FAHAMU FAIDA KUMI ZA KUSOMA
QUR'AN KILA SIKU
☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆
Mtu Mwenye Kusoma Qur'an Kila Siku Ni Sawa Na Mtu Huyo Kuwa Ni Mwenye Nuru Kubwa Katika Maisha Yake
Ewe Ndugu Yangu Katika Imani Tambua Kwamba Mtu Mwenye Kukisoma Kitabu Cha ALLAH SUBHANA WA TA'ALA Na Akakizingatia Maneno Hayo Ipasavyo Hakika Mtu Huyo Hatopata Tabu Katika Ulimwengu
#FAIDA
1》Qur'an Ni Kinga Katika Majumba Yetu Na Viwiliwili Vyetu
2》Qur'an Ni Msaada Mkubwa Na Huondosha Huzuni Katika Matatizo
3》Qur'an Huleta Furaha Katika Nyoyo Za Wenye Kuisoma
4》Qur'an Ni Shufaa Kubwa Kwa Wenye Maradhi
5》Qur'an Huleta Rizki Za Mali Na Watoto
6》Qur'an Huleta UchaMungu Kwa Wenye Kuisoma
7》Qur'an Huleta Ulinzi Mkubwa Katika Mali
8》Qur'an Huongeza Ufahamu Mkubwa Wa Akili Hasa Kwa Watoto Wanao Soma Elimu Na Wakawa Hawana Ufahamu
9》Qur'an Ni Tiba Halisi Ya Hasidi Anapo Taka Kukuhusudu
10》Qur'an Huleta Ushindi Na Mafanikio Kwa Mwenye Kuisoma
☆☆☆☆☆☆☆☆☆
Tambua Mwenye Kuisoma Qur'an ALLAH SUBHANA WA TA'ALA Humpa Dhamana Mja Huyo Kwa Rizki Zake Zote Za Siku Nzima
#TIBA
Kama Una Matatizo Yako Binafsi Kwanza Hakikisha Swala Tano Unatimiza Kisha Hakikisha Kwa Siku Hukosi Juzuu Moja Hakikisha Una Hitimisha Msaafu
PENDELEA SANA KUSOMA
Sutatul Nass ×3
Suratul Falaq ×3
Suratul Ikhlas ×3
Kila Siku Hakika ALLAH SUBHANA WA TA'ALA Atakupa Nuru Kubwa Ya Maisha Yako Bila Kutegemea
Hii Ndio Sadaka Yangu Kwako Hakikisha Unampa Na Mwenzio Mkono Kwa Mkono Hadi Peponi...
NAMUOMBA ALLAH SUBHANA WA
TA'ALA ATUJALIE MAZINGATIO
TUNAPOISOMA QUR'AN
#Allahummah_Aamiin
Kwa Leo naishia hapa kwenye nakala hizi mpaka wakati ujao wako katika Imani
KatetiMQ