azerbaijan
New Member
- Jul 4, 2015
- 4
- 1
Kati ya miji tajika katika pwani, Malindi ni moja wapo wa miji yenye historia kubwa baada ya miji kama Zanzibar na Mombasa. Inakisiwa kuuanzishwa karne ya kumi na tatu, ikiwa katika dola ya waarabu.
Malindi kenya imepitia mikono wa wabambe kadhaa tangu enzi hizo. Hii ni ikiwemo waarabu wa Zanzibar (wenye asili ya Oman), Wareno (Portuguese) na Waingereza (British). Historia yao imebadilisha muonekano wa kila mji katika Africa Mashiriki na kuweko kwa mji huu ndio kumechangia kujengeka kwa miji miingine yote. History of Malindi
Malindi kenya imepitia mikono wa wabambe kadhaa tangu enzi hizo. Hii ni ikiwemo waarabu wa Zanzibar (wenye asili ya Oman), Wareno (Portuguese) na Waingereza (British). Historia yao imebadilisha muonekano wa kila mji katika Africa Mashiriki na kuweko kwa mji huu ndio kumechangia kujengeka kwa miji miingine yote. History of Malindi