Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,054
- 4,604
Ukilitaja jina la Magufuli, mabepari wanachanganyikiwa, wapiga dili Wanamakerazembe wanahaha, vigogo wababaishaji presha juu, wafanyakazi ndo usiseme, siku hizi hata walimu wa shule za msingi wanawahi kazini.
Zamani aliwahi mwalimu wa zamu tu, wazalendo wakiliskia jina hilo kwanza wanagonga cheers, halafu wanamuona Patrice Lumumba kwa mbaali akiwaambia wazungu sisi si Nyani wenu tena.
Zamani aliwahi mwalimu wa zamu tu, wazalendo wakiliskia jina hilo kwanza wanagonga cheers, halafu wanamuona Patrice Lumumba kwa mbaali akiwaambia wazungu sisi si Nyani wenu tena.