapewa sababu Fulani. Unakua ukiendelea kuaminishwa hivyo.
Nataman ningeenda Rwanda au Burundi nikakae huko mitaani kwao nione wanavyoishi katika familia zao. Wanahusianaje huko mitaani? Naamini wahutu kwa watutsi wanakaa mitaani pamona, ni majirani. Sasa inakuwaje mpaka watu wa pande hizi mbili wanakua mpaka kuonana kama maadui? Ni jinsi gani wana interact huko kwenye makazi yao?
Wanaishi kama sisi tunavyoishi huku mitaani kwetu? Wanazika pamoja? Wanasherehekea pamoja? Wao wanaishije? Rwanda kama nchi Ndogo naamini hakuna makazi tofauti kwa wahutu na watutsi. Wote wamejichanganya, ni majirani. Wanaingiliana kwenye makazi yao? Sipati Picha Mimi ni kijana wa kiume wa kihutu nna miaka 22 hivi na jiran kuna binti mtutsi wa rika langu. Itokee ni mpenzi wangu halafu Eti kutokee rabsha wazazi wangu wachukue mapanga waanze kuwafyeka wazazi wa mpenz wangu
Mkuu ni kitu cha ajabu sana maana hawa jamaa wanaongea lugha moja, na zaidi ya asilimia 80 ni dhehebu moja Wakatoliki, lkn bado wanaishi kwa chuki.Sio jambo la kuzaliwa nalo hilo. Haya ni mambo ya kufundishwa tangia ukiwa mdogo. Yaani ukiwa mdogo unaanza kufundishwa na kuelekezwa kuwa wew au nyie ni bora kuliko wengine na unapewa sababu Fulani. Unakua ukiendelea kuaminishwa hivyo.
Nataman ningeenda Rwanda au Burundi nikakae huko mitaani kwao nione wanavyoishi katika familia zao. Wanahusianaje huko mitaani? Naamini wahutu kwa watutsi wanakaa mitaani pamona, ni majirani. Sasa inakuwaje mpaka watu wa pande hizi mbili wanakua mpaka kuonana kama maadui? Ni jinsi gani wana interact huko kwenye makazi yao?
Wanaishi kama sisi tunavyoishi huku mitaani kwetu? Wanazika pamoja? Wanasherehekea pamoja? Wao wanaishije? Rwanda kama nchi Ndogo naamini hakuna makazi tofauti kwa wahutu na watutsi. Wote wamejichanganya, ni majirani. Wanaingiliana kwenye makazi yao? Sipati Picha Mimi ni kijana wa kiume wa kihutu nna miaka 22 hivi na jiran kuna binti mtutsi wa rika langu. Itokee ni mpenzi wangu halafu Eti kutokee rabsha wazazi wangu wachukue mapanga waanze kuwafyeka wazazi wa mpenz wangu
Naunga Mkono Hoja.Bora wewe unaulizia sehemu ya kumi, mimi kuanzia sehemu ya pili siipati nikifungua hzo link zinanirudisha sehemu ya kwanza
Wakuu heshima
Tukubali tukatae Kagema was and is ahead of his time.Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.It takes a certain type of lebel leader to topple a government ambayo ina silaha za Kila aina at its disposal, best quote kutoka kwa Kagame niliwahi ipata sehemu akiwa bado msituni alisema " suala sio uzuri wa silaha gani adui yako anayo,suala ni je mtu anayoioperate anajua kwanini anapigana" ,Ukiangalia RPF walijua hasa ni sababu gani wanapigana,bila shaka PK aliwajenga kisaikolojia hasa
post namba 971Habibu B. Anga Kila nikibofya sehemu ya kumi siioni..Ipo ukurasa wa ngapi? Kindly assist..