Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Nani hana huruma?? Nyie mnasema wazungu waliacha tutsi wakiuawa ilihali wakati wazungu 14 wanachinjwa na interhamwe RPF haikusaidia what did u expect wazungu wafanye?? Wenyewe walikua ordered waondoke

Mbona hushangai wanajeshi wa UN walishindwa kuzuia RPF kumimina risasi kwa wahutu huko kwenye makambi ya wakimbizi !!

Tuache unafki haya mambo ni ya pande mbili so kma tunataka haki tulaumu pande zote sio pale tu anapokufa mtutsi
Wewe jamaa wakati wazungu wanauliwa FpR ilikuwa Wapi?? Hii nchi Kama walishindwa kuuana tena 98 haitatokea ombea saana mauaji Ila hayatatokea! Kila mtu anayeleta ubaguzi ndani tu hatutaki mchezo!! Hata Wewe njoo uviongelee Huku rwanda tunakusweka ndani unasahaulika Kama wenzio!!

Katiba ya nchi inaongelea kuhusu genocide wote wanaoipinga wafungwe!! Njoo nawewe uropoke hizo bange zako tukuoneshe
 
Wazungu wako upande wetu?? Nani kakwambia kila mkosoa kagame ni mhutu?? Rwigara naye alihoji propaganda za kagame naye mtamuita mhutu!!!

Mbona wazungu wanasema genocide against Tutsi.... kma wako upande wa wahutu mbona hawajawahi kuazimisha huti genocide?? Mbona kagame hapelekwi ICC??Mbona war crime za kagame huko DRC hazichukuliwi hatua??
Zitto nitafsirie maana ya genocide unavyoielewa!! Yawezekana!! Unachanganya mambo!!
 
Wewe jamaa wakati wazungu wanauliwa FpR ilikuwa Wapi?? Hii nchi Kama walishindwa kuuana tena 98 haitatokea ombea saana mauaji Ila hayatatokea! Kila mtu anayeleta ubaguzi ndani tu hatutaki mchezo!! Hata Wewe njoo uviongelee Huku rwanda tunakusweka ndani unasahaulika Kama wenzio!!

Katiba ya nchi inaongelea kuhusu genocide wote wanaoipinga wafungwe!! Njoo nawewe uropoke hizo bange zako tukuoneshe
Unajipongeza ujinga,mmeinamishwa na kagame hamuwezi kuhoji.
 
Umeambiwa na nani kwamba wametua mzigo?? Nani kasema vidonda vyao vinapona??

Shida wengi mnaochangia humu mnasoma tu makala alafu mnaconclude ilihali hata Rwanda kwenyewe hamjafika kufanya utafiti mnaishia kupewa story za mitandaoni tu

Ni hivi Rwanda bado kuna ukabila sana tu nmesoma huko ndio maana natoka mapovu humu.... Wahutu bado wanadharauliwa sana na watutsi sana tu hta fursa za serikalini ni watutsi watupu hivyo bado sababu zilizopelekea genocide ya 1994 zipo wwe unatoa wapi conclusion kwamba vidonda vinapona na kwamba hawatachinjana tena???

Hapa hakuna anayechonganisha ila tunataka tu ukweli ujulikane na sio propaganda za kina the bold za kuonyesha upande mmoja wa story ya genocide huku upande wa pili ukipuuzwa!!
Hacha kahawa umesoma rwanda sehemu gain?? Nitajie shule uliyosoma Kama sio muongo na iko akarere kawapi?

Labda Kama umesoma shule ya magazeti!!

Huyu jamaa asiwapotishe kbsa! Kati ya vitu vinapigwa vita Ni ukabila! Labda ungesema Familia uliyoishi nayo Ndo ilikuwa na bad perception Ila sio Jamii yote!!

Nitajie shule uliyosoma
Mahali ilipo nikuumbue wewe
 
nimekujibu hili swali lako lamwisho mkuu tatizo umebase kusoma kubishana kuliko kuelewa.

nimekwambia hivi,hizo ICC,marekani,CIA ,ufaransa,ubelgiji, nk wote wamenawa damu kuanzia mwanzo kiini cha ishu hii,kwahiyo unategemea nani atazungumzia suala hilo wakati hakuna msafi mkuu? ni sawa na unatafta walopotea wakati mwenyewe umepotea.hao unaowalenga wewe ni sehemu tu ya mchakato mbona the bold kaweka wazi kila kitu mkuu hakuna asiejua wala anaekupinga,tatizo ni wewe unaetafta mwanga mchana!

babu zetu wenyewe walituambia amani haiji ila kwa ncha ya upanga! ili kufika hapa walipo ilibidi wapite humo walikopita.wamefika wametuazigo wachen wapone vidonda vyao,unaleta uchonganishi utakusaidia nini

sisi tulio na nia njema na jirani zetu tunazid kuwaombea mema na ndoto mnazoota nyinyi labda itokee vita ya 3 ya dunia otherwise mastermind tunajua ni ndoto ambazo mtakufa mtaenda nazo kaburini na kumbuka ni 2018 hii endelea kupiga soga
Safi sana mkuu, uko positive mpaka nmeapriciate sana! Hizo ideology zao watakufa nazo na kuingia nazo kaburini
 
Tusiwaingize wazungu kwenye kila kitu tulishapata uhuru miaka 50 iliyopita sasa kwanini tusijisimamie tumekalia kulaumu wazungu kila kukicha!!

Watutsi mtende haki na muwe na usawa jifunzeni kwa Prince Rwegasore mpigania uhuru wa burundi aliunganisha wahutu na watutsi na alioa mhutu ili kuua ukabila na Burundi katika muda wake waliishi kwa amani what's so hard kagame aweke usawa na kuruhusu demokrasia itawale ili maoni ya wananchi yaakisiwe kwenye sanduku la kura!! Anaogopa nni?? Kwanni hataki kukosolewa??

Geez!
Burundi wanauana kwa sababu ya watutsi na wahutu! Wenyewe kwenye katiba Yao wameorodhesha ututsi na uhutu!!
Sisi hatujaorodhesha Bali tumezuia so we are total different
 
Tusiwaingize wazungu kwenye kila kitu tulishapata uhuru miaka 50 iliyopita sasa kwanini tusijisimamie tumekalia kulaumu wazungu kila kukicha!!

Watutsi mtende haki na muwe na usawa jifunzeni kwa Prince Rwegasore mpigania uhuru wa burundi aliunganisha wahutu na watutsi na alioa mhutu ili kuua ukabila na Burundi katika muda wake waliishi kwa amani what's so hard kagame aweke usawa na kuruhusu demokrasia itawale ili maoni ya wananchi yaakisiwe kwenye sanduku la kura!! Anaogopa nni?? Kwanni hataki kukosolewa??

Geez!
Usawa unaozungumza upo nchi gani kwa mfano? Hakuna kitu kinachoitwa usawa hapa duniani, haiji kutokea
 
Facts gani mie nimepinga takwimu za genocide na niliweka hapa facts zangu mpaka leo hamjajibu mmebaki kulia lia tu

Njooni na majibu tuone nani ndio mbishi na mwenye chuki......tujifunze kujibu kwa hoja sio maneno matupu mjadala unakuwa hauna objective
Huwezi pinga ukweli huu, bagosora na askari wake walitungua ndege ya Rais wakamuua, sababu kuu walimwona kama kikwazo cha kufikia malengo yao kwani ashaanza kuafikiana na Rpf kwenye vikao vya arusha, wakaua viongozi wajuu ambao wangeweza kuchukua madaraka ya uraisi kama waziri mkuu na spika kisha wakatekeleza mkakati wao wa mda mrefu wa genocide against tutsi, bisha sasa!
 
Wewe jamaa wakati wazungu wanauliwa FpR ilikuwa Wapi?? Hii nchi Kama walishindwa kuuana tena 98 haitatokea ombea saana mauaji Ila hayatatokea! Kila mtu anayeleta ubaguzi ndani tu hatutaki mchezo!! Hata Wewe njoo uviongelee Huku rwanda tunakusweka ndani unasahaulika Kama wenzio!!

Katiba ya nchi inaongelea kuhusu genocide wote wanaoipinga wafungwe!! Njoo nawewe uropoke hizo bange zako tukuoneshe
Nlishaziongelea sana kipindi nipo chuo hadi wakawa wananirekodi ila nliwashtukia mapema nkambana mmoja ndio wakapotezea..... Anyway kukamata kila anayekosoa genocide haiwezi kusuluhisha maana mnazidi kuongeza chuki na visasi maana kma kila mwananchi akiruhusiwa kuongea ya moyoni mtajikuta mnafunga kila mtu ssa cjui jela zitatosha!!!

Watu wanaweza kukaa kimya kuogopa kuuawa ila kumbuka wapo majority hivyo its just a matter of time watachoka na wakichoka watutsi mko million 2 pekee sijui mtazuiaje mafuriko hayo
 
Huwezi pinga ukweli huu, bagosora na askari wake walitungua ndege ya Rais wakamuua, sababu kuu walimwona kama kikwazo cha kufikia malengo yao kwani ashaanza kuafikiana na Rpf kwenye vikao vya arusha, wakaua viongozi wajuu ambao wangeweza kuchukua madaraka ya uraisi kama waziri mkuu na spika kisha wakatekeleza mkakati wao wa mda mrefu wa genocide against tutsi, bisha sasa!
Kama hii ndio hoja mbona mwaka 1990 walishaandikia barua hao RPF warudi kwa amani Rwanda wajenge nchi kwanini asiuliwe mwaka 90 auawe 1994???

Kagame alimuua sababu aliona wakishashare madaraka bado Rais atakuwa habyarimana yye hakutana amani kagame alitaka MADARAKA na hili ni muhimu mlifahamu ndio maana alikuwa yupo radhi wampoteze kamanda muhimu kma Rwigyema ili tu apate MADARAKA.

Wahutu hawakuwa na sababu ya kumuua habyarimana 1994 maana kumbuka kabla ya hapo kulikuwa na mazungumzo toka miaka ya 92 sasa kivp wasimuue huko nyuma ila wamuue kwa sababu hiyo hiyo 1994??? Why??

Kingine nachokataa wahutu kumuua habyarimana kinatoka mdomoni kwa majenerali watatu waliokwisha asi RPF mmoja nyamwasa mwingine alikuwa muasisi wa green party ..... Walisema kipindi ndege ya habyarimana inatunguliwa kagame akawaambia TUSONGE MBELE bila mshangao wowote as if alijua kilichotokea!!!

Maswali ni mengi ila bado hayaleti maana kwanni wahutu wamuue habyarimana 1994 na sio kwenye makubaliano ya kabla ya hapo..... Why huko nyuma wakubaliane na watutsi asiuawe ila 1994 ndio wamuue WHY??
 
Kama hii ndio hoja mbona mwaka 1990 walishaandikia barua hao RPF warudi kwa amani Rwanda wajenge nchi kwanini asiuliwe mwaka 90 auawe 1994???

Kagame alimuua sababu aliona wakishashare madaraka bado Rais atakuwa habyarimana yye hakutana amani kagame alitaka MADARAKA na hili ni muhimu mlifahamu ndio maana alikuwa yupo radhi wampoteze kamanda muhimu kma Rwigyema ili tu apate MADARAKA.

Wahutu hawakuwa na sababu ya kumuua habyarimana 1994 maana kumbuka kabla ya hapo kulikuwa na mazungumzo toka miaka ya 92 sasa kivp wasimuue huko nyuma ila wamuue kwa sababu hiyo hiyo 1994??? Why??

Kingine nachokataa wahutu kumuua habyarimana kinatoka mdomoni kwa majenerali watatu waliokwisha asi RPF mmoja nyamwasa mwingine alikuwa muasisi wa green party ..... Walisema kipindi ndege ya habyarimana inatunguliwa kagame akawaambia TUSONGE MBELE bila mshangao wowote as if alijua kilichotokea!!!

Maswali ni mengi ila bado hayaleti maana kwanni wahutu wamuue habyarimana 1994 na sio kwenye makubaliano ya kabla ya hapo..... Why huko nyuma wakubaliane na watutsi asiuawe ila 1994 ndio wamuue WHY??
Jibu lipo hapo ambapo hawakuishia kumuua yeye tu, wakaua na pm, speakers na mawaziri wengine nyeti kisha wakamsimika mkuu wa majeshi awe ndo mrithi wa madaraka yote ili hutu power ikamilishe mission, can't you see??
 
Hacha kahawa umesoma rwanda sehemu gain?? Nitajie shule uliyosoma Kama sio muongo na iko akarere kawapi?

Labda Kama umesoma shule ya magazeti!!

Huyu jamaa asiwapotishe kbsa! Kati ya vitu vinapigwa vita Ni ukabila! Labda ungesema Familia uliyoishi nayo Ndo ilikuwa na bad perception Ila sio Jamii yote!!

Nitajie shule uliyosoma
Mahali ilipo nikuumbue wewe
Nlishasema toka mwanzoni nmesoma primary huko rubavu.. Shule ilikuwa ya wamissionary hii st maurus ipo kanama kule rubavu to be specific njia ya kuelekea basa na nliishi kwa mzee mmoja anaitwa Pascal munyakazi na head teacher alikuwa Fr Rurangirwa Ivan!! Any question?? Au unataka na registration number yangu???

Nakumbuka tukiwa shule kagame alishawahi kuja sokoni pale....baada ya kukuta wahutu wamechachamaa akakiri kuwa WATUTSI waliua wahutu kwenye genocide huko western province hahahaha nkikumbuka nacheka sana ujenerali wote akaufyata akaanza kuomba msamaha ila thr bold cjaona anaongelea genocide against hutu

Hawa kidogo waligusia hii saga pitia usome

Rwanda admits Hutu massacre

Kuhusu familia niliyoishi ilikuwa ya watutsi watupu hivyo kma hoja yako ni kwamba nliishi kwa wahutu ndio maana nlipandikizwa chuki unajidanganya..... Hawa watutsi baadae walikimbilia congo wakaishi huko maeneo ya nyiragongo hivyo nimeona pande zote mbili za haya makabila kabla sijaja na conclusion hivyo usiseme napotosha sema hukubaliani na maoni yangu
 
Zitto nitafsirie maana ya genocide unavyoielewa!! Yawezekana!! Unachanganya mambo!!
Ni mauaji yanayolenga kundi flani la watu labda dini au kabila n.k hivyo kama ambavyo wahutu walifanya genocide against tutsi ndio vilevile watutsi nao walifanya genocide against hutu hasa from 1997 to 2003 huko western rwanda na eastern congo ila sijawahi sikia mkiiongelea humu ila mnaongeleaga 1994 pekee ambayo nayo mnadai watutsi waliuawa million 1 ilihali hawakufika hata laki 4 rwanda nzima !!!

Embu tuacheni propaganda tuongee ukweli..... Mtapotosha mpaka lini?? Kwanni kila anayehoji takwimu feki mnamfunga badala ya kumjibu au kumuelewesha?? Mnaficha nni??
 
Burundi wanauana kwa sababu ya watutsi na wahutu! Wenyewe kwenye katiba Yao wameorodhesha ututsi na uhutu!!
Sisi hatujaorodhesha Bali tumezuia so we are total different
Its all becoz of Tutsis mko wachache burundi ila mliwaua sana wahutu hasa 1972 genocide mliua sana wahutu ila hizo hamuongeleagi na hata Rais wa kwanza mhutu kwa kidemokrasia 1992 alipoachiwa madarakana na UPRONA bado mkampindua na kumuua!!! Tokea hapo nchi ikarudi kwenye machafuko

Kma watutsi wote mngekuwa kma prince rwegasore kusingetokea genocide burundi au rwanda ila kwa kuwa hampendi kutawaliwa ilihali mko wachache ndio mmesababisha nchi hizi mbili ziwe za kivita vita

Badilikeni hata uganda mmetawala uongozi kwa miaka 40 ssa hamtaki kuachia makabila mengine Yaani kuanzia airport ya entebbe mpka ofisi za URA hadi border ya busia ni watutsi watupu wanaojiita wahima na wanyankole eboooo siku wakicharuka hao wagganda msije kutafuta mchawi
 
Back
Top Bottom