Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Anzisha uzi wako wa kuandika makala ambayo haina hyo “stupidity” Watz wapuuz sana Mnashoboka sana na Rwandese halafu hatuna muda huwezi enda kigali ukaona Tunawadiscuss kwa namna yoyote ile sabab wapuuz mko wengi pambaneni na Hali zenu Makala ya the bold ijaisha ushaanza kuongea takataka mwisho wa makala ndio utajua kwanini kaandika neno ethiopia otherwise kojoa ulale
Jestikila acha matusi
Kubali hujui kwanini mmeweka neno Ethiopia,hata The Bold mwenyewe kaweka sababu ya kujikomba na connection ya Ethiopia as if ipo.....
Hujui lolote...
Nani kakuomba mtudiscuss kwani?Huu uzi upo kwenye platform ya Watz,cha ajabu upuuzi ni mwingi,ndio maana tunataka kuwaelimisha kwamba sisi tuna makabila 250 na tunaishi vizuri,nyie 2 tu mnasimangama kama majuha...You people have a profound fundamental problem,especially you!