Historia ya mkoa wa Tanga

Historia ya mkoa wa Tanga

MJI WA TANGA NA MITAA YAKE 21 ILIYOPANGILIKA VYEMA, KARIBU TUIPITIE MITAA HIYO



Fahamu mitaa 21 ya mji wa Tanga ambayo utawala wa kikoloni uliusanifu kwa mpangilio mzuri wa kipekee Afrika Mashariki. Mjini wa Tanga upo kiasi cha kilometa 300 toka jiji kuu la kibiashara la Dar es Salaam. Mkoa wa Tanga unapakana na mikoa ya Manyara na Kilimanjaro upande wa Magharibi huku kusini inapakana na mikoa ya Morogoro na Pwani huku Mashariki inapakana na bahari ya Hindi

Source : Malango Travels
 
Naona gazeti la mwananchi limesifia leo jiji la tanga kwa kuwa na fire hydrants (visima) 230 hai kati ya 335 vilivyopo ukilinganisha na visima 3 tu vilivyopo kariakoo
Screenshot_20210713-072504.jpg
 
Naona gazeti la mwananchi limesifia leo jiji la tanga kwa kuwa na fire hydrants (visima) 230 hai kati ya 335 vilivyopo ukilinganisha na visima 3 tu vilivyopo kariakooView attachment 1851255

2 Dec 2017
Tanga, Tanzania

Zoezi la kufufua visima vya dharura (fire hydrant) jijini Tanga, ili kuweza kutoa huduma karibu zaidi



Source : Mwananchi digital
 
bagamoyo,

..kumbe Hamza Mwapachu alikuwa amemuoa Juliana Volter.

..kipande hiki nilichokipata ktk bandiko lako kimejibu maswali mengi niliyokuwa nayo.
 
December 2021

TANGA

Is This The Best Port City In Africa ? Tanga City Tanzania !🇹🇿​




Source : Inspire for travel
 
27 December 2021
Pangani, Tanga
Tanzania

There Is So Much History In This Small Town ! Pangani Town Tanzania🇹🇿 Part : 2



History of an Ancient Swahili Town called Pangani. Pangani is a historic Swahili town located on the south eastern shore of Tanga Region, Tanzania.

The town lies 45 km south of the city of Tanga, at the mouth of the Pangani River In 1888, Pangani was the center of an armed movement to resist German colonial conquest of the entire mainland Tanzanian coast.

The local leader of the resistance was Abushiri ibn Salim al-Harthi, a Swahili-speaker born in Zanzibar who owned a small estate at the suburb that now bears his name.

Source : Inspire For Travel
 
30 December 2021
Pangani, Tanga
Tanzania

Is This The Most Ancient Swahili Town In Tanzania ? PART 2



In today's episode we explore and learn more about the ancient swahili town of Pangani
  • Contents In This Video
  • 00:00 - Introduction
  • 03:04 - Historical House In Pangani
  • 11:29 - German District Commission House
  • 12:14 - Pangani District Hospital And Prison
  • 18:22 - Pangani Coconut Camp
  • 22:21 - Walking The Real Streets Of Pangani
  • 31:09 - Conclusion
Source : Inspire For Travel
 
2 January 2022
Tanga, Tanzania

Is This The Most Charming Port City In Africa ? Tanga city Tanzania TZ



In Today's Episode We Explore More Of The Charming Coastal City Of Tanga. Tanga is both the name of the most northerly port city of Tanzania on the west of the Indian Ocean, and the capital of Tanga Region. The name Tanga means Sail or Farmland. The city of Tanga sits on the Indian Ocean, and is the capital of Tanga Region. The city is also the capital of Tanga District. Tanga is also the bicycle riding capital Tanzania. Its the only city in the country that offers bicycle taxi service.

Contents Of This Video:

00:00 - Introduction
01:38 - Tour Begins at The Amana Bank Tanga City
09:00 - Hotels In Tanga City
12:08 - Indian Street Tanga City
18:37 - Arab Street Tanga City
21:54 - Port Of Tanga
25:58 - Nyumbani Hotel And Resort Tanga City
27:19- Exploring Independence Avenue
28:54 - Tanga Head Post Office
30:31 - Uzunguni Market Tour Tanga City 38:01 - Conclusion

Source : Inspire for Travel
 
Mkoa wa Tanga una eneo la 27,348 km² na uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki na mikoa ya Morogoro, Manyara na Kilimanjaro. Mpaka upande wa kusini unafuata mto wa Mligaji. Mkoa wa Tanga unaunganisha sehemu za pwani pamoja na milima ya ndani kama Usambara.

Kuna wilaya 10 ambazo ni Handeni Vijijini, Handeni Mjini, Kilindi, Korogwe Vijijini, Korogwe Mjini, Lushoto, Mkinga, Muheza, Pangani na Tanga Mjini. Eneo linalofaa kwa kilimo ni 17,000 km². Tanga ni kati ya mikoa midogo ya Tanzania ikiwa na msongamano mkubwa wa wakazi ndani ya eneo lake.

Jina hili la mji wa Tanga lilitokana neno la Kiajemi lenye maana nne tofauti ambazo ni: Iliyo nyooka; Bonde lenye rutuba; Barabara upande wa mto na Shamba juu ya mlima, neno hilohilo la Tanga kwa kabila la Kibondei ambalo ni wenyeji wa mkoa huo linamaana ya shamba, wao hulitamka N'tanga.

Tanga inasamekana imeanzishwa na wafanyabiashara Waajemi katika karne ya 14 BK. Mji wa Tanga haikupata umuhimu kama mji wa jirani ya Mombasa. Tarihi ya Pate inasema ya kwamba kabla ya kuja kwa Wareno Pate iliwahi kutawala Lindi kwa muda fulani. Katika karne ya 19 BK Tanga ilikuwa chini ya utawala wa Omani na Zanzibar. Misafara ya biashara imeanzishwa hapa kwenda bara.

Kutokana na bandari yake nzuri ya kiasili Tanga ilikua sana wakati wa ukoloni wa Wajerumani waliojenga bandari wa kisasa pamoja reli kwanda Moshi. Reli iliwezesha kilimo kwa ajili ya soko la dunia Tanga ikawa bandari kuu kwa jili ya katani na kahawa. Baada ya Uingereza kuchukua utawala wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani reli ya Tanga-Moshi iliunganishwa na ile ya kati hivyo ikawa na njia kwenda Daressalaam pia.

Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Tanga iliona mapigano makali tar. 3 - 5 Novemba 1914. Jaribio la Uingereza kuvamia Tanga kwa kikosi cha maaskari 8000 Waingereza na Wahindi kutoka meli kwenye Bahari Hindi ilishindwa vibaya na Jeshi la Ulinzi wa Kijerumani chini ya uongozi wa Paul von Lettow-Vorbeck.

Mwaka 1922 "Tanganyika Territory African Civil Services Association" (TAA) iliundwa Tanga ambayo ilikuwa shirika ya kwanza ya Kiafrika yenye shabaha za kisiasa.

Hali ya hewa
Kwa jumla hali ya hewa ni joto lenye unyevu. Handeni kuna joto ikiwa pakavu zaidi. Milima ya Usambara hapana joto sana. Miezi ya Desemba - Machi halijoto huko Tanga inafikia sentigredi 30-32 mchana na 26-29 usiku. Wakati wa Mei hadi Oktoba halijota inapoa ni sentigredi 23-28 mchana na 20-24 usiku. Unyevu iko juu kati ya asilimia 100 na asilimia 65.

Maeneo mengi ya mkoa hupokea angalau milimita 750 za mvua kwa mwaka au zaidi. Pwani ni zaidi takriban milimita 1,100 hadi 1,400 mm ikipungua sehemu za ndani isipokuwa milima ya Usambara ambako mvua inaweza kuzidi milimita 2000 kwa mwaka.

Makabila na wakazi
Makabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.

Wazigua ni kabila kubwa huko Handeni na sehemu za Korogwe na Pangani. Wabondei wako hasa Muheza na sehemu za Pangani. Wadigo ndio wengi Tanga penyewe na sehemu za Muheza.

Msongamano wa wakazi ni mkubwa hasa wilaya ya Lushoto penye ardhi yenye rutuba nzuri. Wiyala ya handeni kuna machimbo ya madini.ila kuhusu elimu ipo nyuma sana.kwani mpaka sasa hakuna shule ya sekondari inayotoa huduma ya kidato cha tano na sita.kama haitoshi shule za watu binafsi hakuna ata moja

Elimu
Katika mkoa huu elimu inahitajika zaidi kuboreshwa hasa naeneo ya vijijini maana watu wengi wa mkoa huu hufanya shughuli zao za kimila hali hiyo huwafanya kushindwa kuendelea elimu pamoja na shughuli za kimaendeleo katika ujenzi wa taifa la tanzania

Uchumi
Wakazi wengi hutegemea kilimo cha riziki pamoja na ufugaji na uvuvi. Mazao ya chakula hasa ni mahindi, muhogo, ndizi, maharagwe na mpunga. Mazao ya biashara ni katani, pamba, kahawa, chai, nazi, tumbaku na korosho. Mifugo ni ngombe, mbuzi na kondoo pamoja na kuku.

Katani ilikuwa zao la biashara hasa kwa ajili ya Tanga tangu kuingizwa kutoka Mexico zamani za Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Hulimwa kote mkoani isipokuwa Lushoto, hasa Muheza na Korogwe kwenye mashamba makubwa. Mashamba haya yalikuwa ya walowezi, yalitaifishwa baada ya uhuru. Tangu kuanguka kwa sekta ya umma yamebinafsishwa tena siku hizi. Zao la katani inategemea sana soko la dunia, umuhimu wake ilirudi nyuma tangu miaka ya 1960.

Tanga ilikuwa na viwanda vingi kiasi katika miaka ya 1960 na 1970 lakini karibu vyote vimekwama kutokana na siasa ya Ujamaa na uchumi wake ulioiga mfumo wa nchi za kisoshalisti. Viwanda vichache vilivyobaki havizalishi mali kulingana na uwezo wao. kilichobaki hasa ni kiwanda cha saruji Tanga.
Utalii umeanza kupanuka kidogo hasa katika eneo la Pangani,Mapango ya Amboni na kituo cha Makumbusho URITHI Tanga.

View attachment 1329161
Mkoa wa Tanga unapopatikana katika ramani Tanzania

View attachment 1329163
Ramani ya mkoa wa Tanga

View attachment 1329162
Picha ikionesha hali ya hewa mkoa wa Tanga

View attachment 1329165
Mapango ya Amboni ni moja ya vivutio vya kitalii vilivyopo mkoani Tanga
Ukisema Tanga mimi nakumbuka tu totoz za kitanga ,acha bwana wee, zinaweza kila kitu si kwa kupika tu bali mahaba ni nambari wani,,mijibara mingi imelowea na itazidi kulowea Tanga.
 
Gazeti la Kiongozi lilianzishwa kwa mara ya kwanza German East Africa ( Tanganyika) mwaka 1904


The first secular Swahili newspaper was Kiongozi ( “The Leader”) launched in 1904 at the Government School in Tanga, Deutsch-Ostafrika’s first state and first secular school.

Tanga School had been established in 1892 by Governor Julius Freiherr von Soden, and aimed to produce Swahili-speaking African bureaucrats to facilitate colonial administration and commercial trade in the territory (Askew, 2002: 43f).

Kiongozi was to support this by being a source of information for Africans and to promote government agendas. It was subsidized by the government and after acquiring a high-speed press in 1905, issues were released monthly, reaching a print run of 3000 copies and becoming the most influential newspaper of the period (Lemke, 1929; Sturmer, 1998; Geider, 2002

READ MORE : Chapter 9. Tanzanian Newspaper Poetry: Political Commentary in Verse
 
30 January 2022
Lushoto, Tanga
Tanzania

The Tanzania They Dont Want You To See l Lushoto Tanga Region



Lushoto is a town in the Usambara Mountains of Tanzania. It is the capital of Lushoto District, Tanga Region. The waterfall featured in this episode is the Kisasa waterfall located in Lushoto. Contents Of This Video

  • 00:00 - Introduction
  • 01:00 - Lushoto Information
  • 02:34 - Exploring The Real Streets Of Lushoto
  • 05:51 - Lushoto Indigenous People 09:22 - German History In Lushoto 10:56 - St.Patrick Church In Lushoto 17:41 - Lion King Of Kilindi Kingdom
  • 18:11 - Motorbike Ride To Kisasa Waterfall
  • 18:46 - Local Farms Before The Waterfall
  • 27:37 - Arriving At Kisasa Waterfall Lushoto
  • 38:48 - Conclusion

Source : Inspire for travel
 
MWAKA 2022 MJI WA TANGA, TANZANIA MUONEKANO NA MANDHARI YAKE



Source : FIIKAZO TRAVELLER
 
30 January 2022
Lushoto, Tanga
Tanzania

The Tanzania They Dont Want You To See l Lushoto Tanga Region



Lushoto is a town in the Usambara Mountains of Tanzania. It is the capital of Lushoto District, Tanga Region. The waterfall featured in this episode is the Kisasa waterfall located in Lushoto. Contents Of This Video

  • 00:00 - Introduction
  • 01:00 - Lushoto Information
  • 02:34 - Exploring The Real Streets Of Lushoto
  • 05:51 - Lushoto Indigenous People 09:22 - German History In Lushoto 10:56 - St.Patrick Church In Lushoto 17:41 - Lion King Of Kilindi Kingdom
  • 18:11 - Motorbike Ride To Kisasa Waterfall
  • 18:46 - Local Farms Before The Waterfall
  • 27:37 - Arriving At Kisasa Waterfall Lushoto
  • 38:48 - Conclusion

Source : Inspire for travel
My home town [emoji176][emoji176][emoji176]
 
Mkoa wa Tanga una eneo la 27,348 km² na uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki na mikoa ya Morogoro, Manyara na Kilimanjaro. Mpaka upande wa kusini unafuata mto wa Mligaji. Mkoa wa Tanga unaunganisha sehemu za pwani pamoja na milima ya ndani kama Usambara.

Kuna wilaya 10 ambazo ni Handeni Vijijini, Handeni Mjini, Kilindi, Korogwe Vijijini, Korogwe Mjini, Lushoto, Mkinga, Muheza, Pangani na Tanga Mjini. Eneo linalofaa kwa kilimo ni 17,000 km². Tanga ni kati ya mikoa midogo ya Tanzania ikiwa na msongamano mkubwa wa wakazi ndani ya eneo lake.

Jina hili la mji wa Tanga lilitokana neno la Kiajemi lenye maana nne tofauti ambazo ni: Iliyo nyooka; Bonde lenye rutuba; Barabara upande wa mto na Shamba juu ya mlima, neno hilohilo la Tanga kwa kabila la Kibondei ambalo ni wenyeji wa mkoa huo linamaana ya shamba, wao hulitamka N'tanga.

Tanga inasamekana imeanzishwa na wafanyabiashara Waajemi katika karne ya 14 BK. Mji wa Tanga haikupata umuhimu kama mji wa jirani ya Mombasa. Tarihi ya Pate inasema ya kwamba kabla ya kuja kwa Wareno Pate iliwahi kutawala Lindi kwa muda fulani. Katika karne ya 19 BK Tanga ilikuwa chini ya utawala wa Omani na Zanzibar. Misafara ya biashara imeanzishwa hapa kwenda bara.

Kutokana na bandari yake nzuri ya kiasili Tanga ilikua sana wakati wa ukoloni wa Wajerumani waliojenga bandari wa kisasa pamoja reli kwanda Moshi. Reli iliwezesha kilimo kwa ajili ya soko la dunia Tanga ikawa bandari kuu kwa jili ya katani na kahawa. Baada ya Uingereza kuchukua utawala wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani reli ya Tanga-Moshi iliunganishwa na ile ya kati hivyo ikawa na njia kwenda Daressalaam pia.

Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Tanga iliona mapigano makali tar. 3 - 5 Novemba 1914. Jaribio la Uingereza kuvamia Tanga kwa kikosi cha maaskari 8000 Waingereza na Wahindi kutoka meli kwenye Bahari Hindi ilishindwa vibaya na Jeshi la Ulinzi wa Kijerumani chini ya uongozi wa Paul von Lettow-Vorbeck.

Mwaka 1922 "Tanganyika Territory African Civil Services Association" (TAA) iliundwa Tanga ambayo ilikuwa shirika ya kwanza ya Kiafrika yenye shabaha za kisiasa.

Hali ya hewa
Kwa jumla hali ya hewa ni joto lenye unyevu. Handeni kuna joto ikiwa pakavu zaidi. Milima ya Usambara hapana joto sana. Miezi ya Desemba - Machi halijoto huko Tanga inafikia sentigredi 30-32 mchana na 26-29 usiku. Wakati wa Mei hadi Oktoba halijota inapoa ni sentigredi 23-28 mchana na 20-24 usiku. Unyevu iko juu kati ya asilimia 100 na asilimia 65.

Maeneo mengi ya mkoa hupokea angalau milimita 750 za mvua kwa mwaka au zaidi. Pwani ni zaidi takriban milimita 1,100 hadi 1,400 mm ikipungua sehemu za ndani isipokuwa milima ya Usambara ambako mvua inaweza kuzidi milimita 2000 kwa mwaka.

Makabila na wakazi
Makabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.

Wazigua ni kabila kubwa huko Handeni na sehemu za Korogwe na Pangani. Wabondei wako hasa Muheza na sehemu za Pangani. Wadigo ndio wengi Tanga penyewe na sehemu za Muheza.

Msongamano wa wakazi ni mkubwa hasa wilaya ya Lushoto penye ardhi yenye rutuba nzuri. Wiyala ya handeni kuna machimbo ya madini.ila kuhusu elimu ipo nyuma sana.kwani mpaka sasa hakuna shule ya sekondari inayotoa huduma ya kidato cha tano na sita.kama haitoshi shule za watu binafsi hakuna ata moja

Elimu
Katika mkoa huu elimu inahitajika zaidi kuboreshwa hasa naeneo ya vijijini maana watu wengi wa mkoa huu hufanya shughuli zao za kimila hali hiyo huwafanya kushindwa kuendelea elimu pamoja na shughuli za kimaendeleo katika ujenzi wa taifa la tanzania

Uchumi
Wakazi wengi hutegemea kilimo cha riziki pamoja na ufugaji na uvuvi. Mazao ya chakula hasa ni mahindi, muhogo, ndizi, maharagwe na mpunga. Mazao ya biashara ni katani, pamba, kahawa, chai, nazi, tumbaku na korosho. Mifugo ni ngombe, mbuzi na kondoo pamoja na kuku.

Katani ilikuwa zao la biashara hasa kwa ajili ya Tanga tangu kuingizwa kutoka Mexico zamani za Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Hulimwa kote mkoani isipokuwa Lushoto, hasa Muheza na Korogwe kwenye mashamba makubwa. Mashamba haya yalikuwa ya walowezi, yalitaifishwa baada ya uhuru. Tangu kuanguka kwa sekta ya umma yamebinafsishwa tena siku hizi. Zao la katani inategemea sana soko la dunia, umuhimu wake ilirudi nyuma tangu miaka ya 1960.

Tanga ilikuwa na viwanda vingi kiasi katika miaka ya 1960 na 1970 lakini karibu vyote vimekwama kutokana na siasa ya Ujamaa na uchumi wake ulioiga mfumo wa nchi za kisoshalisti. Viwanda vichache vilivyobaki havizalishi mali kulingana na uwezo wao. kilichobaki hasa ni kiwanda cha saruji Tanga.
Utalii umeanza kupanuka kidogo hasa katika eneo la Pangani,Mapango ya Amboni na kituo cha Makumbusho URITHI Tanga.

View attachment 1329161
Mkoa wa Tanga unapopatikana katika ramani Tanzania

View attachment 1329163
Ramani ya mkoa wa Tanga

View attachment 1329162
Picha ikionesha hali ya hewa mkoa wa Tanga

View attachment 1329165
Mapango ya Amboni ni moja ya vivutio vya kitalii vilivyopo mkoani Tanga
Komeo...
Soma hayo hapo chini:

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Tanganyika Territory Civil Servants Association (TTACA) iliyoundwa mwaka 1922 na Martin Kayamba na African Association kilichoundw mwaka wa 1929.

TTACA kilikuwa chama halisi cha ustawi wa jamii ambacho hakikuwa na taathira yoyote dhidi ya ukoloni kwani kilijiweka mbali sana siasa.

TTACA ilikuwa ''club'' ya makarani na waalimu Waafrika.

Historia ya Martin Kayamba mwenyewe muasisi wa chama hicho ukiisoma inasikitisha sana.

Ilikuwa na magazeti na timu ya kandanda, ikisaidiwa na kuungwa mkono na serikalií.

Chama hiki na vingine vya namna hii vilivyoundwa na kuongozwa na wasomi havikufanikiwa chochote katika kupambana na ukoloni.
 
Wazigua wapo Handeni na Kilindi. Sio wengi kama Wasambara (waite Wasambaa). Wasambaa wapo Lushoto, Korogwe na Muheza lkn pia ndio walio wengi Tanga mjini, wakichukua nafasi ya wenyeji Wadigo.
Hapana kajipange upya maana wazigua pia wako Handeni, Kilindi, Pangani, Korogwe na baadhi ya maeneo ya Muheza.
 
TANGA OLD SCHOOLS 2023 WILL SHOCK YOU


Galanos Secondary school , Popatlal, Bombo primary school etc

Source: malango traveles
 
Hizo bandari sijui kama zitaendelezwa tena baada ya hayati
 
Mkoa wa Tanga una eneo la 27,348 km² na uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki na mikoa ya Morogoro, Manyara na Kilimanjaro. Mpaka upande wa kusini unafuata mto wa Mligaji. Mkoa wa Tanga unaunganisha sehemu za pwani pamoja na milima ya ndani kama Usambara.

Kuna wilaya 10 ambazo ni Handeni Vijijini, Handeni Mjini, Kilindi, Korogwe Vijijini, Korogwe Mjini, Lushoto, Mkinga, Muheza, Pangani na Tanga Mjini. Eneo linalofaa kwa kilimo ni 17,000 km². Tanga ni kati ya mikoa midogo ya Tanzania ikiwa na msongamano mkubwa wa wakazi ndani ya eneo lake.

Jina hili la mji wa Tanga lilitokana neno la Kiajemi lenye maana nne tofauti ambazo ni: Iliyo nyooka; Bonde lenye rutuba; Barabara upande wa mto na Shamba juu ya mlima, neno hilohilo la Tanga kwa kabila la Kibondei ambalo ni wenyeji wa mkoa huo linamaana ya shamba, wao hulitamka N'tanga.

Tanga inasamekana imeanzishwa na wafanyabiashara Waajemi katika karne ya 14 BK. Mji wa Tanga haikupata umuhimu kama mji wa jirani ya Mombasa. Tarihi ya Pate inasema ya kwamba kabla ya kuja kwa Wareno Pate iliwahi kutawala Lindi kwa muda fulani. Katika karne ya 19 BK Tanga ilikuwa chini ya utawala wa Omani na Zanzibar. Misafara ya biashara imeanzishwa hapa kwenda bara.

Kutokana na bandari yake nzuri ya kiasili Tanga ilikua sana wakati wa ukoloni wa Wajerumani waliojenga bandari wa kisasa pamoja reli kwanda Moshi. Reli iliwezesha kilimo kwa ajili ya soko la dunia Tanga ikawa bandari kuu kwa jili ya katani na kahawa. Baada ya Uingereza kuchukua utawala wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani reli ya Tanga-Moshi iliunganishwa na ile ya kati hivyo ikawa na njia kwenda Daressalaam pia.

Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Tanga iliona mapigano makali tar. 3 - 5 Novemba 1914. Jaribio la Uingereza kuvamia Tanga kwa kikosi cha maaskari 8000 Waingereza na Wahindi kutoka meli kwenye Bahari Hindi ilishindwa vibaya na Jeshi la Ulinzi wa Kijerumani chini ya uongozi wa Paul von Lettow-Vorbeck.

Mwaka 1922 "Tanganyika Territory African Civil Services Association" (TAA) iliundwa Tanga ambayo ilikuwa shirika ya kwanza ya Kiafrika yenye shabaha za kisiasa.

Hali ya hewa
Kwa jumla hali ya hewa ni joto lenye unyevu. Handeni kuna joto ikiwa pakavu zaidi. Milima ya Usambara hapana joto sana. Miezi ya Desemba - Machi halijoto huko Tanga inafikia sentigredi 30-32 mchana na 26-29 usiku. Wakati wa Mei hadi Oktoba halijota inapoa ni sentigredi 23-28 mchana na 20-24 usiku. Unyevu iko juu kati ya asilimia 100 na asilimia 65.

Maeneo mengi ya mkoa hupokea angalau milimita 750 za mvua kwa mwaka au zaidi. Pwani ni zaidi takriban milimita 1,100 hadi 1,400 mm ikipungua sehemu za ndani isipokuwa milima ya Usambara ambako mvua inaweza kuzidi milimita 2000 kwa mwaka.

Makabila na wakazi
Makabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.

Wazigua ni kabila kubwa huko Handeni na sehemu za Korogwe na Pangani. Wabondei wako hasa Muheza na sehemu za Pangani. Wadigo ndio wengi Tanga penyewe na sehemu za Muheza.

Msongamano wa wakazi ni mkubwa hasa wilaya ya Lushoto penye ardhi yenye rutuba nzuri. Wiyala ya handeni kuna machimbo ya madini.ila kuhusu elimu ipo nyuma sana.kwani mpaka sasa hakuna shule ya sekondari inayotoa huduma ya kidato cha tano na sita.kama haitoshi shule za watu binafsi hakuna ata moja

Elimu
Katika mkoa huu elimu inahitajika zaidi kuboreshwa hasa naeneo ya vijijini maana watu wengi wa mkoa huu hufanya shughuli zao za kimila hali hiyo huwafanya kushindwa kuendelea elimu pamoja na shughuli za kimaendeleo katika ujenzi wa taifa la tanzania

Uchumi
Wakazi wengi hutegemea kilimo cha riziki pamoja na ufugaji na uvuvi. Mazao ya chakula hasa ni mahindi, muhogo, ndizi, maharagwe na mpunga. Mazao ya biashara ni katani, pamba, kahawa, chai, nazi, tumbaku na korosho. Mifugo ni ngombe, mbuzi na kondoo pamoja na kuku.

Katani ilikuwa zao la biashara hasa kwa ajili ya Tanga tangu kuingizwa kutoka Mexico zamani za Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Hulimwa kote mkoani isipokuwa Lushoto, hasa Muheza na Korogwe kwenye mashamba makubwa. Mashamba haya yalikuwa ya walowezi, yalitaifishwa baada ya uhuru. Tangu kuanguka kwa sekta ya umma yamebinafsishwa tena siku hizi. Zao la katani inategemea sana soko la dunia, umuhimu wake ilirudi nyuma tangu miaka ya 1960.

Tanga ilikuwa na viwanda vingi kiasi katika miaka ya 1960 na 1970 lakini karibu vyote vimekwama kutokana na siasa ya Ujamaa na uchumi wake ulioiga mfumo wa nchi za kisoshalisti. Viwanda vichache vilivyobaki havizalishi mali kulingana na uwezo wao. kilichobaki hasa ni kiwanda cha saruji Tanga.
Utalii umeanza kupanuka kidogo hasa katika eneo la Pangani,Mapango ya Amboni na kituo cha Makumbusho URITHI Tanga.

View attachment 1329161
Mkoa wa Tanga unapopatikana katika ramani Tanzania

View attachment 1329163
Ramani ya mkoa wa Tanga

View attachment 1329162
Picha ikionesha hali ya hewa mkoa wa Tanga

View attachment 1329165
Mapango ya Amboni ni moja ya vivutio vya kitalii vilivyopo mkoani Tanga
Tanga raha.. 🙏🏾
 
Back
Top Bottom