capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,363
- 121,260
Hapa nazungumza na kundi la waelewa, wanaojitambua na kujua hali ya Nchi yetu hii kwa sasa. Huwezi kuwa na utimamu, uelewa, well informed bado ukakubaliana na yale yanayotendwa na utawala wa Magufuli Tanzania kwa sasa.Sema anakupotezea direction na siyo wote wanaopotezewa direction ndiyo maana hapingwi na wote
Mkuu kwa pale tulipofikia hakuna cha zaidi angefanya zaidi ya kuwa mtemi. Kuna baadhi watachukuliwa kama wanakondoo kwa mstakabali mzuri. Hata katika vita vya kudai uhuru kuna watu walipoteza maisha kwaajili ya wengine waishi vizuri. Katika demokrasia Uingereza walichinja Mfalme wao. Fikiria na huu ukatili mnaosema anao na bado watu wanapiga kiaina je angekua mpole ingekuwaje?Ina subtitle, pia kukubalika kwake nje ya mitandao ya kijamii inasababishwa na ukosefu wa taarifa muhimu kuhusu vitendo vya ukiukwaji haki na katiba vinayofanywa na serikali hii.
Kama uhuru wa vyombo vya habari ungekuwapo wa kutosha, kama ilivyokuwa wakati wa awamu ya nne na hakika mpaka sasa Tanzania ingukuwa haitawaliki!
Hakuna kitu kama hicho na nadhani huko nyuma ulikuwa mfaidika sasa umebanwa fanya kazi kijana dunia haipo hivyo hakuna madili siku hizi.Watanzania wanafiki sana, wacha atoke madarakani utakubaliana na hali hiii unayo iona JF kuhusu kutomkubali huyo jamaa.
Binafsi kutoka moyoni, anatupotezea uelekeo kama Taifa. Hatoshi kuwa rais si tu wa Nchi hii, taifa lolote Duniani.
Me si mwanasiasa Bro, naongea uhalisia. Hizo kazi unasema nifanye sijaanza leo/awamu hii.Hakuna kitu kama hicho na nadhani huko nyuma ulikuwa mfaidika sasa umebanwa fanya kazi kijana dunia haipo hivyo hakuna madili siku hizi.
Kwa maana hiyo anayo yafanya ni fahari? Yanasifa gani nzuri kwa nchi yetu?? Utekaji, uuwaji, ukiukwaji wa sheria na haki za bianadamu umetukwamuaje?Mkuu kwa pale tulipofikia hakuna cha zaidi angefanya zaidi ya kuwa mtemi. Kuna baadhi watachukuliwa kama wanakondoo kwa mstakabali mzuri. Hata katika vita vya kudai uhuru kuna watu walipoteza maisha kwaajili ya wengine waishi vizuri. Katika demokrasia Uingereza walichinja Mfalme wao. Fikiria na huu ukatili mnaosema anao na bado watu wanapiga kiaina je angekua mpole ingekuwaje?
Not so sure, moja ya majina anayopachikwa Magufuli.Nini maana ya MEKO?
Nilidhani may be ina maana au kirefu chakeNot so sure, moja ya majina anayopachikwa Magufuli.
Nchi yote kivipi? Sema timu pingapinga kila kitu itafanya sherehe wengine tutalia sanaaaaa.Huyu mtu siku aking'olewa nchi itafanya sherehe ambayo haijawahi kufanyika mahali popote duniani
Mamlaka zote hutoka kwa Mungu.
Tanzania is a blessed Country. We are blessed to have such a president like him.
JiweNini maana ya MEKO?
Anatupotezea wakati, Wewe pekee au na maza ako ndo mmeshibana na mekoSema anakupotezea direction na siyo wote wanaopotezewa direction ndiyo maana hapingwi na wote
Inakubidi uvumilie ama uhame nchi maana hakuna wa kumng'oa na upinzani kumejaa matutusa yanayosubiri makapi kutoka CCM. Na nina uhakika atakayefuata baada ya Magufuli labda atakua zaidi ya magufuli. Usitegemee Membe na genge lake kurudi madarakani labda kuingia kujiunga na genge la upinzaniHuyu mtu siku aking'olewa nchi itafanya sherehe ambayo haijawahi kufanyika mahali popote duniani
Povu halitaokoa kitu , Shetani hajawahi kumshinda MunguInakubidi uvumilie ama uhame nchi maana hakuna wa kumng'oa na upinzani kumejaa matutusa yanayosubiri makapi kutoka CCM. Na nina uhakika atakayefuata baada ya Magufuli labda atakua zaidi ya magufuli. Usitegemee Membe na genge lake kurudi madarakani labda kuingia kujiunga na genge la upinzani
Mkuu kwa pale tulipofikia hakuna cha zaidi angefanya zaidi ya kuwa mtemi. Kuna baadhi watachukuliwa kama wanakondoo kwa mstakabali mzuri. Hata katika vita vya kudai uhuru kuna watu walipoteza maisha kwaajili ya wengine waishi vizuri. Katika demokrasia Uingereza walichinja Mfalme wao. Fikiria na huu ukatili mnaosema anao na bado watu wanapiga kiaina je angekua mpole ingekuwaje?