DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Unaongea na mimi au unaongea na simu ?nenda kwenye komenti za huko youtube ndo utwambie hizo komenti zaidi ya 400 za watu wa kutoka wapi wasiompenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea na mimi au unaongea na simu ?nenda kwenye komenti za huko youtube ndo utwambie hizo komenti zaidi ya 400 za watu wa kutoka wapi wasiompenda.
Tafsiri potofu za maandiko matakatifuMamlaka zote hutoka kwa Mungu.
Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
Refer magazeti ya sana ya zamani ya sani kulikuwepo na characters wengi kama vile madenge, kipepe, lodi lofa sasa alikuwepo na Meko, tabia zake, alikuwa anafanyaje dig deep inside.Not so sure, moja ya majina anayopachikwa Magufuli.
Sio mamlaka zote zinazotoka kwa Mungu ni blessed! Nyingine huletwa ile ku-accomplish intended task. Huyu kaja ili kuimaliza sisiemu!Mamlaka zote hutoka kwa Mungu.
Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?
Ukweli acha usemwe!Naona mmeanza kampeni ya Fukunyua pekenyua hapo kuna wanaolengwa kama wale wa madawa wachomolewe.FILL PROUD at work
kitu cha ajabu ukifungua hiyo documentary kuna zaidi ya komment 400lkn zote hazijaongelea chchte kinyume na ilivyo, komenti zote xinatoa dole, imenipa uwalakini wa wafuasi wa jpm hapa jukwaani ina maana kwa nini hapa jf wanaomkashifu jpm ni wengi lkn kwenye hiyo documentary kutoka youtube ambao ndo mtandao mkubwa zaidi ws kijamii duniani watz wote, I mean asilimia 99 wameisifia hiyo docs, kwa nini humu ndani inapondwa sana?
Hakuna uhakika kama kila mtu kaweka majina kamili youtube. Sababu hakuna uthibitisho. Kuna watu wanaaccount mbili tofauti na majina tofauti. Ni mpaka watu wakiambiwa wawe verified kwa kutuma vitambulisho ndiyo utaamini unayoyaona ni majina yao kamili.Kule youtube ukijichanganya wanakudaka maana umejisajili kwa jina halisi
Kwa hiyo wenye kutoa comments ni wale fans, wengine wanasoma coments kimya kimya na kusepa
Pia kuna vijana wapo kwenye "database" za wakubwa kazi zao ni kufagilia kwa kauli fupifupi na rahisi tu kuwa "tunakukubali baba", "wapiga dili wanaliaaa". Sasa vijana hawa hawana uwezo wa kuja JF na kutoa simple statements kama hizi hapa JF maana watapwaya, kwa hiyo Kazi yao ni huko FB na Youtube ili kushape public opinion
Hivi ni wewe au salary slip yule aliandikaga siku kikwete akitoka ikulu atakuwa anafanya sherehe daily?Huyu mtu siku aking'olewa nchi itafanya sherehe ambayo haijawahi kufanyika mahali popote duniani
Nini maana ya MEKO?
Unamaanisha Komo/komwe?MEKO ni ile head iliyotokea mbele, hata ukiweka mkona haulowi mvua ikinyesha. Au AMIGO!!
siondoki hapa duniani mpaka nitimize 100 yrsAtatoka 2025 subiri mkuu ila tumia condon usijekukosa kuyaona mazuri yake.
Urongo haukusaidii kitu wewe.Na kweli hapendwi. 99% ya wanaojifanya wapo karibu yake moyoni mwao hawampendi japo usoni wana act kama wanampenda.
AmenMamlaka zote hutoka kwa Mungu.
Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
safari hii ni kutoka kwa IbilisiMamlaka zote hutoka kwa Mungu.
Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.