Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

mkuu hadi nimekata tamaa na hii story maana nimetumia kila mbinu niweze kufungua hizo link hata hazifunguki ... nimebadilisha simu, nimetumia pc, nimetumia Ipad bado hazifunguki..

mi naomba mods wafanye mpango zifunguke hizi link, maana mkuu ushafanya kazi kubwa kuteletea makala hii nzuri.... pia kama kuna mtu ambaye ameweza kusolve tatizo ya hizi link namuomba anielekeze ili na mimi nipate kusoma
 

dada nyie warwanada huwa ni wazuri sema mi naona huwa mnafanana sana... hivi mnajitofautishaje?

maana naona wote ni warefu, rangi zenu mulemule, mahips fulani hatari tofauti na bongo huku kila ladha ipo
 
Hizi link tano hadi nane zimekubali ila tisa imezngua cjajua nyingine zikoje
 

Mkuu pole sana hata mimi mwanzon zilikuwa zinagoma ,nilikuwa natumia browser kuingia huku jf ,but now nimedownload App ya JF zinafunguka fresh zote,jarib App kama ulikuwa hutumii.
 
Weeee ixfananishee na hii minungayembe yenu hukuu inayoona kuwa na matako makubwaa ndo mtajii hicho chombo kiko sawaa wewee....
 
dada nyie warwanada huwa ni wazuri sema mi naona huwa mnafanana sana... hivi mnajitofautishaje?

maana naona wote ni warefu, rangi zenu mulemule, mahips fulani hatari tofauti na bongo huku kila ladha ipo

Mpigie Magufuli atawatofautisha.
 
Imeekuumaa sana au na ww mimaji ninii akili yako haina akili eti xina demu kuwa na demu ni sifa unanipangia je tm ya kuingia Jf hata km n usiku ww n kichom hata huyo mwanaume atakayekuoa. Nayee inabid awe kichom km ww..
 
Imeekuumaa sana au na ww mimaji ninii akili yako haina akili eti xina demu kuwa na demu ni sifa unanipangia je tm ya kuingia Jf hata km n usiku ww n kichom hata huyo mwanaume atakayekuoa. Nayee inabid awe kichom km ww..

Povu umelitema kwa kutumia X badala ya S naona kabisa unakaa kwa shemeji,kwa akili yako ya Muda ukajua niko East Africa,Proudly Rwandese.huna hadhi ya ku date na Rwandese wewe mswahili.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…