Bossless
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 1,381
- 2,948
Kagame mwenyewe mwizi,halafu Rwanda kuna maisha magumu balaa yani ukimtongoza demu wa kinyarwanda ukimwambia wewe ni mtz hachomoki utatomba bure kabisa na ukimwambie tukaishi tz wala hasiti .kuna njaaa balaa sema kagame anatumia udikteta kuwaziba midomo wasilalamike .Maendeleo ya kamkoa mnajisifia?? Embu kuweni serious hata wewe Jestkilla nikikupa mwanza uiongoze utashindwa kuipa maendeleo more so in 20 years???? Kagame ningemsifia kma angekuwa na linchi kma Tanzania ndio alete hayo maendeleo sio kale kanchi kenye size ya mwanza ndio kelele kibao