Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wawili humu walijifanya wana hoja mwishowe wakaonesha Rangi zao.na nyuzi juu ya Rwanda zimekua nyingi sana Jamii forums sijui wamepatwa na nini wadanganyika naskia magufuli kawakazia huko njaa ni kali haswa kupunguza machungu mnakuja kuanzisha nyuzi za Rwanda.Proudly Rwandese.
mkuu hadi nimekata tamaa na hii story maana nimetumia kila mbinu niweze kufungua hizo link hata hazifunguki ... nimebadilisha simu, nimetumia pc, nimetumia Ipad bado hazifunguki..
mi naomba mods wafanye mpango zifunguke hizi link, maana mkuu ushafanya kazi kubwa kuteletea makala hii nzuri.... pia kama kuna mtu ambaye ameweza kusolve tatizo ya hizi link namuomba anielekeze ili na mimi nipate kusoma
Sasa huyo kapendelewa nn hapo,pua kubwa hivyo na kichwa kama puto ndo kupendelewa huko au? U can't b xriac let'sJamanii acheni tuu hawa viumbe wamependelewaa...![]()
dada nyie warwanada huwa ni wazuri sema mi naona huwa mnafanana sana... hivi mnajitofautishaje?
maana naona wote ni warefu, rangi zenu mulemule, mahips fulani hatari tofauti na bongo huku kila ladha ipo
😀😀😀😀😀 dah JF burudani toshaSasa huyo kapendelewa nn hapo,pua kubwa hivyo na kichwa kama puto ndo kupendelewa huko au? U can't b xriac let's
Ila huyo demu ni mkenya mkuu..... Sio mnyarwandaWeeee ixfananishee na hii minungayembe yenu hukuu inayoona kuwa na matako makubwaa ndo mtajii hicho chombo kiko sawaa wewee....
Naitafuta stori ya bold ile ya adhabu ya vifo za kuchinjwa saudi arabiaIla huyo demu ni mkenya mkuu..... Sio mnyarwanda
Imeekuumaa sana au na ww mimaji ninii akili yako haina akili eti xina demu kuwa na demu ni sifa unanipangia je tm ya kuingia Jf hata km n usiku ww n kichom hata huyo mwanaume atakayekuoa. Nayee inabid awe kichom km ww..Comment ako naona kabisa ni sa saba usiku East African Time akili angu inaniambia wewe huna Demu kama unae bas ni kichomi au kama huna basi unaota ndoto uje kua girl mkali kama unaowatizama insta kitu ambacho ni imposibo kwahiyo endelea kuota juu ya wanyarwanda Proudly Rwandese halafu umepaniki sana mpaka wanyarwanda wanakusumbua akili ako usiku huu pole sana utapata tu tafuta pesa mambo mengine yatakua sawa we Kilaza
Imeekuumaa sana au na ww mimaji ninii akili yako haina akili eti xina demu kuwa na demu ni sifa unanipangia je tm ya kuingia Jf hata km n usiku ww n kichom hata huyo mwanaume atakayekuoa. Nayee inabid awe kichom km ww..