zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sasa kwanini muiite Tutsi genocide ilihali it was tit for tat..... According to UN reports tutsi survivors mlikuwa 300,000 na official census mlikuwa 700,000 by october 1993Kwahiyo ulitaka watulie wafe wote bila kujitetea ndo uwaone sio wauaji?
Huyo mcanada alikuwa kibaraka wa wamarekani alikuwa anagawa silaha kwa RPF kwa siri ili kung'oa chama cha wahutu madarakani sababu walikuwa wakomunisti kwahiyo usimuamini kabisa ni mhuni tu na yeyeReport Za wazungu zitabaki kutukandamiza!!! Mbona hao wanaojiita UN walikuja kuomba msamaha kwa kutosaidia wakat walikuwa walishapewa taarifa kuwa Kuna Genocide inakuja!! Muulize kiongozi wa UN mcanada alichoshuudia na ndo alitoa ufafanuz!! Na aliandika kitabu Kuhusu Genocide ya rwanda
Kwahiyo ili tutsi genocide ulitaka waishe wote ndo uridhike? yani roho inakuuma kuwepo survivors wa mauaji yenu?Sasa kwanini muiite Tutsi genocide ilihali it was tit for tat..... According to UN reports tutsi survivors mlikuwa 300,000 na official census mlikuwa 700,000 by october 1993
Sasa jiulize 1 million deaths - 400,000 Tutsis = 600,000 .... Je hawa waliobaki ni kabila gani kma sio wahutu?? Na je kama ni wahutu kwanni hamuwakumbuki ila mnawakumbuka watutsi pekee
Kama unaangalia season asee haha"Nikirejea tutajadili kuuwawa kwa Rais Habyarimana na Kuanza kwa mauaji yenyewe ya Kimbari."
Hatua kwa hatua, mguu wako mguu wangu.
Tutafika tu mkuu
Hapana msiishe wote ila muiite RWANDA GENOCIDE full stop na msiite Genocide against Hutu ilihali tunajua hutus 700,000 perished during the civil war sasa hao nani atawakumbuka vifo vyaoKwahiyo ili tutsi genocide ulitaka waishe wote ndo uridhike? yani roho inakuuma kuwepo survivors wa mauaji yenu?
Kwahiyo dunia nzima haijui kilichotokea rwanda ila ww tu na ndugu zako ndo mnajua kuwa wahutu walikufa wengi! Na kama walikua wauaji ulitaka wafanywe nn zaidi ya kifo?Hapana msiishe wote ila muiite RWANDA GENOCIDE full stop na msiite Genocide against Hutu ilihali tunajua hutus 700,000 perished during the civil war sasa hao nani atawakumbuka vifo vyao
Kma genocide ni mauaji ya kulenga jamii flani kuna shahidi nyingi tu hasa za HRW na ICTR kuprove RPF ordered genocide of more than 200,000 Hutus sasa hao kwanini mnawapotezea???
Nachotaka ni usawa that's all
Sio dunia nzima ila marekani anachoamua ukijue ndio utakijua ila marekani akificha hutokaa ujue.... Ila baada ya BBC kutoa documentary dunia nzima sasa imejua kuwa RPF ilishiriki genocideKwahiyo dunia nzima haijui kilichotokea rwanda ila ww tu na ndugu zako ndo mnajua kuwa wahutu walikufa wengi! Na kama walikua wauaji ulitaka wafanywe nn zaidi ya kifo?
Endeleeni kusubilia hio so called ukweli mean while Rwanda inasonga mbele, maendeleo yaliyoletwa na RPF kwa miaka 18 yalishindikana kwq miaka zaidi ya 50Sio dunia nzima ila marekani anachoamua ukijue ndio utakijua ila marekani akificha hutokaa ujue.... Ila baada ya BBC kutoa documentary dunia nzima sasa imejua kuwa RPF ilishiriki genocide
Pia watafiti waliopewa tender na ICTR maprofessor wa social science kina davenport na miller walivujisha ripoti yao ambayo baada ya kugundua ushiriki wa RPF walitimuliwa ICTR maana walijua kagame mwenyewe atakuwa na kesi ya kujibu hao nao wamefanya dunia nzima pia ijue ukweli
Sio hao tu bali mahakama mbili moja ufaransa na nyingine hispania zilifanya tafiti kwa miaka 8 na matokeo yametoka juzi kati kwamba RPF ndio walitungua ndege ya habyarimana na kwamba ndio walianzisha genocide hivyo wametoa arrest warrants 8 kwa viongozi wa then RPF na kesi imeshafunguliwa
Ukweli huwa unachukua miaka mingi kujulikana ila ukishajitokeza huwa uongo unajitenga....
Anyway ngoja niishie hapa nisichafue uzi wa the Bold namheshimu sana
Sio kwamba nae hajui?anyway tumuache aendelee tuone,ila mpk hapa PK na RPF ni washindi wa kila kituNilipochoka aliposema Ruhengeri RPA waliagizwa wasiue raia ila kwa taarifa ya UN na utafiti wa davenport wa ICTR unaonyesha wahutu 40,000 walikufa
Nachokiona kuna vitu the bold anaficha ama ameileta hii story kutokea upande wa RPA ndio maana anaonyesha kagame yuko perfect alafu wahutu ndio wakatili pekee
Sawa mkuu si kagame ataishi milele hivyo ukweli hautojulikana !!!Endeleeni kusubilia hio so called ukweli mean while Rwanda inasonga mbele, maendeleo yaliyoletwa na RPF kwa miaka 18 yalishindikana kwq miaka zaidi ya 50
hapana....Kwahiyo ulitaka watulie wafe wote bila kujitetea ndo uwaone sio wauaji?
Inamaana ww una fact nyingi kuliko UN na jumuia za kimataifa wanaoita Tutsi genocide au ndo unasukumwa na chuki zenu za kikabila? Ushauri wangu kulalamika mitandaoni hakutasaidia rudini Rwanda muungane na kagame kujenga nchihapana....
Fact : Wote walishiriki genocide... na ilikua kwa pande zote Hutu & Tutsi
sio Tutsi pekee
UN ni akina mpaka waaminiwe hivyo?Inamaana ww una fact nyingi kuliko UN na jumuia za kimataifa wanaoita Tutsi genocide au ndo unasukumwa na chuki zenu za kikabila? Ushauri wangu kulalamika mitandaoni hakutasaidia rudini Rwanda muungane na kagame kujenga nchi
Dada angu nakualika rwanda!! Uje ujionee uache kujudge kwa kusikia njoo ujionee wanasema ilikuwa iitwe Genocide nikwasababu one clan inataka clan nyingine ipotee katika uso wa Dunia!! So majority waliolengwa walikuwa watutsi ilikuwa kwamba wapotee katika uso wa Dunia! Ndo maana wanasema Genocide against tutsi! Ambapo minority of hutu walikufa katika hiyo mauaji! Ndo maana katika kukumbuka hero's wa Rwanda Kuna Akina Agatha uwiringiyimana alikuwa muhutu tena prime minister alipingana na serikali ya rwanda Kuhusu tutsi kuuliwa!! Siwalaumu kwa sababu hamjaona!! Njoo uone tuuu may be macho yanaweza kuingiza kitu katika moyo wako!! Ukaacha kujudge ukawa msomaji kama Wengine!! Asantehapana....
Fact : Wote walishiriki genocide... na ilikua kwa pande zote Hutu & Tutsi
sio Tutsi pekee
Ww ni interahamwe genocide denier maneno yako haayafichi identity yako na ndiomaana ukisikia watutsi waliuwa roho inakuruka sana hamuamini hata kama kumewahi kutokea genocide in rwandaUN ni akina mpaka waaminiwe hivyo?
aren't they white peoples?
em kusanyeni watu wa pande zote mbili wapewe haki ya kuongea ,tuone nini hasa kilitokea ...
kwann mnaelemea upande mmoja?
mimi sio mnyarwanda ,mm ni Mtanzania halisi Mzanaki...
nasikitika kuona hamtaki kusema ukweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bullshitWw ni interahamwe genocide denier maneno yako haayafichi identity yako na ndiomaana ukisikia watutsi waliuwa roho inakuruka sana hamuamini hata kama kumewahi kutokea genocide in rwanda
Mkuu Tutsi mlikuwa 700,000 pekee before october 1993.... According to Ibuka ambayo ni organisation ya genocide survivors 300,000 Tutsis sirvived!!!Dada angu nakualika rwanda!! Uje ujionee uache kujudge kwa kusikia njoo ujionee wanasema ilikuwa iitwe Genocide nikwasababu one clan inataka clan nyingine ipotee katika uso wa Dunia!! So majority waliolengwa walikuwa watutsi ilikuwa kwamba wapotee katika uso wa Dunia! Ndo maana wanasema Genocide against tutsi! Ambapo minority of hutu walikufa katika hiyo mauaji! Ndo maana katika kukumbuka hero's wa Rwanda Kuna Akina Agatha uwiringiyimana alikuwa muhutu tena prime minister alipingana na serikali ya rwanda Kuhusu tutsi kuuliwa!! Siwalaumu kwa sababu hamjaona!! Njoo uone tuuu may be macho yanaweza kuingiza kitu katika moyo wako!! Ukaacha kujudge ukawa msomaji kama Wengine!! Asante