Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Anzisha uzi wako wa kuandika makala ambayo haina hyo “stupidity” Watz wapuuz sana Mnashoboka sana na Rwandese halafu hatuna muda huwezi enda kigali ukaona Tunawadiscuss kwa namna yoyote ile sabab wapuuz mko wengi pambaneni na Hali zenu Makala ya the bold ijaisha ushaanza kuongea takataka mwisho wa makala ndio utajua kwanini kaandika neno ethiopia otherwise kojoa ulale

Jestikila acha matusi

Kubali hujui kwanini mmeweka neno Ethiopia,hata The Bold mwenyewe kaweka sababu ya kujikomba na connection ya Ethiopia as if ipo.....

Hujui lolote...

Nani kakuomba mtudiscuss kwani?Huu uzi upo kwenye platform ya Watz,cha ajabu upuuzi ni mwingi,ndio maana tunataka kuwaelimisha kwamba sisi tuna makabila 250 na tunaishi vizuri,nyie 2 tu mnasimangama kama majuha...You people have a profound fundamental problem,especially you!
 
Jestikila acha matusi

Kubali hujui kwanini mmeweka neno Ethiopia,hata The Bold mwenyewe kaweka sababu ya kujikomba na connection ya Ethiopia as if ipo.....

Hujui lolote...

Nani kakuomba mtudiscuss kwani?Huu uzi upo kwenye platform ya Watz,cha ajabu upuuzi ni mwingi,ndio maana tunataka kuwaelimisha kwamba sisi tuna makabila 250 na tunaishi vizuri,nyie 2 tu mnasimangama kama majuha...You people have a profound fundamental problem,especially you!

Warning😛ANIC MODE IS ACTIVATED [emoji745]️ nilijua lazima uingie kwenye 18 kichwa kichwa inaonekana unawaona waethiopia ni Miungu watu
 
Warning😛ANIC MODE IS ACTIVATED [emoji745]️ nilijua lazima uingie kwenye 18 kichwa kichwa inaonekana unawaona waethiopia ni Miungu watu

Acha kupaparika,eti Panic Mode Activated,inaonesha you are not comfortable with yourself,unaanza ku-scare people wakati in real sense wewe mwenyewe ndio upo scared...Hahahaaaa

Acha ku-project your own insecurities to other people!

Mpo obsessed sana na Ethiopians mpaka mnajikomba nao....Hahahaaa!
 
Acha kupaparika,eti Panic Mode Activated,inaonesha you are not comfortable with yourself,unaanza ku-scare people wakati in real sense wewe mwenyewe ndio upo scared...Hahahaaaa

Acha ku-project your own insecurities to other people!

Mpo obsessed sana na Ethiopians mpaka mnajikomba nao....Hahahaaa!

Umepaniki mpaka nacheka kupasuka mbavu nimekuingiza kwenye 18 umeingia utamu sana halafu nimekujaza povu inaonekana kwako waethiopia unawapenda ila huna uwezo wa kuwapata pole sana nikiamua kucheka nakuja humu
 
Hata utoe na damu zao hatuwezi kukuelewa!! Je kama walilipwa ili waweze kutoa ushahidi wa uongo!! Wewe endelea kusoma tuu akimaliza nawewe anzisha thread yako ili tuende sambamba!! Zitto junior mbona mzito kweli usitake kuwa mzito kama Jina lako
Kwa hiyo hayo unayoyaamini ni msahafu mtakatifu ulioshushiwa directly na mwenyezi Mungu?
 
Ethiopians are Ethiopians and are not Rwandese!

They have no connection kabisa...Swali kwanini neno Ethiopia mmeliweka kwenye kichwa cha habari cha thread yenu hujalijibu bado.

Africa is a piece of vast land containing groups of people who are totally different from each other.

Hiyo lebo ya Uafrica yenyewe hata huielewi dhima nyuma yake.

Nitapasuka sababu ya nini?Rwandese?Pleaseeeeee!

Niache kuwaonea donge Germans au Japanese nije kuwaonea donge niggas wenzangu?You are a nigga just like me,we are all niggas,black niggas from Africa.It is hilarious tunabishania who is a bigger nigga while we are all niggas regardless!This is madness!
Hiyo ya Ethiopia ni propaganda iliyokuwa inaenezwa na wahutu kuwa Watusi sio wenyeji hivyo wakatakatwe watupwe mto kagera uwapeleke Nile mpaka wafike Ethiopia kwenye origin yao
 
Kuna watu mnacontardict sana wamasai sio Cushites hawa ni Nilotes kama walivyo Barbaig , wambulu n.k .Cushites wana asili ya Ethiopia na walimigrate South kwa shughuli za Ufugaji , hawa Nilotes wako originated in areas arround Nile river for centuries ..........
 
Umepaniki mpaka nacheka kupasuka mbavu nimekuingiza kwenye 18 umeingia utamu sana halafu nimekujaza povu inaonekana kwako waethiopia unawapenda ila huna uwezo wa kuwapata pole sana nikiamua kucheka nakuja humu

Mkuu
Una argument za kitoto sana...Eti nimeingia 18 zako,so what?Povu wapi,naona too much stupidity from you.Waethiopia niwachukie au niwapende kwa lipi?Kuwachukia au kuwapenda sio kazi yangu mkuu..Wewe jibu hoja niliyoweka mezani,how on this hell you associate yourselves with other people who never identify themselves with you?They even do not know u even exist!Where is the connection with scientific and historical evidences?
 
Mkuu
Una argument za kitoto sana...Eti nimeingia 18 zako,so what?Povu wapi,naona too much stupidity from you.Waethiopia niwachukie au niwapende kwa lipi?Kuwachukia au kuwapenda sio kazi yangu mkuu..Wewe jibu hoja niliyoweka mezani,how on this hell you associate yourselves with other people who never identify themselves with you?They even do not know u even exist!Where is the connection with scientific and historical evidences?

Subiri The bold amalize stori ndio aseme why hii stori yake aliita jina hilo Utanzania ni mzigo sana nawashangaa sana mna akili kisoda kwa bahati nzuri nina asili za hzo nchi ndio maana nakushangaa Proudly Rwandese Proudly Eritrean.pambana na haki yako ndio maana nchi yenu mnabaki maskini kwa akili za kimbele mbele kama hizi.
 
Subiri The bold amalize stori ndio aseme why hii stori yake aliita jina hilo Utanzania ni mzigo sana nawashangaa sana mna akili kisoda kwa bahati nzuri nina asili za hzo nchi ndio maana nakushangaa Proudly Rwandese Proudly Eritrean.pambana na haki yako ndio maana nchi yenu mnabaki maskini kwa akili za kimbele mbele kama hizi.


Hahahaaa ..Leo umekua Eritrean?Jesus Christ..

Im done with you people with identity crisis...

Aisee mna shida kubwa sana...Bongo zenu zipo robo....

Hahahaha.....Eti Eritrean?Yesu na Maria (in my Chagga voice)!
 
Hahahaaa ..Leo umekua Eritrean?Jesus Christ..

Im done with you people with identity crisis...

Aisee mna shida kubwa sana...Bongo zenu zipo robo....

Hahahaha.....Eti Eritrean?Yesu na Maria (in my Chagga voice)!

Pambana na Hali yenu Panga siku nikupeleke Asmara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaonijua wanacheeekaaaa
 
Hiyo ya Ethiopia ni propaganda iliyokuwa inaenezwa na wahutu kuwa Watusi sio wenyeji hivyo wakatakatwe watupwe mto kagera uwapeleke Nile mpaka wafike Ethiopia kwenye origin yao
Huu ulikuwa ni uuwaji tu, kama kweli nia yao ilikuwa kuwarudisha (Watutsi) Ethiopia ambako hata marastafari wa jamaika walipewa mkoa (Sheshamane) ile fedha waliyonunulia mapanga wangeweza kabisa kukodi vyombo vya usafiri.
 
Pambana na Hali yenu Panga siku nikupeleke Asmara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaonijua wanacheeekaaaa

Mkuu

Utakua na ndoto za ajabu sana.Wewe ni Mnyarwanda,Eritrea has nothing to do with you,hii yote unayoonesha ni identity crisis na confusion ya hali ya juu sana!

Na kama Eritrea ni kwenu,unafanya nini Rwanda?

Kuna siku nilikusikia ukisema nyinyi pia ni Waisrael?Siku ingine Ethiopians,siku ingine Somalis,leo ni Eritrean,mkuu huu ni utoto wa hali ya juu sana.

Im done with you half assed know-nothings!
 
Hii Ndio sababu hata Races nyingine wanasema " whenever you see a black man you see a fool " kwa baadhi ya foolish prides comments za the so called Chosen Tutsis to rule others kwenye hii thread naanza kuamini huu usemi .............. Bragging about nonsense and utterly absurd stuffs , I wish you could know how Jews views and treat blacks in their own country (Israel) you would have stopped this foolish arrogance long ago ..............To me there is no stupidity of highest magnitude than this ................ Hao wazungu mnaowaabudu wenyewe wameinteract sana kwa sasa MDutch na Mjerumani , Mfaransa na MItaly n.k ......Sisi ndo bado tunaendekeza huu upuuzi wao walishaachana na Ethnic superiority Bullshit muda mrefu wakakaa kama Europeans na maendeleo yalishaonekana sasa sisi bado tuko stone age ............Mara Mtutsi ndo nina haki ya kutawala na mpumbavu kama huyu ana ujasiri kabisa wa Kuandika huu upupu humu na watu wanashangilia kabisa ............Hopeless kabisa............kwa Case ya pale Rwanda na Burundi hawa jamaa wakubali kuachia madaraka , we ni nani kutawala miaka yote hiyo ina maana hamna watu wengine wanaoweza kuongoza ............Mi naamini Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono sana na hili suala aliliona mapema na kulishughulikia mapema na leo hii tunajivunia Ethnic unity iliyotukuka kabisa ulimwenguni , makabila 120 na intermarriages hazikatazwi kabisa .................Hivi unafikiri Tanzania kungetokea kukawa na kabila moja likashikilia hatamu zote za uongozi nini kingetokea ..........Nahisi Tanzania isingeweza kuexist na kungekuwa na vinchi vidogo within it Dodoma ,nchi ya Mwanza ,nchi ya Kigoma n.k na hata hivyo vinchi vyenyewe visingekuwa stable maana chukulia mfano Arusha kuna makabila zaidi ya mawili hawa lazima wangepigana tu ................... Na hiki ndio wanachotakiwa kujifunza haya makabila mawili Hutus & Tutsis uko Rwanda na Burundi ..............
 
Mkuu

Utakua na ndoto za ajabu sana.Wewe ni Mnyarwanda,Eritrea has nothing to do with you,hii yote unayoonesha ni identity crisis na confusion ya hali ya juu sana!

Na kama Eritrea ni kwenu,unafanya nini Rwanda?

Kuna siku nilikusikia ukisema nyinyi pia ni Waisrael?Siku ingine Ethiopians,siku ingine Somalis,leo ni Eritrean,mkuu huu ni utoto wa hali ya juu sana.

Im done with you half assed know-nothings!

Haya niko Dakar Senegal utakuja niuliza nafanya nini pole sana our family tupo duniani kote kazi ni 1 n kupambana na kusaka pesa.Rwanda ni home kwa mzee na eritrean zaman ethiopia kwa mama Tz tulikuja kusaka pesa tu haya sema kingine we mswahili
 
Naipenda sana JF najifunza vitu vingi mnoooo
Kuna vichwa balaa humu ndani
The Bold ahsante kwa Uzi huu
Watusi ni shemeji zangu na mawifi zangu lkn sikuwa nayajua haya
Jamaa aliekuoa yupo Bongo? Je identity yake iko open kuwa ni mnyarwanda?
 
Haya niko Dakar Senegal utakuja niuliza nafanya nini pole sana our family tupo duniani kote kazi ni 1 n kupambana na kusaka pesa.Rwanda ni home kwa mzee na eritrean zaman ethiopia kwa mama Tz tulikuja kusaka pesa tu haya sema kingine we mswahili

Mkuu

Mko duniani kote kwa sababu hamna true nyumbani!

Hata hujui maana ya "Mswahili"!

Swahili ni kabila au muunganiko wa makabila yanayopatikana kwenye coast of East Africa na Islands zake from Mijikenda Kenya to Mozambique coast,mimi natoka Kilimanjaro,totally different person.Mimi kujua lugha ya Kiswahili sio tatizo,ndio maana najua na English,etc.

Kua Dakar sio tatizo or elsewhere,mimi niko USA at the moment sio tatizo pia.Wewe unaona big deal?!

Upo very confused,wewe kua na mzazi ambae ni Eritrean hakufanyi the whole Rwandan population kua Eritreans,ni mkoswa akili tu ndio anae-generalize mambo,and you are fittingly so!Na wewe kua na mzazi Eritrean hakukupi haueni yoyote on anything.
 
Mkuu

Mko duniani kote kwa sababu hamna true nyumbani!

Hata hujui maana ya "Mswahili"!

Swahili ni kabila au muunganiko wa makabila yanayopatikana kwenye coast of East Africa na Islands zake from Mijikenda Kenya to Mozambique coast,mimi natoka Kilimanjaro,totally different person.Mimi kujua lugha ya Kiswahili sio tatizo,ndio maana najua na English,etc.

Kua Dakar sio tatizo or elsewhere,mimi niko USA at the moment sio tatizo pia.Wewe unaona big deal?!

Upo very confused,wewe kua na mzazi ambae ni Eritrean hakufanyi the whole Rwandan population kua Eritreans,ni mkoswa akili tu ndio anae-generalize mambo,and you are fittingly so!Na wewe kua na mzazi Eritrean hakukupi haueni yoyote on anything.

Proudly Rwandese Sheeenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya next month ntakua Virginia tuombe uzima.
 
Back
Top Bottom