Historia ya Rais Magufuli na fikra za kujilisha bila kuombaomba!

Historia ya Rais Magufuli na fikra za kujilisha bila kuombaomba!

Mbase1970

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
6,054
Reaction score
4,604
Ukilitaja jina la Magufuli, mabepari wanachanganyikiwa, wapiga dili Wanamakerazembe wanahaha, vigogo wababaishaji presha juu, wafanyakazi ndo usiseme, siku hizi hata walimu wa shule za msingi wanawahi kazini.

Zamani aliwahi mwalimu wa zamu tu, wazalendo wakiliskia jina hilo kwanza wanagonga cheers, halafu wanamuona Patrice Lumumba kwa mbaali akiwaambia wazungu sisi si Nyani wenu tena.
 
Mamlaka zote hutoka kwa Mungu.

Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
Si kweli, Madaraka itokayo Kwa Mungu utenda ya Kimungu Huwezi kuta mauaji, utekaji, kubambikiwa kesi, njaa ,Kusomesha watu namba
 
Naona mmeanza kampeni ya Fukunyua pekenyua hapo kuna wanaolengwa kama wale wa madawa wachomolewe.FILL PROUD at work
 
Mamlaka zote hutoka kwa Mungu.

Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
He he he! Hata Sudan ilitoka kwa Mungu? Hitler kule German nayo ilikuwa ya huyuhuyu Mungu?
Jee Amin na Bokassa mla nyama za watu? Kama ni kweli basi Hata hii ni blessed kuliko mamlaka zilizo pita
 
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?
 
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?

jumbe, post, documentary na anything about JPM 90% kwenye utube wanamsifia Magufuli

na ndio ukweli
 
Hebu muwe waelewa, sio watu hawampendi JPM, hawapendi vitendo vyake na maneno yake ya kikatili na uvunjaji wa sheria na katiba aliyoapa kuilinda, watu hawapendi maonezi anayowafanyia watu.
 
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?
Siri kubwa ni kwamba huku jf ni salama ndio maana watu wako Huru wanatiririka
 
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?
Watanzania wanafiki sana, wacha atoke madarakani utakubaliana na hali hiii unayo iona JF kuhusu kutomkubali huyo jamaa.
Binafsi kutoka moyoni, anatupotezea uelekeo kama Taifa. Hatoshi kuwa rais si tu wa Nchi hii, taifa lolote Duniani.
 
Watanzania wanafiki sana, wacha atoke madarakani utakubaliana na hali hiii unayo iona JF kuhusu kutomkubali huyo jamaa.
Binafsi kutoka moyoni, anatupotezea uelekeo kama Taifa. Hatoshi kuwa rais si tu wa Nchi hii, taifa lolote Duniani.
Sema anakupotezea direction na siyo wote wanaopotezewa direction ndiyo maana hapingwi na wote
 
Siri kubwa ni kwamba huku jf ni salama ndio maana watu wako Huru wanatiririka
Siyo kweli mkuu kuna mada moja ililetwa na Nyani Ngabu nadhani alisema ukisoma sana mitandao hasa Twitter JF na FB utadhani Tanzania hakukaliki kumbe ni asilimia ndogo tu. Na hii documentary ikiwekewa subtitle kwa kiingereza utaona wachangiaji watafika zaidi ya 1000 kutoka nchi mbalimbali na comments positive.
 
Siyo kweli mkuu kuna mada moja ililetwa na Nyani Ngabu nadhani alisema ukisoma sana mitandao hasa Twitter JF na FB utadhani Tanzania hakukaliki kumbe ni asilimia ndogo tu. Na hii documentary ikiwekewa subtitle kwa kiingereza utaona wachangiaji watafika zaidi ya 1000 kutoka nchi mbalimbali na comments positive.
Ina subtitle, pia kukubalika kwake nje ya mitandao ya kijamii inasababishwa na ukosefu wa taarifa muhimu kuhusu vitendo vya ukiukwaji haki na katiba vinayofanywa na serikali hii.

Kama uhuru wa vyombo vya habari ungekuwapo wa kutosha, kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya nne na hakika mpaka sasa Tanzania ingukuwa haitawaliki!
 
Tanzania is way blessed, JPM the masterpiece, miaka buku baba
 
Back
Top Bottom