Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Kkoo we ndio umeona pa kijaaaaaanja basi hakuna wahun kama West Africa na South Africa nyie wanaume wa Dar hata mlio wa Pancha ya baiskeli mnajinyea na wet hyo sauti ya Glock mtazimia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Du
 
Gentries uko wapi mjukuu???
 
hawa watu wanataka kuandaa genocide nyingine so wanaleta story zao humu, hata hilo Jeshi la Uganda linalokuwa referred to limeundwa na watutsi
 


Hakuna historia ya kweli duniani. Zote zipo biased na huwa inategemea nani katoa ufadhili wa historia.

Nilikuwa Rwanda hivi karibuni. Kule kuna hali ya tension sana. Ni kwamba pengine watu wanalazishwa kuimba nyimbo wasiyoipenda. Ukitaka uishi salama kule sema genocide against Tutsi, usiseme genocide against Rwandans au Hutus. Na for sure wana vidonda sana wale watu... Tuliongea na mdada mmoja alipotupeleka kwenye makumbusho ya mauwaji ya kimbari kuwa kizazi hiki ni ngumu sana kusameheana kwa dhati maana walioua na kuuliwa familia zao wako pamoja mtaani...
Ila nikajiuliza swali moja, kama kweli wanataka kusamehe na kuanza upya, kwa nini kwenye makumbusho wanaongelea habari za genocide against Tutsi, kwa nini isiwe genocide against Rwandans? Haiwezi kuwa trick ya watusi kutawala Rwanda kwa minajili ya kutibu hatred?
Those guys, wanaongea lugha moja, kwa nini hatred ipo hivi? Na kwa style ya utawala wa kule unajenga amani ya mioyoni au kuna hofu ya kifo?

Mungu ibariki Rwanda
 

Aibu sana, Rwanda umeme ukikatika kwa mwaka ukikusanya mda wote hazizidi dakika kumi. Huku tunakaa gizani mda mrefu kuliko kwenye umeme
 
hawa watu wanataka kuandaa genocide nyingine so wanaleta story zao humu, hata hilo Jeshi la Uganda linalokuwa referred to limeundwa na watutsi

Mtangoja sana Hyo genocide Rwanda yasonga mbele kwa kasi ya Mwanga na bado nyie endeleeni kutafuta expansion joint
 
Aibu sana, Rwanda umeme ukikatika kwa mwaka ukikusanya mda wote hazizidi dakika kumi. Huku tunakaa gizani mda mrefu kuliko kwenye umeme

Kule kuna watu wana akili Kagame kaweka watu wenyw Exposure sio upande ule wameka watu kisiasa mpaka kwenye umeme yan umeme unakatika masaa 12 af wanataka kua na viwanda
 

We umetembea sie tumekaa tuna maisha yetu kule hzo tension Mnazijua nyie wasubir pesa ya makinikia Rwanda yasonga mbele.
 
Hahahahahahhaa watutsi bhana we ikianza genocide ntaanza na wwe..... But dont worry ill be sweet to u πŸ™„πŸ˜‰πŸ˜›
 
Oya upo poa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…