Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Historia ya Noti na Sarafu za Tanzania

Hiyo noti ya bluu ya Tsha elfu kumi ya kipindi cha Mkapa ina matumaini ya kuishi...pengine ilikuwa na nguvu, au ni mvuto tu..
 
Du! haya nisemeje bwana, kichuguu, umesaidia kuweka mambo wazi yasijepotea, amini usiamini watasoma watu wengi kuhusu post hii, sasa na vizazi vijavyo!!!

Hongera sana! These were our expectations when we decided to register with JF, "learning" and little of "mipasho" kind of words as, if we needed them then we could buy those udaku papers
 
Mwalimu, nimefurahia darasa! Hizo picha za mwisho za fweza yetu zimenikumbusha filamu ya "Coming to America" ambapo wanaonesha fedha za mwana wa Mfalme wa Zemunda! Ila zinapendeza hasa hiyo yenye picha ya Simba!!
 
Asante mwalimu kwa somo hilo. Sifahamu utaratibu wa utunzaji wa posts zetu hapa ukumbini. Ila mimi napendekeza hii post itunzwe vizuri na iwe rahisi kuifikia wakati ujao...Hii ni kati ya historia adimu.
 
Naomba ruhusa yako nijeiweka kwenye Pdf jinsi ilivyo... kama una la kuongezea ongezea.. by the end of the week nitajaribu kuanza kuiweka kwenye pdf na kuiwekea ripoti "Historia ya Fedha Yetu". Je unayo historia ya sarafu (coins)?
 
MKJJ

Mbona historia ya sarafu Prof Kichuguu alishaiweka ngoja niitafute nikuwekee link........good suggestion!!
 
Naomba ruhusa yako nijeiweka kwenye Pdf jinsi ilivyo... kama una la kuongezea ongezea.. by the end of the week nitajaribu kuanza kuiweka kwenye pdf na kuiwekea ripoti "Historia ya Fedha Yetu". Je unayo historia ya sarafu (coins)?

MKJJ,

Picha na posts zote hizi hazina copyright protection yoyote ingawa acknowldegement ya jamboforums itakuwa appreciated. Unaweza kuzitumia kwa njia yoyote bila kuhitaji ruhusa ya mtu yeyote yule.

Nadhani kuna typos kadhaa kadhaa. Itakuwa vizuri kama utaweza kuidentify typos na kuniambia kusudi nizirekebisha kabla hujaweka kwenye PDF yako. Hii post ilikuwa ni extension ya historia ya sarafu ambayo nilipost wiki chache zilizopita kama alivyoonyesha Ogah. Nilikuwa motivated na efforts zinazoendelea kwa Afrika Mashariki kutumia sarafu moja.
 
Mkuu Kichuguu!
Asante sana kwa kutupa somo la Historia
Hizi sarafu za Olympic zilishawahi kutumika?
 
Mkuu Kichuguu!
Asante sana kwa kutupa somo la Historia
Hizi sarafu za Olympic zilishawahi kutumika?

Zilitumika kwa muda mfupi sana. Ni wachache walioziona, na nadhani ziliishia pale Dar tu; mimi nilikuwa na bahati ya kuona mojawapo ya sarafu hizo.
 
Tunashukuru kwa hili somo,na mimi nitajaribu kuiweka kwenye PDF file kama nikipata tatizo nitaomba msaada.
 
Waheshimiwa.. kama mtafanikiwa kuiweka kwenye pdf. basi tunaomba mtuwekee attachment hapa ili tuweze ku-download. Maana hii historia si mchezo!
 
Naona Wazanzirabi Walisahauliwa Kabisa Kwenye Hizo Pesa

Picha Ya Nyerere Imekuwa Ya Kudumu Lakini Maalim Abein Amani Karume Haimo Sasa Haya Ndiyo Mamabo Yanayopelekea Muungano Kuonekana Ni Wabara Tuuuu


Nichukieni Sasa Kwa Kusema Hilo
 
Naona Wazanzirabi Walisahauliwa Kabisa Kwenye Hizo Pesa

Picha Ya Nyerere Imekuwa Ya Kudumu Lakini Maalim Abein Amani Karume Haimo Sasa Haya Ndiyo Mamabo Yanayopelekea Muungano Kuonekana Ni Wabara Tuuuu


Nichukieni Sasa Kwa Kusema Hilo

Mimi sito kuchukia kwa hili, nadhani ni hoja iliyo kamilika kabisa... ila ndiyo sina jibu la kukupatia. Ahsante.

SteveD.
 
Mimi sito kuchukia kwa hili, nadhani ni hoja iliyo kamilika kabisa... ila ndiyo sina jibu la kukupatia. Ahsante.

SteveD.


KAMA PICHA YA NYERERE NI YA KUDUMU KWA NINI ISIWEPO NA YAKARUME?

au KARUME HAKUWA RAIS?
 
Naona Wazanzirabi Walisahauliwa Kabisa Kwenye Hizo Pesa

Picha Ya Nyerere Imekuwa Ya Kudumu Lakini Maalim Abein Amani Karume Haimo Sasa Haya Ndiyo Mamabo Yanayopelekea Muungano Kuonekana Ni Wabara Tuuuu


Nichukieni Sasa Kwa Kusema Hilo

Karume hakuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Lakini Alikuwa Rais Wa Kwanza Wa Zanzibar

Na Ni Muhimu Sana Kwa Wananchi Wa Zanzibar Nao Kuona Kuwa Viongozi Wao Wanathaminiwa

Pesa Zimejaa Mijinyati Na Mijingombe Tuuu Halafu Watu Wa Zanzibar Wanachorewa Kijimlango Au Kijitawi Cha Rafuuu

Where Is The Fairness?

Nyie Mambo Haya Mnaona Mambo Haya Ni Madogo Lakini Yanasemwa
 
Back
Top Bottom