Historia ya mkoa wa Tanga

MJI WA TANGA NA MITAA YAKE 21 ILIYOPANGILIKA VYEMA, KARIBU TUIPITIE MITAA HIYO


Fahamu mitaa 21 ya mji wa Tanga ambayo utawala wa kikoloni uliusanifu kwa mpangilio mzuri wa kipekee Afrika Mashariki. Mjini wa Tanga upo kiasi cha kilometa 300 toka jiji kuu la kibiashara la Dar es Salaam. Mkoa wa Tanga unapakana na mikoa ya Manyara na Kilimanjaro upande wa Magharibi huku kusini inapakana na mikoa ya Morogoro na Pwani huku Mashariki inapakana na bahari ya Hindi

Source : Malango Travels
 
Naona gazeti la mwananchi limesifia leo jiji la tanga kwa kuwa na fire hydrants (visima) 230 hai kati ya 335 vilivyopo ukilinganisha na visima 3 tu vilivyopo kariakoo
 
Naona gazeti la mwananchi limesifia leo jiji la tanga kwa kuwa na fire hydrants (visima) 230 hai kati ya 335 vilivyopo ukilinganisha na visima 3 tu vilivyopo kariakooView attachment 1851255

2 Dec 2017
Tanga, Tanzania

Zoezi la kufufua visima vya dharura (fire hydrant) jijini Tanga, ili kuweza kutoa huduma karibu zaidi


Source : Mwananchi digital
 
bagamoyo,

..kumbe Hamza Mwapachu alikuwa amemuoa Juliana Volter.

..kipande hiki nilichokipata ktk bandiko lako kimejibu maswali mengi niliyokuwa nayo.
 
December 2021

TANGA

Is This The Best Port City In Africa ? Tanga City Tanzania !🇹🇿​



Source : Inspire for travel
 
27 December 2021
Pangani, Tanga
Tanzania

There Is So Much History In This Small Town ! Pangani Town Tanzania🇹🇿 Part : 2


History of an Ancient Swahili Town called Pangani. Pangani is a historic Swahili town located on the south eastern shore of Tanga Region, Tanzania.

The town lies 45 km south of the city of Tanga, at the mouth of the Pangani River In 1888, Pangani was the center of an armed movement to resist German colonial conquest of the entire mainland Tanzanian coast.

The local leader of the resistance was Abushiri ibn Salim al-Harthi, a Swahili-speaker born in Zanzibar who owned a small estate at the suburb that now bears his name.

Source : Inspire For Travel
 
30 December 2021
Pangani, Tanga
Tanzania

Is This The Most Ancient Swahili Town In Tanzania ? PART 2


In today's episode we explore and learn more about the ancient swahili town of Pangani
  • Contents In This Video
  • 00:00 - Introduction
  • 03:04 - Historical House In Pangani
  • 11:29 - German District Commission House
  • 12:14 - Pangani District Hospital And Prison
  • 18:22 - Pangani Coconut Camp
  • 22:21 - Walking The Real Streets Of Pangani
  • 31:09 - Conclusion
Source : Inspire For Travel
 
2 January 2022
Tanga, Tanzania

Is This The Most Charming Port City In Africa ? Tanga city Tanzania TZ


In Today's Episode We Explore More Of The Charming Coastal City Of Tanga. Tanga is both the name of the most northerly port city of Tanzania on the west of the Indian Ocean, and the capital of Tanga Region. The name Tanga means Sail or Farmland. The city of Tanga sits on the Indian Ocean, and is the capital of Tanga Region. The city is also the capital of Tanga District. Tanga is also the bicycle riding capital Tanzania. Its the only city in the country that offers bicycle taxi service.

Contents Of This Video:

00:00 - Introduction
01:38 - Tour Begins at The Amana Bank Tanga City
09:00 - Hotels In Tanga City
12:08 - Indian Street Tanga City
18:37 - Arab Street Tanga City
21:54 - Port Of Tanga
25:58 - Nyumbani Hotel And Resort Tanga City
27:19- Exploring Independence Avenue
28:54 - Tanga Head Post Office
30:31 - Uzunguni Market Tour Tanga City 38:01 - Conclusion

Source : Inspire for Travel
 
Ukisema Tanga mimi nakumbuka tu totoz za kitanga ,acha bwana wee, zinaweza kila kitu si kwa kupika tu bali mahaba ni nambari wani,,mijibara mingi imelowea na itazidi kulowea Tanga.
 
Gazeti la Kiongozi lilianzishwa kwa mara ya kwanza German East Africa ( Tanganyika) mwaka 1904


The first secular Swahili newspaper was Kiongozi ( “The Leader”) launched in 1904 at the Government School in Tanga, Deutsch-Ostafrika’s first state and first secular school.

Tanga School had been established in 1892 by Governor Julius Freiherr von Soden, and aimed to produce Swahili-speaking African bureaucrats to facilitate colonial administration and commercial trade in the territory (Askew, 2002: 43f).

Kiongozi was to support this by being a source of information for Africans and to promote government agendas. It was subsidized by the government and after acquiring a high-speed press in 1905, issues were released monthly, reaching a print run of 3000 copies and becoming the most influential newspaper of the period (Lemke, 1929; Sturmer, 1998; Geider, 2002

READ MORE : Chapter 9. Tanzanian Newspaper Poetry: Political Commentary in Verse
 
30 January 2022
Lushoto, Tanga
Tanzania

The Tanzania They Dont Want You To See l Lushoto Tanga Region


Lushoto is a town in the Usambara Mountains of Tanzania. It is the capital of Lushoto District, Tanga Region. The waterfall featured in this episode is the Kisasa waterfall located in Lushoto. Contents Of This Video

  • 00:00 - Introduction
  • 01:00 - Lushoto Information
  • 02:34 - Exploring The Real Streets Of Lushoto
  • 05:51 - Lushoto Indigenous People 09:22 - German History In Lushoto 10:56 - St.Patrick Church In Lushoto 17:41 - Lion King Of Kilindi Kingdom
  • 18:11 - Motorbike Ride To Kisasa Waterfall
  • 18:46 - Local Farms Before The Waterfall
  • 27:37 - Arriving At Kisasa Waterfall Lushoto
  • 38:48 - Conclusion

Source : Inspire for travel
 
MWAKA 2022 MJI WA TANGA, TANZANIA MUONEKANO NA MANDHARI YAKE


Source : FIIKAZO TRAVELLER
 
My home town [emoji176][emoji176][emoji176]
 
Komeo...
Soma hayo hapo chini:

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Tanganyika Territory Civil Servants Association (TTACA) iliyoundwa mwaka 1922 na Martin Kayamba na African Association kilichoundw mwaka wa 1929.

TTACA kilikuwa chama halisi cha ustawi wa jamii ambacho hakikuwa na taathira yoyote dhidi ya ukoloni kwani kilijiweka mbali sana siasa.

TTACA ilikuwa ''club'' ya makarani na waalimu Waafrika.

Historia ya Martin Kayamba mwenyewe muasisi wa chama hicho ukiisoma inasikitisha sana.

Ilikuwa na magazeti na timu ya kandanda, ikisaidiwa na kuungwa mkono na serikalií.

Chama hiki na vingine vya namna hii vilivyoundwa na kuongozwa na wasomi havikufanikiwa chochote katika kupambana na ukoloni.
 
Wazigua wapo Handeni na Kilindi. Sio wengi kama Wasambara (waite Wasambaa). Wasambaa wapo Lushoto, Korogwe na Muheza lkn pia ndio walio wengi Tanga mjini, wakichukua nafasi ya wenyeji Wadigo.
Hapana kajipange upya maana wazigua pia wako Handeni, Kilindi, Pangani, Korogwe na baadhi ya maeneo ya Muheza.
 
TANGA OLD SCHOOLS 2023 WILL SHOCK YOU

Galanos Secondary school , Popatlal, Bombo primary school etc

Source: malango traveles
 
Hizo bandari sijui kama zitaendelezwa tena baada ya hayati
 
Tanga raha.. 🙏🏾
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…