Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Naona leo Jestkilla kapata mbabe wake mpaka huruma 😀😀😀

Umebakia mshabiki baada ya kukumaliza kiasiasa na hoja zako za kipuuzi hua nikikomaa nahakikisha namaliza misheni mpaka mwisho nshawaidate na mtu flan akaleta leta zake drama kibao nikasema nataka tuone mwisho wake siku 3 mbele naskia ako hospital hoi nikaenda mcheki anaomba msamaha.
 
mimi siwezi kupaniki nakuambia ukweli jinadi mtandaoni tu humu lakini mimi nipo huku kwenu nawajua nyie a to z, napiga hela za mr slim tu huku, kama mnajiamini kuna aman mbona watu hawawekezi huku pumbavu, mshukuruni bhakhres tu nyau wewe
Mmh jamani unakaa sehemu gani?? Mbona wawekezaji wapo! hapo umedanganya Sema vingine
 
Pole sana ndugu unajiskia raha kukaa kubishana na matahira hua nakuja kufanya huu undezi kama sina kazi niliondoka sabab nlkua na meeting na Delegation moja hv toka France brazil and Spain so nikipata muda free nakuja kuwajambisha hawa waswahili wenzio. Pia wewe inaonekana utakua na tabia za kishoga mda huu east africa wenzio wamelala sijui mwenzangu mbeba box kiwanda cha Murzah au Mo..!!
Jestkilla umeuharibu sana huu uzi.... Kila uzi unaoingia huwa umaharibika yaani cjui huna mme or what maana unakesha kutukana tu na mods hata hawakushughulikii.... Huna tofauti na mange!! Kwani ni lazima uquote kila post humu??

Get better things to do sio kushinda mitandaoni asbuhi mpaka ucku... At least soma vitabu and save our day for once!!
 
Leta facts acha kuongea tuu!! Matatizo yepi

Mkuu

Watutsi nahisi mna superority complex kubwa sana.I heard mna believe kua mmeletwa hapa duniani kutawala wengine tu!Na nyie ni wanadamu wa gredi ya juu kabisa,wengine wote wapo chini ya miguu yenu!

Hii mentality ndio ya ajabu kabisa.Ndio itawaletea matatizo makubwa.Mtakuja kuelewa baadae kua hicho mnachofikiria si halisi mnajidanganya tu.

Kuna tatizo kubwa sana mnalo.Na hata mkipewa nchi yenu wenyewe kabisa mkawa Watutsi 100%,mtaanza kubaguana kwendana na majina ya koo zenu,mtakuja kugundua you people are chasing ghosts which do not exist at all.

Badilikeni aisee!Otherwise mtajistukia mmebaki 2 tu!
 
Wengi wenu mnaskia Stori halafu Rwanda sasa hiv hakuna cha watus wala wahutu watu wanaishi kwa Amani tele subirini The bold amalize Stori ingekua hakuna Amani msingepanda Ndege za Rwandair kupelekwa ulaya na nchi mbali mbali za Kiafrica.Proudly Rwandese

Mmmh

Unachosema siwezi kihakiki.

Kwa kuangalia tu,kuna posts humu za ajabu kabisa,zinashabikia kuuawa kwa watu na zinapata likes zaidi.

Wala haina haja ya kutumia rocket science,soma tu posts za huu uzi.Kuna posts za ubaguzi mkali sana na zinasifiwa mno na nyie nyie.

Kuhusu Rwandair,ni kashirika kadogo tu,usije kapa sifa zisizohitajika.Foot print ya Rwandair ni abysmal.Sema sababu ya upenzi kwa taifa lako unawajibika kusifia either way.Mimi binafsi siwezi sifia Tanzania eti sababu mimi Mtanzania,naangalia truth na comparison with the other performers.I look into the mirror na kutoa honest judgement,sina upenzi wa namna hiyo mpaka unakua blind na obvious truths.
 
O
It takes you to be a shithole native & a fucking retard to beleive in ethnic superiority bullshit ! .Meanwhile your fellow country men lives like fucking beggars .This is nonsense , utterly Chronic mental retardation syndrome that most of Africans (Black people ) have been it's victims for hundreds of years .

I don't care who rules all I need is for black ( majority subsaharan ) natives to get rid of this miserable poverty ,an embarrassment that has even exhumed the threat for new slavery eg.Libya as a study case.

Whoever is inclined to ethnic superiority and applaud it , he / she is a stinking stupid Moron .I don't care whoever it is and whatever he has done.

This is the kind behaviour that is so deeply rooted within most of us to an extent that even our leaders have been used to it , in fact they had been born and raised in this way , we need to change ....................................

What a terrible shame this is, killing innocent unarmed civilians in Cold blood ,slaughtering them and burning them like garbages. Yet you have got balls to stand up and proclaim your innocence & integrity as a leader . So sad ..............
Of coz ni upuuz maana kote kwenye kita Africa hicho ndo chanzo lakn hili jambo ni la kuzaliwa nalo so n mgumu kuepuka,sio tu Africa ila jamii nyingi duniani ziko hivyo ila tunaxhozidiwa ni kiwango cha ustaarabu na kuvumiliana
 
O

Of coz ni upuuz maana kote kwenye kita Africa hicho ndo chanzo lakn hili jambo ni la kuzaliwa nalo so n mgumu kuepuka,sio tu Africa ila jamii nyingi duniani ziko hivyo ila tunaxhozidiwa ni kiwango cha ustaarabu na kuvumiliana
Sasa linaloniumiza ni kuona kuna wapuuzi wanashabikia hii kitu bila kufahamu kuwa ni sumu .Yani ndo maana tunaitwa Shitholes .Yani ujinga na upuuzi tu .

Sijawahi kuwa mshabiki wa ushabiki wa Kikabila hata siku moja na huwa na sina uvumilivu kwenye masuala ya kipumbavu kama haya........................

Yani ngozi nyeusi hii inalaana si bure.....................................
 
Ila mkuu jina lako la The Bold lilikuwa ni brand nzuri sana sasa hili jipya hadi kuja kuizoea
 
The bold lete nondo zingine sehem inayofuata.Proudly Rwandese,Kagame Forever.kwa leo imetosha najua kesho nachezea ban tutakutana siku ingine
Duh Naona kweli umechezea ban, ulishaambiwa nn na modes?
 
Kuna thread moja hivi, pk overrated?!. He is smart thou. Lakini wasimwache Mungu Wa kweli.
 
Nyie nchi yenu miaka 50 mpo mpo mnadhani Siasa itawaletea maziwa na asali hii leo mnadanganywa kwa kiji njia cha pale Tazara et megastructure kiji airport chato [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
unalinganisha Tz na hako ka kijjji kenu...kutwa mpo kwetu,kama nchi yenu ni nzuri mwataka nn kwetu,JK aliwaweza kuwatimua,punguzeni kuwashwa vikojoleo uanot that smart
Hapana ilikuwa kwa mzungu na wote tulikuwa na ujira sawa tu japo tulizidiana kidogo na baada y mwaka nikaona hapanipi nikarejea bongo land sina mapesa meeeeeeeengi ila nina amani siku naondoka ndio nikachukua lile zigo kuja kutumia tumia kidogo ila baadae nikajiunga na mtoto wa kisukuma basi nikamuachia achague kukaa au kuondoka .aliondoka kwa basi kufika iringa wakakamata [emoji27] naomba nisiendeleee plz na sitakujibu tena naishia hapo

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Msaada nimeshindwa kusoma sehemu ya pili na kuendelea nikifungua hzo link zinanirudisha sehemu ya kwanza
 
Back
Top Bottom