Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Kama alitungua yeye mbona hajakamatwa??
Si ndio ameshaitwa mahakamani toka 2007 ila hajawahi kanyaga kuhojiwa..... Arrest warrant zilishatoka kitambo ila kagame anakomaa tu kma Al bashir but ushahidi upo na kesi ipo kama hana makosa kagame aende tu akashtakiwe kma uhuru kenyatta ukweli utajulikana ssa anakimbia nini??? Mbona kina ruto walienda??
 
For sure!! Matatizo ya rwanda Ni ya wanyarwanda!! Hata mzungu Kama hakuona umuhimu WA kuokoa watutsi waliouwawa ETO wakapakiza mbwa zao wakaacha binadamu wanakatwa mapanga Huku wanaona!! Iweje leo wawe waamuzi WA kesi za kinyarwanda!!!

Kuhusu jeshi umeongopa!! Tafuta mkuu WA magereza Alikuwa kinara WA mauaji ya kimbari!! Alijisalimisha in 2000 mbona Sasa Ni mkuu WA magereza yote!!

Rwanda haina siasa chafu!! Kama ukija njoo ufanye siasa za kistaarabu usije na mambo ya kuingiza tutsi na hutu!!
Wote wanafungwa na sheria ambayo Ndio nguzo bro!!
[HASHTAG]#zitto[/HASHTAG] najua one day utakubaliana na ukweli Japo uko upande fulani wa shilingi
Acha propaganda wazungu waliondoka sababu askari wao waliuawa na interehamwe so wakaona kwanini hasara ilihali vita haiwahusu!!! So irrespective kauawa nani au nani wao wangeondoka tu maana walipewa amri

Otherwise msimamo wangu bado ni ule ule kagame ni dikteta na ana siasa chafu.... Kma hapendi democracy aifute sio anasema kuna uchaguzi huku hataki competition niliona mdahalo wake na wagombea wenzake yaani wanamsifia badala ya kupambana naye nkajua mapandikizi tu

Aweke usawa..... Aombe msamaha wahutu... Ajisalimishe mahakamani..... Aachie wafungwa wa kisiasa.... Aeleze ukweli wa genocide.... Aeleze aliemuua rwigyema... Hapo ndio watu wata move on sio sasa ambapo wana maswali ma uchungu kibao
 
mkuu tuendelee episode ya 14 tafadhali [HASHTAG]#thebold[/HASHTAG]
 
Acha propaganda wazungu waliondoka sababu askari wao waliuawa na interehamwe so wakaona kwanini hasara ilihali vita haiwahusu!!! So irrespective kauawa nani au nani wao wangeondoka tu maana walipewa amri

Otherwise msimamo wangu bado ni ule ule kagame ni dikteta na ana siasa chafu.... Kma hapendi democracy aifute sio anasema kuna uchaguzi huku hataki competition niliona mdahalo wake na wagombea wenzake yaani wanamsifia badala ya kupambana naye nkajua mapandikizi tu

Aweke usawa..... Aombe msamaha wahutu... Ajisalimishe mahakamani..... Aachie wafungwa wa kisiasa.... Aeleze ukweli wa genocide.... Aeleze aliemuua rwigyema... Hapo ndio watu wata move on sio sasa ambapo wana maswali ma uchungu kibao
mkuu! mkuu zitojr nakuita tena kama ndugu yangu mtanzania mwenzangu! kwa maelezo yako niliyofuatilia wewe ni msomi na unaexposure ya sehemu mbalimbali east Africa....... sasa mkuu naomba tafadhali tujenge hoja hapa bila matusi,jazba wala hasira....itakua kisomi zaidi

nimeona hoja yako kuu inayokufanya ubishane sana,nikasema pengine upo sahihi lakini nikajiuliza maswali haya:

kwanza umesoma ushuhuda huu wa the bold mpaka hapa alipoishia sehemu ya 13?
pili ukijibiwa unachotaka utaridhika? na ukiridhika utafanya nini? na usiporidhika utafanya nini?

tafadhali naomba unijibu maswali yangu mkuu,sina nia ya ugomvi bali kuwekana sawa

kwa maelezo ya mwandishi hapo juu ni lazima ufahamu kwanza kagame ni kama mtoto wa tz amefunzwa hapa na anamchango mkubwa mno,yupo hapa pengine hata kabla sisi hatujazaliwa,ukimgusa kagame unaigusa tz kwa sasa,ukimgusa kagame unaigusa Uganda,ukimgusa kagame unaigusa Congo,unaigusa Au unaigusa UN?! ndio kwa mujibu wa mwandishi maswali unayotaka kujibiwa hata UN na marekani na CIA na nai sijui wamegoma kujibu na majibu wanayo sasa we we ni nani mkuu kuingilia maswala ya watu?!

chuki yako moyoni itakudhoofisha tu itakusaidia nini ? niambie muungano wa zenji na tz ushavunjika? niambie vita vya3 vya dunia vishatokea?! ukishanijibu hapo nitakwambia kuwa unachoombea kitokee Rwanda hakitatokea Leo wala kesho miaka 100 na mingine 100.

wanyarwanda ni watu wenye akili sana,udogo wa nchi yao au udogo wawatutsi si tatizo tatizo ni akili yao ndio iliyoleta yote hayo kwamba wao wanauwezo wabiashara,akili,Mali,wanamwonekano na asili yao ni utata sasa kwanini usiwachukie watu kama hao waliumbwa kutawala,utawashindia wapi wamezagaa kila kona,wameoa Dada yako,kaka yako kaoa kwao,...... asilimia 90 ya watz wanawapenda wanyarwanda husemi kitu na wameshajamiina nao kiasi ukimgusa myarwanda umemgusa mtz,asilimia 10 ndio ninyi mlionahasira zisizo na sababu za msingi.......yes mwandish anakwambia Watusi wameanza kuuwawa tangia miaka ya 1950 na still hawakuisha mpaka kimbali?! tumia akili? yes tuseme kimbari waliuwawa wote so ilikua sidetoside so what mzee? inaitwa Rwanda genocide sio Tutsi,Tutsi wanaongelewa zaid ya udogo wao,utofaut wao ndio unakufanya ww uwachukie coz what u can't handle lzima ukichukie

nimekutana na wanyarwanda kadhaa tz wnapenda nchi yao na wnampenda raid wao,I have been there adabu namisingi iliyowekwa Rwanda hata kagame akitoka madarakan haiwez chafuliwa na hata unachoomba wahutu kuchukua madaraka ikitokea watutsi hawawez kuisha,bado watatawala! coz wameumbwa hivyo! soma historian yako vizuri mkuu
 
Mkuu mr qns kwanza fahamu sina chuki na watutsi ila nina chuki na propaganda wanazofanya!!! Hata akizifanya mtanzania kama the bold bado nitampinga even though sio mtutsi hilo moja

Pili nachouliza ni kma msomaji wa thread hii maana kma mtu kaandika makala ya kitafiti namna hii sioni dhambi kuhoji ili kupata majibu hata kma wwe unaona haina faida ila haya mambo yana impact sana

Mfano jana nikiwa home nimekuta watu wanajadili uzi huu wa the bold na wanahadithiana kuanzia part 1 hadi 13 so kama unaona haina faida maswali haya kujibiwa jua kwamba historia ikipotoshwa ina madhara sana.... Mfano watutsi waliaminishwa wametokea israel na kwamba ndio waliopangiwa na Mungu kutawala si unaona effects zake?? Wakaanza kuwatesa wahutu... So hizi propaganda zina effect mkuu usichukulie

Anyway kwa maneno mafupi tu napenda ukweli utamalaki ndio maana natoka mapovu humu sababu kuna watu wanapotosha mengi huwezi kusema kagame hakuua wala interhamwe iliua watutsi laki 7 eti na hutu moderates ni uzushi mkubwa sana ndio maana tunauliza ili tupate majibu sasa kma wwe unaona nakosea its well and good haya ni lazima yatokee pale unapokosoa mtu anayependwa na wengi hata Tz ukimkosoa nyerere unaonekana msaliti
 
watutsi si tatizo tatizo ni akili yao ndio iliyoleta yote hayo kwamba wao wanauwezo wabiashara,akili,Mali,wanamwonekano na asili yao ni utata sasa kwanini usiwachukie watu kama hao waliumbwa kutawala,utawashindia wapi wamezagaa kila kona,wameoa Dada yako,kaka yako kaoa kwao,...... asilimia 90 ya watz wanawapenda wanyarwanda husemi kitu na wameshajamiina nao kiasi ukimgusa myarwanda umemgusa mtz,asilimia 10 ndio ninyi mlionahasira zisizo na sababu za msingi.......yes mwandish anakwambia Watusi wameanza kuuwawa tangia miaka ya 1950 na still hawakuisha mpaka kimbali?! tumia akili? yes tuseme kimbari waliuwawa wote so ilikua sidetoside so what mzee? inaitwa Rwanda genocide sio Tutsi,Tutsi wanaongelewa zaid ya udogo wao,utofaut wao ndio unakufanya ww uwachukie coz what u can't handle lzima ukichukie

nimekutana na wanyarwanda kadhaa tz wnapenda nchi yao na wnampenda raid wao,I have been there adabu namisingi iliyowekwa Rwanda hata kagame akitoka madarakan haiwez chafuliwa na hata unachoomba wahutu kuchukua madaraka ikitokea watutsi hawawez kuisha,bado watatawala! coz wameumbwa hivyo! soma historian yako vizuri mkuu
Wewe nimeona ni mtutsi kwa such comment eti watutsi wameumbwa kutawala!! Imeandikwa wapi hiyo?? Hivi kabla ya 14th century mlikuwa hamjafika Rwanda ila wahutu ambao ni wabantu walishakuwepo hapo miaka nyie wafugaji mlihamia tu so kma ni history wahutu ndio wanapaswa kutawala sio nyie wahamiaji

Kingine unasema genocide haiwezi kutokea hata miaka 100 ipite kumbuka ilifanyika 1959 baadae 1980s mlipoanza cockroach movement na baadae 1994 na nyingine mliua wahutu 1997-2003 huko congo meaning kila baada ya miaka flani chuki huibuka upya na leo nakwambai na thread hii ibookmark siku kagame anatoka madarakani alafu uchaguzi ukaitishwa genocide inarudi....

Time will tell
 
Wewe nimeona ni mtutsi kwa such comment eti watutsi wameumbwa kutawala!! Imeandikwa wapi hiyo?? Hivi kabla ya 14th century mlikuwa hamjafika Rwanda ila wahutu ambao ni wabantu walishakuwepo hapo miaka nyie wafugaji mlihamia tu so kma ni history wahutu ndio wanapaswa kutawala sio nyie wahamiaji

Kingine unasema genocide haiwezi kutokea hata miaka 100 ipite kumbuka ilifanyika 1959 baadae 1980s mlipoanza cockroach movement na baadae 1994 na nyingine mliua wahutu 1997-2003 huko congo meaning kila baada ya miaka flani chuki huibuka upya na leo nakwambai na thread hii ibookmark siku kagame anatoka madarakani alafu uchaguzi ukaitishwa genocide inarudi....

Time will tell
kina nani mkuu? Mimi ni mtanzania ndio,uache muda uamue wewe ni nani muhutu? sawa we muhutu basi hamia Rwanda tuache sisi na tz yetu.Mimi katika mada hii siwez bishana na mrwanda mana anahaki100 ya kuongelea nchi yake bila kujali ni muhutu au mtusi

mpaka hapo unakosa sifa ya kuwa msomi mkuu unatake sides,unataka wewe ndiye upewe sympathy ya wanyarwanda wakati umejificha tz?! unaijua vita?! umevaa viatu vya wanyarwanda ukajua nini kilitokea? kama hukuwepo kaa chini wote tutulize makalio yetu tusikilize kisa hiki na kama una hoja ijenge sio kwa ubishi

be humble mkuu,maisha hayana formula,unalilia vita wakati hujazika baba na mama Rwanda?! unaijua damu mkuu?! tuna watz wanaishi Rwanda pale wameoa na kuolewa,wanasoma,kuna wanyarwanda tz pia.nani alikwambia Fulani ni mbantu na flank sio una uhakika gani wewe ni mbantu mkuu zaidi ya hizi nadharia?!

Leo watz wanaitwa uhamiaj kujua uraia wao,kesho ww ukiitwa useme ubantu wako utatuambia nn na wakat umekaririshwa tu? be humble mkuu usicheze na nafsi za watu,

MTU yeyote anayeiongoza serikali ana akili kuliko wewe ndiomana yupo pale,they paid the cost to be there.soma history yako mkuu but mwisho wasiku elewa imeandikwa na watu wenye manufaa yao,so who are you ujitie mjuaji kama wakubwa tu hawaongei,ongeza uelewa sio chuki !

Tz tunamakabila kibao huku watu wanachinjana ujaifanya huon hayo kujadili,tuna matatizo yetu kibao ndiomana unamuona huyu binti anakudharau sababu anakwambia ukweli,kwanini tusijadili matatizo yetu hizi historia zaotuwaachi wenyewe mkuu,usikaririshwe mkuu.

hata Leo ukipewa madaraka wewe huwezi Fanya unachofikiria mkuu sababu uongozi hauendeshwi kwa hamaki utafeli ,ndiomana mastermind wa intelejensia wanaongoza nchi na majeshi.kaachini mkuu
 
Mkuu mr qns kwanza fahamu sina chuki na watutsi ila nina chuki na propaganda wanazofanya!!! Hata akizifanya mtanzania kama the bold bado nitampinga even though sio mtutsi hilo moja

Pili nachouliza ni kma msomaji wa thread hii maana kma mtu kaandika makala ya kitafiti namna hii sioni dhambi kuhoji ili kupata majibu hata kma wwe unaona haina faida ila haya mambo yana impact sana

Mfano jana nikiwa home nimekuta watu wanajadili uzi huu wa the bold na wanahadithiana kuanzia part 1 hadi 13 so kama unaona haina faida maswali haya kujibiwa jua kwamba historia ikipotoshwa ina madhara sana.... Mfano watutsi waliaminishwa wametokea israel na kwamba ndio waliopangiwa na Mungu kutawala si unaona effects zake?? Wakaanza kuwatesa wahutu... So hizi propaganda zina effect mkuu usichukulie

Anyway kwa maneno mafupi tu napenda ukweli utamalaki ndio maana natoka mapovu humu sababu kuna watu wanapotosha mengi huwezi kusema kagame hakuua wala interhamwe iliua watutsi laki 7 eti na hutu moderates ni uzushi mkubwa sana ndio maana tunauliza ili tupate majibu sasa kma wwe unaona nakosea its well and good haya ni lazima yatokee pale unapokosoa mtu anayependwa na wengi hata Tz ukimkosoa nyerere unaonekana msaliti
u may be right 100

nimekuuliza swali simple

ukishaupata ukweli utaufanyia nini?

unadhan walojuu hawaujui ukweli?!

sasa wewe mtu wakawaida utaleta impact gani ?


ukisoma vizuri hii saga the whole saga mpaka nchi inakua chini ya kagame mataifa ya nje yananuka damu ndiomana kamwe hawawezi kugusia hili suala au huoni mkuu na hao ndio wanaoongoza kila kitu hizo ICC nakadhalika hivi kesi ya baba na mama mtoto utaingilia wewe?

unaambiwa nadharia tu ya ndege kutunguliwa wanahusishwa pande zote mbili za kikabila sababu hawakumtaka yule kiongoz na zaid ya hapo mataifa ya nje sasa bado tu huoni kesi ya namna hiyo utashtaki wapi mbinguni?, jiongeze mkuu
 
Wewe nimeona ni mtutsi kwa such comment eti watutsi wameumbwa kutawala!! Imeandikwa wapi hiyo?? Hivi kabla ya 14th century mlikuwa hamjafika Rwanda ila wahutu ambao ni wabantu walishakuwepo hapo miaka nyie wafugaji mlihamia tu so kma ni history wahutu ndio wanapaswa kutawala sio nyie wahamiaji

Kingine unasema genocide haiwezi kutokea hata miaka 100 ipite kumbuka ilifanyika 1959 baadae 1980s mlipoanza cockroach movement na baadae 1994 na nyingine mliua wahutu 1997-2003 huko congo meaning kila baada ya miaka flani chuki huibuka upya na leo nakwambai na thread hii ibookmark siku kagame anatoka madarakani alafu uchaguzi ukaitishwa genocide inarudi....

Time will tell

Wazungu walikuwa upande wenu wa Hutu ndio maana wakawapa go ahead ya kufanya genocide mbona hawajatetea hoja yenu kuwa nyie ndo mliouwawa zaidi kwenye genocide. Just for the record France ili play a big role kwenye genocide mpaka imepelekea hadi hivi leo Rwanda kupunguza mahusiano yake ya kibiashara nayo.
 
Wazungu walikuwa upande wenu wa Hutu ndio maana wakawapa go ahead ya kufanya genocide mbona hawajatetea hoja yenu kuwa nyie ndo mliouwawa zaidi kwenye genocide. Just for the record France ili play a big role kwenye genocide mpaka imepelekea hadi hivi leo Rwanda kupunguza mahusiano yake ya kibiashara nayo.
mwambie mkuu na jamaa Nina walakini kama ni mtz huyu atakua mhutu tu was kigoma huko mana anahasira sio kawaida.sisi watz huku tunawajua warwanda tu hakuna mhutu wala mtusi tz hatutaki hizo propaganda za ukabila usiotuhusu
 
Si ndio ameshaitwa mahakamani toka 2007 ila hajawahi kanyaga kuhojiwa..... Arrest warrant zilishatoka kitambo ila kagame anakomaa tu kma Al bashir but ushahidi upo na kesi ipo kama hana makosa kagame aende tu akashtakiwe kma uhuru kenyatta ukweli utajulikana ssa anakimbia nini??? Mbona kina ruto walienda??
Onyesha warrant hiyo unayosema!! Hacha maneno ya kahawa
 
Acha propaganda wazungu waliondoka sababu askari wao waliuawa na interehamwe so wakaona kwanini hasara ilihali vita haiwahusu!!! So irrespective kauawa nani au nani wao wangeondoka tu maana walipewa amri

Otherwise msimamo wangu bado ni ule ule kagame ni dikteta na ana siasa chafu.... Kma hapendi democracy aifute sio anasema kuna uchaguzi huku hataki competition niliona mdahalo wake na wagombea wenzake yaani wanamsifia badala ya kupambana naye nkajua mapandikizi tu

Aweke usawa..... Aombe msamaha wahutu... Ajisalimishe mahakamani..... Aachie wafungwa wa kisiasa.... Aeleze ukweli wa genocide.... Aeleze aliemuua rwigyema... Hapo ndio watu wata move on sio sasa ambapo wana maswali ma uchungu kibao
Ukajua mapandikizi utabaki hivyo hivyo!! Sisi Ndo tunapenda! Udictetor wake!! Nchi yetu sio yenu!!
Niko nabishana na mtu asiye na moyo wa huruma!! Unaweza kuona watu wanaua mbele yako ukashindwa kuwalinda unaowaona mbele yako???
 
mkuu! mkuu zitojr nakuita tena kama ndugu yangu mtanzania mwenzangu! kwa maelezo yako niliyofuatilia wewe ni msomi na unaexposure ya sehemu mbalimbali east Africa....... sasa mkuu naomba tafadhali tujenge hoja hapa bila matusi,jazba wala hasira....itakua kisomi zaidi

nimeona hoja yako kuu inayokufanya ubishane sana,nikasema pengine upo sahihi lakini nikajiuliza maswali haya:

kwanza umesoma ushuhuda huu wa the bold mpaka hapa alipoishia sehemu ya 13?
pili ukijibiwa unachotaka utaridhika? na ukiridhika utafanya nini? na usiporidhika utafanya nini?

tafadhali naomba unijibu maswali yangu mkuu,sina nia ya ugomvi bali kuwekana sawa

kwa maelezo ya mwandishi hapo juu ni lazima ufahamu kwanza kagame ni kama mtoto wa tz amefunzwa hapa na anamchango mkubwa mno,yupo hapa pengine hata kabla sisi hatujazaliwa,ukimgusa kagame unaigusa tz kwa sasa,ukimgusa kagame unaigusa Uganda,ukimgusa kagame unaigusa Congo,unaigusa Au unaigusa UN?! ndio kwa mujibu wa mwandishi maswali unayotaka kujibiwa hata UN na marekani na CIA na nai sijui wamegoma kujibu na majibu wanayo sasa we we ni nani mkuu kuingilia maswala ya watu?!

chuki yako moyoni itakudhoofisha tu itakusaidia nini ? niambie muungano wa zenji na tz ushavunjika? niambie vita vya3 vya dunia vishatokea?! ukishanijibu hapo nitakwambia kuwa unachoombea kitokee Rwanda hakitatokea Leo wala kesho miaka 100 na mingine 100.

wanyarwanda ni watu wenye akili sana,udogo wa nchi yao au udogo wawatutsi si tatizo tatizo ni akili yao ndio iliyoleta yote hayo kwamba wao wanauwezo wabiashara,akili,Mali,wanamwonekano na asili yao ni utata sasa kwanini usiwachukie watu kama hao waliumbwa kutawala,utawashindia wapi wamezagaa kila kona,wameoa Dada yako,kaka yako kaoa kwao,...... asilimia 90 ya watz wanawapenda wanyarwanda husemi kitu na wameshajamiina nao kiasi ukimgusa myarwanda umemgusa mtz,asilimia 10 ndio ninyi mlionahasira zisizo na sababu za msingi.......yes mwandish anakwambia Watusi wameanza kuuwawa tangia miaka ya 1950 na still hawakuisha mpaka kimbali?! tumia akili? yes tuseme kimbari waliuwawa wote so ilikua sidetoside so what mzee? inaitwa Rwanda genocide sio Tutsi,Tutsi wanaongelewa zaid ya udogo wao,utofaut wao ndio unakufanya ww uwachukie coz what u can't handle lzima ukichukie

nimekutana na wanyarwanda kadhaa tz wnapenda nchi yao na wnampenda raid wao,I have been there adabu namisingi iliyowekwa Rwanda hata kagame akitoka madarakan haiwez chafuliwa na hata unachoomba wahutu kuchukua madaraka ikitokea watutsi hawawez kuisha,bado watatawala! coz wameumbwa hivyo! soma historian yako vizuri mkuu
Kweli jamaa Ana chuki saana!! Maana Hata tukitumia facts jamaa hakubali!! Wapinzani wanafungwa wakishakuja na mambo ya kuleta kugawanya wanyarwanda!!
 
Mkuu mr qns kwanza fahamu sina chuki na watutsi ila nina chuki na propaganda wanazofanya!!! Hata akizifanya mtanzania kama the bold bado nitampinga even though sio mtutsi hilo moja

Pili nachouliza ni kma msomaji wa thread hii maana kma mtu kaandika makala ya kitafiti namna hii sioni dhambi kuhoji ili kupata majibu hata kma wwe unaona haina faida ila haya mambo yana impact sana

Mfano jana nikiwa home nimekuta watu wanajadili uzi huu wa the bold na wanahadithiana kuanzia part 1 hadi 13 so kama unaona haina faida maswali haya kujibiwa jua kwamba historia ikipotoshwa ina madhara sana.... Mfano watutsi waliaminishwa wametokea israel na kwamba ndio waliopangiwa na Mungu kutawala si unaona effects zake?? Wakaanza kuwatesa wahutu... So hizi propaganda zina effect mkuu usichukulie

Anyway kwa maneno mafupi tu napenda ukweli utamalaki ndio maana natoka mapovu humu sababu kuna watu wanapotosha mengi huwezi kusema kagame hakuua wala interhamwe iliua watutsi laki 7 eti na hutu moderates ni uzushi mkubwa sana ndio maana tunauliza ili tupate majibu sasa kma wwe unaona nakosea its well and good haya ni lazima yatokee pale unapokosoa mtu anayependwa na wengi hata Tz ukimkosoa nyerere unaonekana msaliti
Brother hizo issue za Israel niwewe unazipaisha sisi hatuna mambo hiyo!! Hata tunavyoishi Huku rwanda mambo ya hutu na tutsi hakuna!! Tunasoma wote!! Hayo mambo ya propaganda!! Unazoongelea hatuna!! Kiukweli jamaa una chuki binafsi!! Udictetor!! Mnaujua nyie mnaosoma Habari za opposition!!

Basi tuongelee economy ya rwanda!! Inapanda Au inashuka!!
 
Habibu B. Anga kuna makosa kidogo ya uandishi kwenye story yako..Sio Kanal Theoneste Bagorosa ni Bagosora.And sio Gitamara ni Gitarama tafadhali badilisha hayo majina .Personally hakuna kitu ninacho kichukia kama majina ya watu na mahali kukosewa inafanya nione story yote imekosewa au alieandika ametafsiri bila kijua alicho aandika
 
Back
Top Bottom